Mvua za vuli zimeanza wadau wa mapenzi tuendelee kuyaanda Maghetto yetu.

Kichwamoto

JF-Expert Member
Jan 21, 2019
3,353
4,536
Hello JF,

Mvua ni chagizo la veto ya mapenzi, kila wito imo!

Neema ya mvua za vuli imeanza maeneo baadhi ya Nchi ya mahaba, natoa Rai Kwa mabaharia wote tuendelee kuyaanda Maghetto yetu.

Kwa maana imeandikwa waacheni watoto wazuri, warembo, pisi kali waje kwetu sisi mabaharia kwa maana ufalme wao wa raha na utamu upo ndani ya Maghetto yetu.

Hivyo katika kuimarisha utukufu ndani ya maghetto ni vema tuandae vibes zote muhimu ndani maghetto yetu.

Udumu Umoja wa Mabaharia Tanzania (UMATA)

Asanteni
 
Hello JF,

Mvua ni chagizo la veto ya mapenzi, kila wito imo!

Neema ya mvua za vuli imeanza maeneo baadhi ya Nchi ya mahaba, natoa Rai Kwa mabaharia wote tuendelee kuyaanda Maghetto yetu.

Kwa maana imeandikwa waacheni watoto wazuri, warembo, pisi kali waje kwetu sisi mabaharia kwa maana ufalme wao wa raha na utamu upo ndani ya Maghetto yetu.

Hivyo katika kuimarisha utukufu ndani ya maghetto ni vema tuandae vibes zote muhimu ndani maghetto yetu.

Udumu Umoja wa Mabaharia Tanzania (UMATA)

Asanteni
Kaka unabadilishashe maneno ya mungu na kuwa ya dhihaka?
 
"Wacheni watoto wadogo wake kwangu maana ufamle wa mbinguni ni wao" maneno haya alitoka kwa yesu au kwa mungu?
Tumia akili, watoto wadogo iko wapi kwenye andiko langu, acha urojo kwenye kufikiri.

Hauna akili za leisure utafubaa toka huku nenda kanisani.

Hujui muktadha wa maudhui na nyakati, una akili finyu mlokole unafanya nini huku?

Wenye mastress hamtakiwi huku
 
Najua wapo tutakao kudhihaki kwa maono yako,pia wapo watakao kukubali.
Kikubwa JF ni uwanja wa kujidai na bila kupangiwa cha kuandika.
Nzuri Bwamdogo andaa mgeto upate utelezi njaa zikiwauma utanikuta kibandan kwangu nakuuzia kiepe Yai.
 
Najua wapo tutakao kudhihaki kwa maono yako,pia wapo watakao kukubali.
Kikubwa JF ni uwanja wa kujidai na bila kupangiwa cha kuandika.
Nzuri Bwamdogo andaa mgeto upate utelezi njaa zikiwauma utanikuta kibandan kwangu nakuuzia kiepe Yai.
Waambie watu wana complicate hawajui hard thinking and soft thinking, ni vichaa wamekalia ukiranja na uchungaji na ni mazuzu yana trespass platforms zisizowapendeza sijui ni vipanzi ya kanisa masalia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom