rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
Pamoja na kwamba viongozi wa africa wanampa kisogo gadafi kwa mambo yanayomkuta naomba ulaya na marekani wamwache gadafi kwa sababu ndiye kiongozi pekee aliyabakia anayeona umuhimu wa kuiunganisha africa,hawa viongozi wengine akiwemo mkweree wetu wanajifanya kunyamaza kwa sababu ya ubinfsi wa kuendelea kushika madaraka,ni jambo baya sana na litaongeza matatizo makubwa sana hapa duniani!!!!!!!!!!!!!aghhhhhhh