Kichwamoto
JF-Expert Member
- Jan 21, 2019
- 3,353
- 4,536
Hello JF,
Mvua ni chagizo la veto ya mapenzi, kila wito imo!
Neema ya mvua za vuli imeanza maeneo baadhi ya Nchi ya mahaba, natoa Rai Kwa mabaharia wote tuendelee kuyaanda Maghetto yetu.
Kwa maana imeandikwa waacheni watoto wazuri, warembo, pisi kali waje kwetu sisi mabaharia kwa maana ufalme wao wa raha na utamu upo ndani ya Maghetto yetu.
Hivyo katika kuimarisha utukufu ndani ya maghetto ni vema tuandae vibes zote muhimu ndani maghetto yetu.
Udumu Umoja wa Mabaharia Tanzania (UMATA)
Asanteni
Mvua ni chagizo la veto ya mapenzi, kila wito imo!
Neema ya mvua za vuli imeanza maeneo baadhi ya Nchi ya mahaba, natoa Rai Kwa mabaharia wote tuendelee kuyaanda Maghetto yetu.
Kwa maana imeandikwa waacheni watoto wazuri, warembo, pisi kali waje kwetu sisi mabaharia kwa maana ufalme wao wa raha na utamu upo ndani ya Maghetto yetu.
Hivyo katika kuimarisha utukufu ndani ya maghetto ni vema tuandae vibes zote muhimu ndani maghetto yetu.
Udumu Umoja wa Mabaharia Tanzania (UMATA)
Asanteni