Active
Content Quality Controller
- Jan 30, 2008
- 639
- 964
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari kwamba kuanzia kesho kutakua na mvua kubwa, upepo mkali na mawimbi kwa maeneo ya pwani.
Mikoa inayotajwa kuwa na uwezekano wa kuwa na mvua kuzidi milimita 50 katika saa 24 ni 'baadhi' ya maeneo ya mikoa ya Rukwa, Iringa, Mbeya, Njombe, Ruvuma. Morogoro, Lindi na Mtwara.
Mikoa inayotajwa kuwa na uwezekano wa kuwa na mvua kuzidi milimita 50 katika saa 24 ni 'baadhi' ya maeneo ya mikoa ya Rukwa, Iringa, Mbeya, Njombe, Ruvuma. Morogoro, Lindi na Mtwara.