Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Mvua kubwa imenyesha sehemu mbalimbali nchini siku ya Krismasi na kusababisha hofu ya mafuriko na hata maafa.
Habari mbalimbali kuanzia Mwanza, Dar-es-Saalam, Songea na mikoa mingine zinahabarisha kuwa mvua hiyo imesababisha kufurika kwa mto Ruvuma na upo uwezekano wa kutokea kwa maafa na hasa kuharibu mazao mbalimbali. Tunaendelea kuwaletea taarifa kwa kadiri tunavyozipata...
Kwa mujibu wa taarifa mbalimbali mtandao wa mawingu ulioleta mvua hii ndio huo huo ambao umenyesha mvua kubwa huko Kenya vile vile. Stay tuned..
Habari mbalimbali kuanzia Mwanza, Dar-es-Saalam, Songea na mikoa mingine zinahabarisha kuwa mvua hiyo imesababisha kufurika kwa mto Ruvuma na upo uwezekano wa kutokea kwa maafa na hasa kuharibu mazao mbalimbali. Tunaendelea kuwaletea taarifa kwa kadiri tunavyozipata...
Kwa mujibu wa taarifa mbalimbali mtandao wa mawingu ulioleta mvua hii ndio huo huo ambao umenyesha mvua kubwa huko Kenya vile vile. Stay tuned..