kazikubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 597
- 145
Mvua ya leo ambayo siyo kubwa inawezeka imepenya kwenye madirisha ya maghorofa hayo, inawezekana pia imelowesha magodoro ya wakazi hao. Wenyewe hawataki kusema hili wanaona aibu, girl friend wangu amenitonya. Unajua kila appartment ina vyumba viwili, sebule na choo. Kutokana na adha hiyo leo bila shaka wazazi na mabinti zao wataungana na watoto wao wa kiume kulala sebuleni.
Mimi nawakaribisha kwangu mabinti hao ili kuepusha vijana kuchanganyika na dada zao.
Mimi nawakaribisha kwangu mabinti hao ili kuepusha vijana kuchanganyika na dada zao.