Barubaru
JF-Expert Member
- Apr 6, 2009
- 7,161
- 2,323
Hakika kuna mengi sana ya kihistoria katika huu muungano wa tanganyika na zanzibar..
sasa ningependa kuuliza kwa mitazamo yenu muungano huu baada ya miaka zaidi ya 45 je umeimarika au umedorola?.
sisi kama vijana, wengi wetu tukiwa tumezaliwa baada ya muungano 1964 ,ni jambo gani tulifanye kuuimarisha?
nini matatizo ya muungano na nini faida zake?.
sasa ningependa kuuliza kwa mitazamo yenu muungano huu baada ya miaka zaidi ya 45 je umeimarika au umedorola?.
sisi kama vijana, wengi wetu tukiwa tumezaliwa baada ya muungano 1964 ,ni jambo gani tulifanye kuuimarisha?
nini matatizo ya muungano na nini faida zake?.