Mvua kubwa, upepo mkali, mawimbi baharini

Taarifa hiyo imetaja mikoa husika.
Dar es Salaam wala Pwani haipo, kama ni mtihani mshafeli wote

hahaaa! Ni kweli Dar na Pwani haipo kwenye mvua kubwa, but JF ni ya Kitaifa na pia kwa maelezo ya upepo mkali pwani na mkoa WA Morogoro kutajwa, Dar haiko salama. PIA Mito ya Moro inamwaga maji baharini so Jangwani, Msimbazi na Salender wakae chonjo.
 
Badala ya kutangaza kwenye TVs na Radio mnachapisha, Bongo bana, hivi lini mtaanzaga kwenda na muda?
 
Ile mitambo mipya ya RADA ya tma imeona mvua kubwa uko angani ikinyemelea maeneo yote ya Dar. Wameonya watu woote wa mabondeni wahame mara moja.
 
Ile mitambo mipya ya RADA ya tma imeona mvua kubwa uko angani ikinyemelea maeneo yote ya Dar. Wameonya watu woote wa mabondeni wahame mara moja.

Ngoja nami niandae mbegu za kutosha..ntapanda mpaka kwenye lami safari hii,pale jangwani walipotibua wachina napanda matikiti maji....

Ntamuomba mkuu invisible aniazime matrekta yake...
 
Naona wewe ndio umerogwa ili udanganyike kiurahisi,tangu utabiri wao ukawa na ukweli?,mwenzako ameonyesha xperience yake kwa watabiri,wewe una mcrush,hizo mvua zinanyesha hii ni wiki sasa,wao wamekurupuka jana.
 
Hivi watanzania mmelogwa? Nani aliyekuambia mvua hiyo kubwa itanyesha dar, je umefanikiwa kuisoma taarifa usika au unaongea tu bila ushahidi wowote? Tembelea kwa Michuzi uone taarifa yenyewe hii hapa

MICHUZI: TAARIFA YA MVUA KUBWA, UPEPO MKALI NA MAWIMBI MAKUBWA KWA MAENEO YA PWANI




huko ulikoelekeza nimekutana na haya........

"AnonymousTue Jan 01, 06:02:00 PM 2013
yaani kwa utabiri huu hata mimi naweza....maafa yashatokea lindi huko zaidi ya watu 200 hawana pakukaa na mvua kubwa na upepo na tahadhari inatoka sasa


kheri ya mwaka mpya watu wa utabiri wa hali hewa"
 
Ngoja aje mzee wa upako awaumbue hadharani!

yule mchungaji aliwaeleza na kweli yametokea.

Kuwa hakuna gharika itakayokuja kwani Mungu alishaahidi kuwa haleti tena mvua ya gharika baada ya ile ya Nuhu.

Na aliahidi kuucha uchungaji endapo mvua ya namna hiyo ingenyesha na kweli haikunyesha, NAMUAMINI SANA YULE.

MIZAMBWA
NABII MTARAJIWA!!!
 
yule mchungaji aliwaeleza na kweli yametokea.

Kuwa hakuna gharika itakayokuja kwani Mungu alishaahidi kuwa haleti tena mvua ya gharika baada ya ile ya Nuhu.

Na aliahidi kuucha uchungaji endapo mvua ya namna hiyo ingenyesha na kweli haikunyesha, NAMUAMINI SANA YULE.

MIZAMBWA
NABII MTARAJIWA!!!

Manabii mvua inanyesha na upepo
 
El Nino sio mvua, ni tabia joto katika bahari ya Pacific, sasa Mzee WA Upako alisema hakutakua na El Nino akimaanisha mvua kubwa, kumbe El Nino ilikuwapo ikabadolika na kuwa dhaifu na haikusababisha mvua, sasa watu wakaona kapatia. Duh, nchi ya kikombe
 
El Nino sio mvua, ni tabia joto katika bahari ya Pacific, sasa Mzee WA Upako alisema hakutakua na El Nino akimaanisha mvua kubwa, kumbe El Nino ilikuwapo ikabadolika na kuwa dhaifu na haikusababisha mvua, sasa watu wakaona kapatia. Duh, nchi ya kikombe


Ni kweli; lakini unakumbuka mwaka 1988 mvua zilizoitwa El-Nino jinsi zilivyoleta maafa makubwa, mafuriko kila kona ya nchi, watu wengi kupoteza maisha, mali kuharibika, nk.

Sasa El-Nino iliambatana na mvua kubwa kupita kiasi.



MIZAMBWA
NABII MTARAJIWA!!!
 
Back
Top Bottom