Mapensho star
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 3,052
- 4,075
Huyu ni kijana wa muda mrefu kwenye mziki lakini watanzania wengi hawamjui. Amekuwa akifanya kazi zake na band ya B-band lakini kidogo ametambulika kwenye wimbo alioshirikishwa na Kala Jeremiah "sikati tamaa".
Kwa sasa amekuja na nyimbo yake mwenye kama solo artist inaitwa tausi. Anaeweza kuiweka humu aiweke
Kwa sasa amekuja na nyimbo yake mwenye kama solo artist inaitwa tausi. Anaeweza kuiweka humu aiweke