MUUNGANO wa Sitta, Mwakyembe, Magufuli, Membe... Osheni kwanza mikono yenu michafu!

Chief Isike

JF-Expert Member
Jan 17, 2010
445
462
Waache kwanza u-chichidodo (refer to Ayi Kwei Armah in "The Beatyful Ones Are Not Yet Born) ndiyo waweze kusimama kama watu wanaoweza kufikiriwa kuwa ni wapiganaji katika wakati huu tulio nao, vinginevyo kule usukumani husema 'babucha ba malundi...'

Mathalani, mifano michache tu...kwa kuanzia hii ngwe wanayoitaka.

Samuel Sitta


CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimemshukia Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta, kikisema kiongozi huyo si mwadilifu, si mwaminifu na mnafiki, akiwa ni mwakilishi na kielelezo cha mfumo uliooza katika serikali ya CCM uliolifikisha taifa hapa lilipo.

Kimesema kuwa tabia za Sitta hasa katika kuua mijadala ya kifisadi ndani ya bunge, kwa ajili ya kulinda maslahi yake binafsi ya kusaka vyeo, inamfanya asiwe tofauti na watuhumiwa wengine wa ufisadi ndani ya chama chake na serikalini, kikishutumu kuwa mlinda ufisadi na mafisadi ama ni naye ni fisadi kama wenzake au ni fisadi mkubwa kuliko mafisadi wenyewe.

Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari mjini Iringa jana Ijumaa, Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dkt. Willibroad Slaa alisema kuwa Sitta hana uwezo wowote wa kukisema chama hicho wala viongozi wake, akimtaka amalize kwanza matatizo waliyonayo yeye na wenzake ndani ya CCM, likiwemo la kujivua gamba, ambalo linaonekana kuwashinda.

Katika mkutano huo chama hicho kilisema pia kuwa hatua ya polisi kuzuia mikutano ya Operesheni Sangara-M4C kwa siku tano, kupisha shughuli ya sensa, kumekisaidia chama hicho kugundua mbinu na mikakati mizuri ya kuwafikia wananchi kwa mikutano ya ndani, ikiwa ni maandalizi ya mikutano ya hadhara, hivyo kupata mafanikio zaidi mkoani Iringa kuliko ilivyokuwa mkoani Morogoro.

Sitta ni kielelezo

Katibu Mkuu huyo wa CHADEMA ambaye aliwaambia waandishi wa habari kuwa amelazimika kumzungumzia mtu lakini kwa nia ya kuonesha alivyo kielelezo cha ubovu wa mfumo na uongozi wa serikali na CCM, alidai kuwa kwa sababu ya tabia ya unafiki aliyonayo Sitta, kiongozi huyo ni sawa na viongozi wengi wa serikali ya CCM akiwafafanisha na mbwa mwitu waliovaa ngozi ya kondoo.

“Nchi hii imefika hapa ilipo kwa sababu ya viongozi aina ya Sitta ambao hawasiti kusema uongo hadharani, wanafiki, hawana uadilifu, waongo, walio tayari kusaliti maslahi ya umma kulinda maslahi ya tumbo, Sitta yeye ana uzoefu gani, huu wa kulinda mafisadi bungeni kwa kupindisha hoja za ufisadi ili apate ubunge na uspika.

“Hivi Sitta atuambie anaposema CHADEMA haina watu wenye uwezo lini tuliwahi kusema tukiingia serikalini tutakuja na watu wetu wote au ndiyo yale mawazo ya kijinga kwamba CHADEMA wakishika nchi watapata wapi ikulu…atuambie kuna chuo kikuu chochote kinafundisha uwaziri au kuna chuo kikuu kinafundisha ukatibu mkuu wa wizara, asitupangie sisi namna ya kupata viongozi wetu.

“Hivi hajui kuwa Mwalimu alipopata nchi aliandaa watendaji. Hoja za kipuuzi, mtu akitoa hoja za kipuuzi, naye atakuwa mpuuzi tu wa kupuuzwa, tumefika hapa, nchi imegubikwa na uozo wa ufisadi kwa sababu ya mawaziri wa aina ya Sitta ambaye haogopi kuropoka hadharani, tena akiwatukana wapiga kura, ambao pia wengi wao ni vijana.

Hoja ya kuchezesha disko

“Anaposema Mbowe ni mchezesha disko anataka kupeleka ujumbe gani, anataka kusema nini…kwamba ni kosa, kwa hiyo anamaanisha wacheza disko ni criminals (watenda jinai), kwa hiyo wacheza disko ambao pia ni wapiga kura na wengi ni vijana ni criminals, je hajui kuwa kuna mawaziri wenzake wanaokesha pale Billicanas Club,” alisema Dkt. Slaa.

Aliongeza kusema kuwa hoja hiyo ya kumshambulia Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe kwa sababu ya kumiliki ukumbi wa mziki, kuwa nayo si hoja mbele ya watu makini, Dkt. Slaa alisema waziri huyo amedhihirisha alivyo mbumbumbu wa sheria na hajui lolote, tofauti na ambavyo siku zote ametaka kuonekana mbele ya jamii.

“Ni dhahiri hana uzoefu wowote na hajui, ndiyo maana ameishia kwenda kuwatukana wapiga kura yeye akifikiri anaimaliza CHADEMA, maana wacheza disko ndiyo wapiga kura hao hao, lakini yeye kama msomi kweli, tena anasema ni mwanasheria, alipaswa aelewe kuwa duniani kuna nyumba za disko za staha, zimesajiliwa na zinafanya kazi kwa mujibu wa sheria na zimepewa leseni na serikali, inalipa kodi na imetoa ajira kwa watu mbalimbali. Hivi anajua mulplications ya shughuli pale billicans, yaani ajira, kodi wanazolipa.

“Huyu Sitta kila siku anajiita yeye mwanasheria kumbe mbumbumbu kupindukia tu hana tofauti na wana CCM wenzake ambao jamii inawashangaa kwa matendo na kauli zao, ku-run club ni sawa na ku-run biashara nyingine yoyote, almuradi iendeshwe kisheria na kihalali, sasa kama anaona ni kosa aiambie serikali yake ifute leseni ya biashara hizo.

“Tulitegemea mtu ambaye anataka kuonekana ni mstaarabu, anahoji uzoefu wa wenzake nay eye anasema ana uzoefu angekuja na mawazo ya kupeleka nchi mbele kumbe yuko sawasawa tu na wenzake ndani ya CCM,” alisema Dkt. Slaa.

Ameingia kichwakichwa, kwenye tope

“Leo nalazimika kumzungumzia mtu, Watanzania wanajua mara chache sana CHADEMA huwa tunalazimika kuzungumzia watu badala ya masuala…lakini nitazungumza kwa namna ambayo huyo mtu atakuwa anawakilisha mfumo huu wa serikali ya CCM na chama chao jinsi ulivyooza na kutufikisha Watanzania hapa tulipo.

“Samuel Sitta ameingia kichwa kichwa kwenye matope ambayo hawezi kutoka wala kujinasua, muda mrefu tumemhifadhi lakini leo tutampiga ngumi za uso lakini kwa namna ambayo atakuwa anawakilisha mfumo huu uliooza…

“Ghafla tu ameamua kuibuka na kuzingumzia CHADEMA, badala ya kujenga chama chake, bila kujua amedhihirisha kuwa CHADEMA sasa ni tishio kwao, maana huwezi kuzungumzia kitu ambacho hakikuathiri, amedhihirisha namna ambavyo yeye wenzake sasa wanatapatapa kweli kwa sababu ya CHADEMA.”

Makombora zaidi; mlinda ufisadi na mafisadi

Dkt. Slaa alisema kuwa wakati chama hicho kilipoanza kuasisi hoja ya ufisadi nchini kikiwa mstari wa mbele kupiga vita kila aina ya ufisadi, Sitta wakati huo akiwa Spika wa Bunge, ndiye alikuwa mtu wa kwanza kuweka vikwanzo na vizingiti akilinda maslahi yake nay ale ya chama chake, badala ya maslahi ya wananchi.

“Yeye ndiye aliyepindisha hoja ya Zitto katika kashfa ya Buzwagi ambapo waziri alikuwa amesaini mkataba uliokuwa kinyume kabisa na maslahi ya nchi, tena akasaini nje ya nchi hotelini. Zitto aliposimama bungeni, Sitta badala ya kuangalia hoja hiyo kwa maslahi ya nchi, yeye na wenzake akaipindua kuwa Zitto amesema uongo bungeni.

“Huyu bwana hastahili hata kuwa waziri, anajidai yeye mpiganaji na mpambanaji, wapi? Katika hoja ile nani alikuwa mpiganaji Zitto au Sitta, akapindisha makusudi hoja ya ufisadi mkubwa wa Buzwagi kulinda maslahi anayoyajua mwenyewe. Wakamfukuza Zitto bungeni kwa miezi minne, baadae kelele zilivyozidi huku nje, wakaamua kumrejesha bungeni kimya kimya baada ya mwezi mmoja tu hivi.

“Lakini pia ni Sitta huyu huyu alizima hoja ya ufisadi wa BoT, mambo yote yale ya EPA, Kagoda, Deep Green sijui nini kila kitu kilichokuwa kikihusu BoT. Mtakumbuka aliwatangazia Watanzania kuwa nyaraka za Dokta Slaa ni fake za kuokoteza kwenye internet na nitampeleka polisi, mpaka leo hakunipeleka. Lakini Sitta alikuwa anajua tangu mwanzo, kadri nilivyokuwa nikikusanya documents alikuwa anajua na nampatia copy, mpaka ikafikia ile document kubwa ya mwisho.

“Lakini kwa unafiki wake ameahirisha bunge Ijumaa, Jumamosi akachukua ile document na kwenda nazo TBC akisema ni fake na atanipeleka polisi, lakini leo yako wapi…sasa mtu wa namna hii hafai hata kuwa naibu waziri, mtu yeyote anayelinda mafisadi na ufisadi ni fisadi kuliko mafisadi wenyewe, nawaambia haya kwa sababu tumefika hapa kwa sababu ya kuwa na viongozi, wakiwemo mawaziri wanafiki na waongo kama hawa.

“Lakini ili mjue Sitta ni mtu wa aina gani na kwamba hastahili kuaminika na Watanzania, haikuishia hapo, ufisadi wa Richmond mnajua alivyomaliza mjadala ule kihuni bungeni. Hadi leo hoja ile haina majibu, wakati tunahoji bungeni akafunga hoja ile kidikteta, sasa tunauliza huo ndiyo uzoefu alionao yeye au walionao wenzake, uzoefu wa kulinda mafisadi na ufisadi wa CCM na serikali yao, lakini sisi tunajua kwa nini alipindisha hoja ya Richmond, wakati huo alikuwa anabembeleza ili ateuliwe kuwania ubunge na baadae uspika, mnaona huyu ni mtu wa kuaminika kweli?”

“Hivi kwa matendo ya aina hii Sitta anaweza kutoka nje na kusema yeye ni jasiri na mzalendo, katika majasiri na wazalendo wa kweli Sitta hana sifa hizo, ndiyo maana wameshindwa hata kuyavua magamba kama walivyosema, sasa aende kwanza kwenye chama chake na serikalini, asaidie kuyaondoa magamba kabla hajaanza kutafuta aibu ya kuanikwa zaidi,” alisema Dkt. Slaa.

Siri zaidi; Sitta haaminiki

Dkt. Slaa aliongeza kusema kwa kutoboa siri zaidi namna ambavyo, yeye na Mwenyekiti wa CHADEMA Mbowe, walikuwa wakiendesha mazungumzo na Sitta wakati mwingine kwenye Ofisi ya Spika juu ya Sitta kuhamia CHADEMA na kuwania urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2010, akisema kuwa ulikuwa ni wakati ambapo waziri huyo pamoja na wenzake walipokuwa wameunda Chama Cha Jamii (CCJ) wakiwa bado wako CCM.

Alisema kuwa hata wakati huo bado Sitta alikuwa akionekana kutojiamini na maamuzi yake, ambapo wakati wa majadiliano ya kugombea urais, Sitta alisema kuwa kuna kundi la wabunge takriban 55 watiifu kwake ambao walikuwa tayari kuhama naye kumfuata CHADEMA.

“Leo natoa siri ambayo sijawahi kuitoa, Sitta ni mhanini. Tumekutana naye mara 100 na zaidi, tumeandikiana vimemo bungeni vya kukutana, wakati mwingine tumekutana hata Speaker’s lounge, tumekutana na Sitta na Mwenyekiti Mbowe, ambaye leo anamwita ni mchezesha disko mara nyingi tu. Lakini hata wakati huo pia hakuonekana kuwa jasiri, maana alikuwa ana wasiwasi nani wanamfuatilia au nani wanamuona, si mtu jasiri hivyo.

“Zikiwa zimebaki kama siku tano kabla ya kumaliza bunge la mwezi wa saba, kila nikimwandikia kimemo, hataki hata kunitazama, Sitta akayeyuka bila hata kutuaga, baadae CHADEMA tukaamua kutumia utaratibu mwingine na tukaweza kusonga mbele mpaka kufika pale tulipofika. Lakini baada ya uchaguzi akaja mwenyewe kunifuata akinishukuru sana na kunipongeza kuwa nilikuja na hoja tofauti kwenye uchaguzi akisema hata yeye asingeweza kufika tulipofika.

“Lakini hapo sasa tulishamshtukia na kugundua kuwa anataka kugombea uspika kupitia CHADEMA, nataka kuonesha namna huyu mtu alivyo mnafiki, mpotoshaji, nampatia challenge kama kweli yeye ni muumini mzuri akanushe haya, maana ametulazimisha kusema, kwa hoja zake za kupotosha watu na akumbuke, maana huwa anakwenda makanisani na anachanga mapesa, akumbuke maandiko yanasema, yeyote atakayepotosha wadogo hawa, anastahili kutoswa baharini, Makamu Mwenyekiti hapa ametumia Quran kufafanua vizuri,” alisema Dkt. Slaa.

“Maana kwa hakika anataka kupotosha watu ili waone kuwa kuchezesha disko ni suala lisilokuwa sahihi, huo ni upotoshaji, kama anataka kuonesha si sahihi mbona serikali yake hiyo hiyo inaendelea kukusanya kodi. Sasa ilipofikia kwenye suala la kugombea uspika, siku ile jina lake limekatwa kwa sababu walitaka mgombea mwanamke, alinipigia simu usiku wa saa tisa, bahati mbaya nilikuwa nimeweka simu silence, hakunipata.

“Saa 12 nikapokea simu ya mke wake, Margreth Sitta, anasema baba anakutafuta tangu usiku, anataka kuzungumza nawe, nikasema sawa, akaniambia Dokta Slaa wamenifanyia kitu kibaya sana, mimi nimeamua sasa nitagombea uspika kwa tiketi ya CHADEMA, najua umeshateua tayari mtu wa kugombea tayari, lakini naomba nikuhakikishie nafanya press conference saa 4 asubuhi leo, natangaza rasmi kugombea uspika kupitia CHADEMA. Nikamjibu CHADEMA maamuzi hayafanywi na mtu mmoja, nikamwambia asubiri niwasiliane na Mwenyekiti wangu wa chama.

“Baadae tukakubaliana tukutane nyumbani kwake, lakini akawa anasema tusubiri kwanza anamalizia kupanga mikakati na wabunge 55 wa CCM, lakini akisisitiza kuwa uamuzi wake uko pale pale, nikamuuliza vipi kuhusu press conference mbona muda unakaribia, akasema hakuna shida yeye atatuma tu watu wake wataitisha haraka, akasema lakini wanataka kumpatia unaibu waziri, hivyo bado anasumbuana nao, kengele ikalia kichwani sasa huyu mtu akipewa uwaziri itakuwaje.

“Baadae ananiambia, Dokta Slaa nimepigiwa simu na bwana mkubwa naenda kuonana naye, tangu wakati huo Sitta akapotea mpaka saa 8 ndiyo anapatikana, akaanza kuniambia ni lazima aende kwanza Urambo kuwaaga wazee, maana hawezi kuhama bila baraka zao, nikamuuliza vipi kuhusu press conference akasema tutaifanya Jumatatu ijayo Dar es Salaam, akaniambia; tena saa 9 uje uone statement ambayo nimeshaiandika ili na wewe uongeze inputs, Sitta huyu akaniambia kuwa Anne Makinda hatakaa zaidi ya miezi sita kwenye kiti cha uspika.”

Dkt. Slaa alisisitiza akisema kuwa nchi imefika hapa ilipo ikiwa imegubikwa na uozo wa ufisadi kila kona, ukiongeza idadi ya maadui wa taifa, kutoka watatu hadi wanne (umaskini, ujinga, maradhi na ufisadi/CCM) kuanzia ngazi ya chini hadi juu, kwa sababu ya ukosefu wa uadilifu, uaminifu kama Waziri Sitta.

Atalipuliwa zaidi

Dkt. Slaa alisema kuwa ameamua kuzungumza hayo machache kwa sasa, lakini ataongeza ‘kumlipua’ zaidi Sitta endapo atajitokeza kujibu haya ya sasa.

“Yeye ana uzoefu gani Sitta, hana uadilifu, si mwaminifu, nchi hii imeoza kwa sababu ya viongozi ya aina ya Sitta, nataka ajibu kwanza hayo kisha nitamlipua zaidi. Ana uadilifu gani katika nchi hii, ametumia mabilioni ya hela ya walipa kodi wa Tanzania kujijengea Ofisi ya Spika Urambo, tunauliza kuna spika wa Urambo au alijua yeye atakuwa spika wa milele au basi Makinda awe anakwenda Urambo wakati wa mapumziko ya bunge.

“Tulichoamua bungeni ni kwamba kila mbunge ajengewe ofisi yenye thamani isiyozidi milioni 40, lakini yeye akaenda kujijengea ofisi ya milioni 350 tena kwa kasma tofauti na inavyotakiwa lakini kibaya zaidi tendering process ya vifaa vya ofisi haikufutwa na vililetwa na kampuni ambayo majuzi imehusishwa na Blandina Nyoni, hakuna mahali tendering imefanyika, amefanyia ufisadi mali ya taifa,” alisema Dkt. Slaa.

Source; Jamii Forums

Dkt. Harrison Mwakyembe

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimeibua tuhuma nzito za ufisadi wa mabilioni ya fedha, kikidai kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), hasa kupitia makundi ya wasaka urais, kimeanza kutumia mbinu haramu kutafuna fedha za Watanzania kwa ajili ya kampeni za 2015, kwa namna ile ile iliyotumika kufanikisha wizi wa EPA, wakati wa uchaguzi mkuu mwaka 2005.


Katika mkutano na waandishi wa habari, CHADEMA kimedai kuwa ufisadi huo unasimamiwa na Waziri wa Uchukuzi, Harrison Mwakyembe, kikimtuhumu kuwa anatumia madaraka yake ya uwaziri ‘kuipatia’ Kampuni ya CCM iitwayo Jitegemee Trading Company zabuni ya kujenga mradi yenye thamani ya bilioni 10, kinyume cha taratibu kujenga eneo la maegesho kwenye eneo la CCM.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi wa Oganaizesheni na Mafunzo wa CHADEMA, Singo Benson Kigaila, amesema kuwa kwa msukumo wa Mwakyembe, Mamlaka ya Bandari (TPA), imetoa zabuni kwa kampuni hiyo inayodaiwa ni ya CCM, kujenga maegesho ya magari makubwa, makontena na malori eneo la SUKITA (Tabata) jijini Dar es Salaam.

Amesema kuwa kwa mujibu wa nyaraka ambazo chama hicho kimezinasa, Kampuni ya Jitegemee imepewa zabuni hiyo kinyume na shera za nchi, hususan ile ya Manunuzi ya Umma (PPRA), akisisitiza kuwa hakuna zabuni yoyote iliyotangazwa ili kuruhusu ushindani wa makampuni mbalimbali yenye sifa kufanya kazi hiyo.

“Ndugu wanahabari, mchezo wanaofanya CCM, hasa kupitia magenge ya watafuta urais, ni ule ule kutumia makampuni yao, mengine yakiwa hewa, kutafuta fedha haramu kwa kuwaibia Watanzania kama walivyofanya kabla na wakati wa uchaguzi wa mwaka 2005, pale makampuni yao yalipoiba fedha Benki Kuu na kusaidia kampeni za CCM kumpeleka Kikwete ikulu.” Alisema Benson na kuongeza;

“Sasa wameanza tena…wameanza kwa kupitia kampuni yao iitway Jitegemee Trading Company. Watalipwa bilioni 10, tena tayari zimeshapangwa kwenye bajeti ijayo. Kampuni hii kwa msukumo wa Mwakyembe, imepewa zabuni ya ujenzi wa maegesho eneo la SUKITA, yaani kampuni ya CCM imepewa zabuni kinyemela, kujenga maegesho kwenye eneo la CCM…kama mnavyojua eneo hilo lililopo Tabata, ni mali ya chama hicho.

“Kuna hoja tano za msingi hapa; kwanza mradi huu unaotaka kufanywa na Mwakyembe kwa kutumia kivuli cha TPA, kampuni hiyo haijafanyiwa tathmini ya upembuzi yakinifu…sawa sawa tuna ilivyokuwa kwa Kampuni ya kitapeli ya Richmond ambayo Mwakyembe huyo huyo akisoma ripoti yake bungeni alisema ni kosa.

“Pili, mradi hu wa Mwakyembe na chama chake, haukufuata Sheria ya Manunuzi ya Umma. Hakukuwa na zabuni iliyotangazwa wala ushindani kwa makampuni mengine yenye sifa kushindana. Tatu; nyaraka zilizopo TPA zinaonyesha kuwa tangu mwaka 2010 Bodi ya Bandari ilipokea maombi kutoka Manispaa ya Temeke ya kutaka kufanya ubia wa eneo la maegesho huko Kurasini

“Wazo hili halijawahi kufanyiwa kazi badala yake Mwakyembe amekuja na mradi wake. Vyanzo vyetu ndani ya serikali na CCM vinasema kuwa mmoja wa wajumbe wa TPA alipohoji kwa nini shirika linaingiza feha hizo kwenye mradi huueneo la SUKITA, Mkurugenzi wa Bandari alijibu “huuni mradi wa chama tawala, hivyo ni muhimu tukau-support,” alisema Kigaila akinukuu kikao cha bodi ya bandari.

Aliongezea akisema kuwa jambo la jingine katika mradi huo aliouita ni ufisadi wa kuitafutia CCM fedha kwa ajili ya kampeni za uchaguzi mkuu wa 2015 na ule wa serikali za mitaa mwaka ujao, ni uamuzi wa serikali kwenda kujenga mradi mkubwa kama huo eneo la Bonde la Msimbazi.

“Kila siku wanawaambia Watanzania wahame mabondeni…leo wanapeleka kujenga mradi huu eneo la bondeni ambako CCM walikuwa wakitumia kufuga ng’ombe na nguruwe na wakasombwa na mafuriko. Sasa leo wanataka magari makubwa, malori na makotena, mali za wateja ziengeshwe pale.

“Mbali na mradi huu kuitafutia CCM na genge la watu wengine wasaka urais fedha haramu kwa mgongo wa kodi za walipa kodi, mradi huu utasababisha hasara kubwa huko mbeleni, hasa pale mvua kubwa zitakapoanza kusomba mali za wateja…kumbukeni Mwakyembe yuko kwenye genge moja la urais na Samuel Sitta, Bernard Membe, anayeungwa mkono na Kikwete,” alisema Benson.

Mkurugenzi huyo wa Oganazisheni na Mafunzo wa CHADEMA alisema kuwa tangu Mwakyembe aondoe uongozi wa zamani wa Mamlaka ya Bandari, yeye na viongozi wapya, wamepuuza miradi yote ya mwanzo na badala yake wameingiza miradi mipya takriban 35, ambayo imeombewa fedha kwa nia hiyo hiyo ya kusaka fedha za urais.

Amewataka Watanzania kuzijua sura mbili za Waziri Mwakyembe, akidai kuwa si kiongozi wa kuaminika, akikumbushia namna alivyolinda maslahi ya CCM kwa kuwaficha Watanzania baadhi ya masuala katika kashfa ya Richmond na kukaa kimya pale maazimio ya bunge yaliyotokana na kamati yake, yalipopuuzwa.

Mwakyembe ndiye alifanikisha kujiuzulu kwa aliyekua Waziri Mkuu, Edward Lowassa,baada ya kuuvalia njuga mradi wa kifisadi ulopewa kampuni ya Richmond Development LLC, kwa njia ambayo sasa anautoa kwa kampuni ya Jitegemee.

Hatua hiyo ilimpa heshima kubwa Mwakyembe, jambo ambalo wadadisi wa mambo wamesema sasa ametumia heshima hiyo "kufanya atakavyo" hata kufikia hatua ya kuingia kwenye ufisadi.

====

Msomaji, nyaraka unaweza kuzisoma kupitia JamiiForums katika mada HII

Source; Fikra Pevu

Dkt. John Magufuli

(ukiweka pembeni kidogo tu kwa muda mfupi, ule ufisadi bab kubwa kuwahi kufanywa wa nyumba za serikali) sasa hivi analo zigo hili hapa la tuhuma za ufisadi wa mabilioni ya fedha;

Bil. 250/- za Magufuli zayeyuka


KAMBI rasmi ya upinzani bungeni, imefichua malipo ya madeni hewa mradi usio halisi ambao uligharimu fedha za serikali kupitia Wizara ya Ujenzi sh 252,975,000,000.

Ufisadi huo ulianikwa jana bungeni na Msemaji Mkuu wa Kambi hiyo kwa Wizara ya Ujenzi, Saidi Arfi (CHADEMA) wakati akiwasilisha maoni yao kwa mwaka wa fedha 2013/2014.

“Katika hotuba ya Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni kwenye bajeti ya mwaka 2011/2012 tulihoji kuhusiana na fedha zilizokuwa zimetengwa chini ya fungu lililojulikana kama “Special Road Construction Project,” alisema.

Huku akinukuu taarifa rasmi za Bunge kutoka hansard ya Agosti mosi, 2011, Arfi alisema kuwa walihoji miradi maalumu ya ujenzi wa barabara (kasma 4168).

Kwamba kitabu cha Miradi ya Maendeleo (sehemu-A juzuhu iv) katika fungu 98, kasma 4168 mradi uliojulikana kama “Miradi ya Ujenzi wa Barabara Maalumu” fungu hilo lilitengewa kiasi kikubwa kuliko miradi mingine yoyote ya ujenzi wa barabara katika mwaka huu wa fedha sh 348,075,000,000 fedha za ndani.

Alifafanua kuwa katika mjadala huo, aliyekuwa Naibu Waziri wa Ujenzi, Dk. Harisson Mwakyembe, alijibu hoja hiyo na kusema hizo fedha zilizopitishwa ni za Mfuko Maalumu ambao unaisaidia serikali pale ambapo mfadhili wa nje kwa mfano, anaamua kufadhili ujenzi wa barabara fulani na anasema serikali ichangie milioni kumi.

“Baada ya fedha hizi kupunguzwa kiasi cha sh bilioni 95 na kupelekwa Wizara ya Uchukuzi, zilibakia sh bilioni 252.975 katika kifungu hicho,” alisema Arfi.

Aliongeza kuwa wamelazimika kulikumbusha Bunge kuhusiana na suala hilo kwani kwa mujibu wa ripoti ya mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali ya mwaka husika wa fedha kuhusiana na kifungu hicho, alionyesha kasoro hiyo.

“Malipo ya madeni ya mwaka wa nyuma yaliyolipwa kwa fedha za 2011/2012 kwa kutumia jina la mradi usio halisi ni sh 252,975,000,000.

“Miradi katika wizara ilipewa namba 4168 kwa ajili ya kupitisha malipo ya madeni ya miaka ya nyuma kwa miradi inayotekelezwa na Tanroads. Namba hii sio halisi,” alinukuu taarifa ya CAG ukurasa 160, fungu 98.

Arfi alisema kuwa fedha hizo zilizopotea au kulipwa kwa kifungu hewa ni sawa na fedha zote zilizotengwa kwa ajili ya barabara kadhaa katika mwaka huu wa fedha 2013/2014.

Alizitaja barabara hizo kuwa ni ya Usagara-Geita-Kyamyorwa (km 422), Kigoma-Kidahwe-Uvinza-Kaliua-Tabora (mk 443), Nangurukuru-Mbwemkulu (km 95), Sumbawanga-Matai-Kasanga Port (km 112) na Manyoni-Itigi-Tabora (km 264).

Zingine ni Tabora-Ipole-Konga-Mpanda (km 359), Kidatu-Ifakara-Lupilo-Malinyi-Londo-Lumecha/Songea (km 396), kuondoa msongamano barabara za Dar es Salaam (km 102.15).

“Ni sawa na kusema kuwa barabara ya lami yenye urefu wa kilomita 316.218 imepotea kwa kutumia mahesabu ya Wizara ya Ujenzi kuwa kilomita moja ya lami inajengwa kwa kiasi cha sh milioni 800.

“Hii ni sawa na kusema kuwa barabara ya kutoka Manyoni-Itigi-Tabora (km 264) Changanya na barabara ya kutoka Chunya –Makongorosi (km 43) na Tangi Bovu –Goba (km 9), zimepotea kutokana na ufisadi huu,” alisema.

Alisema kuwa kambi rasmi ya upinzani, inataka kupata majibu kuhusu fedha hizo zilizokuwa zimetengwa, zilitumika kwa ajili ya kufanyia shughuli gani.

Arfi pia aligusia kuporomoka kwa majengo marefu nchini akisema yako matukio kadhaa yaliyotokea ambayo kambi hiyo inataka maelezo ya kina na kutosheleza na hatua zilizochukuliwa ili kuzuia hali hii isijirudie tena na kuleta maafa kwa Watanzania.

“Kambi Rasmi ya Upinzani inatambua majukumu ya wizara hii pamoja na kuzisimamia taasisi zilizoko chini ya wizara hii ikiwemo Baraza la Ujenzi (NCC), Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB), Bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi (AQSRB), Pia Bodi ya Usajili wa Makandarasi (CRB) na vyombo hivi kufanya kazi kwa mujibu wa sheria na taratibu za miundo yake.

“Pole na kufarijiana pekee haitoshi bado tunajiuliza kama nchi ni lini viongozi wetu wataheshimu, kuwajibika na kutekeleza majukumu yao na kuwa na ujasiri wa kutafuta mbinu za kutatua matatizo pindi tunapokutana na mambo magumu katika utendaji wetu na si kukimbia matatizo kwa kujificha chini ya migongo ya watendaji wengine,” alisema.

Alisema kuwa wanataka kujua ukaguzi huo ulifanyika katika vyuo gani na hali ikoje na ni hatua gani zilichukuliwa dhidi ya vyuo ambavyo wahandisi na wahadhiri walikutwa hawana sifa stahiki.

Aliongeza kuwa kumekuwepo malalamiko na kutokuridhishwa na hatua zinazochukuliwa na wizara na taasisi zake hususan Tanroads kutowalipa wananchi fidia stahiki za haki na kwa wakati.

Alisema kuwa wananchi hawaridhishwi na kauli za viongozi wa wizara hususan katika suala la kuwalipa fidia kwa mali zao wakipisha miradi mbalimbali ya ujenzi nchini.

Source; Tanzania Daima

Bernard Membe

Ukiachilia mbali kutokuwa hata na uwezo wa kujua hasa anataka kusema au kufanya nini kupitia kauli zake zisizoeleweka, ukiweka pembeni pia kashfa ya ufisadi wa fedha kutoka nje ya nchi, ukiweka pembeni kashfa za ufisadi wa mabilioni wizarani kwake, ukiweka kando kidogo tuhuma za kuhusika kufungia Mwanahalisi, ukisahau kidogo ushirika wake na yule bosi wa UWT anayehusika kuwinda kwa ajili ya kutesa, kutoa kucha na kuminya..., wanahabari na wanaharakati, vile ambavyo mwenzake Lowassa anashirikiana na yule aliyekuwa namba moja wa UWT akahusika katika ufisadi, kuna hii analysis ya Rutashubanyuma, hapa JF;


Friends of Bernard Membe at the University of Dar-Es-Salaam still believe they have got their man who is heading nowhere but to the state house in replacement of JK….comes 2015.

This can only narrate why the UDASSA was so eager and willing to invite Membe as their chief guest at Nkrumah Hall today marking our 51st Independence anniversary! I can find no other persuasive reason to exculpate UDASSA from this political prank.

From my contextualizing of Membe’s forgettable speech, I gleaned an intense desire to inaugurate his presidential bid as an UDSM alumnus, a man of immense intellectual prowess, ready and willing to lead the nation from the front. But is he ready? I am keenly aware of his burning ambition to be our fifth president but is he ready and/ or will he ever be?

This pithy deposition intends to show that Bernard Membe is an overambitious politician who has no political skills to change the socio-economic course this nation has been taking to abyss, and lead us to the Promised Land.

I have jotted down ten points to dissect a man behind the mirror:-


1) A case of limited brainpower?

Generally speaking, he lacks intellectual ability; and, will this dot.com generation really find him a sure bet to their economic plight? I have my doubts………you should have yours, too.


2) A n escapologist to theories?

He spent too much soliloquizing on his defaulted memory of academic theories that was too detached to the subject at hand…………………and I keep wondering is this man really sane or suffering from “Romnesia”?..................I t is defined as convenient amnesia……………


3) Too defensive of ccm long tales of lost opportunities?

Defending ccm makes sense since he is in the high table dining with “who is who” in this nation but Membe needs an incisive mind to plead with his audience to overlook ccm massive economic mismanagement and advance a case for an inexorable patience and an enduring faith in what is festering rot in this nation where millions are going days without their daily bread……….while we know they deserve better given a multitude of resources this nation boast of!


4) Claiming too much know-how?

Speaking in broken English and sounding like a Kenyan “Sheng” has its place but for a truly reliable leader Membe has to choose one language which his audience will be comfortable with and Membe was echoing something like …………… Kiswahili is “okay” but English is “baba yao”…………..And his whole speech was prepared beforehand and Membe struggled to find rhythmic relevance in such an impassioned crowd whose themes were: never backward but forward ever………Be proud of Kiswahili Membe, if you want to be taken serious with Kiswahili proficient voters………


5) Too idealistic?

We all have theories that have stuck into our memories like leech nibbling our tender skin but do we need to remind our audience that we went to schools when schools were really schools particular in this era where community colleges are churning out semi-illiterate graduates?

It is of profound importance to mention that, Membe considers Bw. “Bomobomoa” Magufuli as a threat to his political ambition. Do you know why I have reached to this conclusion? Magufuli is always reminding us, he was a good student of Chemistry judging from a number of theoretical postulations he love to showboat before us……………..and of recent memory, two days ago Magufuli in his an unequivocal campaign for Raila presidential bid……………theories of Chemistry came very handy, though I doubted he was effective given of the stature of their irrelevance…………..my take Membe is only mimicking Bw. “Bomoabomoa.”

And nothing more…….copycats rarely ascend to Ikulu and Membe ought to begin being himself…………..telling us what he will do different from JK and why did he not do it while still part of JK power hegemony for ten years come 2015, will definitely help his presidential bid.


6) What about intellectual arrogance?

That intellectual smugness seems to ooze out of Membe unapologetically as if it is part of the curriculum vita he needs to bag a presidential job. It is time I wake him out of that delusional slumber: We elect presidents to lead and not to showcasing their intellectual prowess in irrelevant matters.


7) A “D” graded student of post-independence African history?

When Membe cited TZ as the only nation in post-independence Africa that was spared of coup-d’état, I kept wondering was he a little tipsy or it is just an illustration of poor attention to African history? Whatever the case Kenya, Malawi, Mozambique and Zambia just around our border have fared just like us and the lack of military coups in post-independent Africa is not a confinement of TZ as Membe would like us to believe. Where Membe generated the audacity to challenge his audience to name just one country in post-independent Africa devoid of military putsches……..I find his vigorous demeanor part of a major problem: Not assessing his intellectual strength and that will trouble if not capsize Membe’s campaign to state house.


8) Lacks persuasive power despite vehement intonations?

Where Membe regards his vehement deliveries as strength, I view them as a source of his internal weaknesses. Where vehemence is detached from reality is a sign of self-doubt papered over with intimidation tactics that his victims will be overwhelmed with his emotional synergies and fail to search out his misleading statements………well, Membe can fool all of us for sometime but the challenge he has is to fool all of us all the time, and time seems to be running out of him.


9) Low likeability constraints?

Without brainpower, without persuasive skills and over-dependent on emotional energies to win the state house even his coterie of plaudits led by Mama JK; entirely on tribal arithmetics, will find the going very testy come 2015…………………It is very difficult to sell the Membe presidential candidature even within ccm rank and file……………Huyu Mheshimiwa hauziki hata kidogo.


10) Is there a place for an oversize ego in a presidential race?


With all of JK’s weaknesses but he can convince many that he is humble although those few who had the privilege to encounter the innermost character in JK will argue he is haughty and unforgiving……….where inner traits matter but when they are negative and open for discussion it spells nothing but trouble for Membe. If there is anything Membe can learn and internalize from JK is a genial smile, and at least a false humility facial outlook………………if he can not muster a genuine one. We love a boss who sounds like a servant while we know he is not…………despite oozing out with tons of hypocrisy.

A change of demeanor and attitude will do Membe a great deal……………..and pretending he is omniscient above all will with obvious certitude yank away many potential a vote………………….

Will I ever vote for Membe? Knowing three years are ahead of us, I can safely confess it is too far ahead to commit myself either way but so far I am really not impressed with his attempts..

Source; analysis ya Rutashubanyuma hapa JF

Kwa sasa ni hayo, waache waendelee kuja, maana vita wasioiweza wameitaka wao. Hadi sasa hata adui yao hawamjui, nao wanafikiri kama wanavyofikiri akina Team Lowassa, adui yao ni CHADEMA, hivyo kuanzia sasa hawa jamaa wategemee kufumuliwa.
 
kumbe wote ni mafisadi tu. na nape naye yumo humo mumemwacha tu
 
Mikono ya ccm yote haisafishiki hata kwa Jik labda wakatwe mikono na midomo yao mirefu.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Samweli Sitta is eating his own maggot.

Nimemshangaa sana Mh.Sitta akiwa ktk harakati zake za kutembeza pesa kwenye majumba ya ibada aliamua kumshambulia Dr.Slaa from no-where, namnukuu,

"Mimi Sitta, mwamkyembe, Magufuli na Membe tuna misimamo inauyofanana-fanana ya kupigania haki za watanzania kwa siasa za kuwatetea,sisi sio kama hao wengine wanaokuja hapa kujitapa kuwa ni watetezi wakati tunajua mmoja wapo alitumia ruzuku kujikopesha, msikubali mtu huyu kuingia ikulu'
Kauli hii ya Sitta inayosababisha mimi kuparaphrase nukuu hii aliyotoa kanisani ni hasa hapo alipozungumzia swala la 'kuingia ikulu'

Inawezekanaje mzee aliyeheshimika kama Sitta kusimama kwenye jukwaa la kanisa na kutoa maneno yenye minajiri ya uchu wa kura za 2015 kupitia CCM.

CCM imeanza kugundua nini kitakachofanywa na wapiga kura 2015 hasa wanapamtaja Dr.slaa?

Sikutegemea mtu kama Sitta angekata tamaa mapema kiasi hichi hadi kuamua kujitwisha gunia la miiba inayomchoma muda na mfano halisi ni kauli ya Wassira aliyoitoa dhidi yake hivi majuzi.

Samuel Sitta ni sawa na mbwa aliyemezwa na chatu baada ya kujipeleka mwenyewe na kujiingiza kwenye mdomo wa chatu.

Samuel Sitta pia anadhihirisha kuwa yeye na genge lake lenye njaa ya madaraka wanamuogopa sana Dr.Slaa na Chadema kwa ujumla.

Chichidodo is eating its own maggot, Samuel Sitta is a Chichidodo.
Samuel Sita is eating his own maggot.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Waache kwanza u-chichidodo (refer to Ayi Kwei Armah in "The Beatyful Ones Are Not Yet Born) ndiyo waweze kusimama kama watu wanaoweza kufikiriwa kuwa ni wapiganaji katika wakati huu tulio nao, vinginevyo kule usukumani husema 'babucha ba malundi...'

Mathalani, mifano michache tu...kwa kuanzia hii ngwe wanayoitaka.

Samuel Sitta

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimemshukia Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta, kikisema kiongozi huyo si mwadilifu, si mwaminifu na mnafiki, akiwa ni mwakilishi na kielelezo cha mfumo uliooza katika serikali ya CCM uliolifikisha taifa hapa lilipo.

Kimesema kuwa tabia za Sitta hasa katika kuua mijadala ya kifisadi ndani ya bunge, kwa ajili ya kulinda maslahi yake binafsi ya kusaka vyeo, inamfanya asiwe tofauti na watuhumiwa wengine wa ufisadi ndani ya chama chake na serikalini, kikishutumu kuwa mlinda ufisadi na mafisadi ama ni naye ni fisadi kama wenzake au ni fisadi mkubwa kuliko mafisadi wenyewe.

Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari mjini Iringa jana Ijumaa, Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dkt. Willibroad Slaa alisema kuwa Sitta hana uwezo wowote wa kukisema chama hicho wala viongozi wake, akimtaka amalize kwanza matatizo waliyonayo yeye na wenzake ndani ya CCM, likiwemo la kujivua gamba, ambalo linaonekana kuwashinda.

Katika mkutano huo chama hicho kilisema pia kuwa hatua ya polisi kuzuia mikutano ya Operesheni Sangara-M4C kwa siku tano, kupisha shughuli ya sensa, kumekisaidia chama hicho kugundua mbinu na mikakati mizuri ya kuwafikia wananchi kwa mikutano ya ndani, ikiwa ni maandalizi ya mikutano ya hadhara, hivyo kupata mafanikio zaidi mkoani Iringa kuliko ilivyokuwa mkoani Morogoro.

Sitta ni kielelezo

Katibu Mkuu huyo wa CHADEMA ambaye aliwaambia waandishi wa habari kuwa amelazimika kumzungumzia mtu lakini kwa nia ya kuonesha alivyo kielelezo cha ubovu wa mfumo na uongozi wa serikali na CCM, alidai kuwa kwa sababu ya tabia ya unafiki aliyonayo Sitta, kiongozi huyo ni sawa na viongozi wengi wa serikali ya CCM akiwafafanisha na mbwa mwitu waliovaa ngozi ya kondoo.

“Nchi hii imefika hapa ilipo kwa sababu ya viongozi aina ya Sitta ambao hawasiti kusema uongo hadharani, wanafiki, hawana uadilifu, waongo, walio tayari kusaliti maslahi ya umma kulinda maslahi ya tumbo, Sitta yeye ana uzoefu gani, huu wa kulinda mafisadi bungeni kwa kupindisha hoja za ufisadi ili apate ubunge na uspika.

“Hivi Sitta atuambie anaposema CHADEMA haina watu wenye uwezo lini tuliwahi kusema tukiingia serikalini tutakuja na watu wetu wote au ndiyo yale mawazo ya kijinga kwamba CHADEMA wakishika nchi watapata wapi ikulu…atuambie kuna chuo kikuu chochote kinafundisha uwaziri au kuna chuo kikuu kinafundisha ukatibu mkuu wa wizara, asitupangie sisi namna ya kupata viongozi wetu.

“Hivi hajui kuwa Mwalimu alipopata nchi aliandaa watendaji. Hoja za kipuuzi, mtu akitoa hoja za kipuuzi, naye atakuwa mpuuzi tu wa kupuuzwa, tumefika hapa, nchi imegubikwa na uozo wa ufisadi kwa sababu ya mawaziri wa aina ya Sitta ambaye haogopi kuropoka hadharani, tena akiwatukana wapiga kura, ambao pia wengi wao ni vijana.

Hoja ya kuchezesha disko

“Anaposema Mbowe ni mchezesha disko anataka kupeleka ujumbe gani, anataka kusema nini…kwamba ni kosa, kwa hiyo anamaanisha wacheza disko ni criminals (watenda jinai), kwa hiyo wacheza disko ambao pia ni wapiga kura na wengi ni vijana ni criminals, je hajui kuwa kuna mawaziri wenzake wanaokesha pale Billicanas Club,” alisema Dkt. Slaa.

Aliongeza kusema kuwa hoja hiyo ya kumshambulia Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe kwa sababu ya kumiliki ukumbi wa mziki, kuwa nayo si hoja mbele ya watu makini, Dkt. Slaa alisema waziri huyo amedhihirisha alivyo mbumbumbu wa sheria na hajui lolote, tofauti na ambavyo siku zote ametaka kuonekana mbele ya jamii.

“Ni dhahiri hana uzoefu wowote na hajui, ndiyo maana ameishia kwenda kuwatukana wapiga kura yeye akifikiri anaimaliza CHADEMA, maana wacheza disko ndiyo wapiga kura hao hao, lakini yeye kama msomi kweli, tena anasema ni mwanasheria, alipaswa aelewe kuwa duniani kuna nyumba za disko za staha, zimesajiliwa na zinafanya kazi kwa mujibu wa sheria na zimepewa leseni na serikali, inalipa kodi na imetoa ajira kwa watu mbalimbali. Hivi anajua mulplications ya shughuli pale billicans, yaani ajira, kodi wanazolipa.

“Huyu Sitta kila siku anajiita yeye mwanasheria kumbe mbumbumbu kupindukia tu hana tofauti na wana CCM wenzake ambao jamii inawashangaa kwa matendo na kauli zao, ku-run club ni sawa na ku-run biashara nyingine yoyote, almuradi iendeshwe kisheria na kihalali, sasa kama anaona ni kosa aiambie serikali yake ifute leseni ya biashara hizo.

“Tulitegemea mtu ambaye anataka kuonekana ni mstaarabu, anahoji uzoefu wa wenzake nay eye anasema ana uzoefu angekuja na mawazo ya kupeleka nchi mbele kumbe yuko sawasawa tu na wenzake ndani ya CCM,” alisema Dkt. Slaa.

Ameingia kichwakichwa, kwenye tope

“Leo nalazimika kumzungumzia mtu, Watanzania wanajua mara chache sana CHADEMA huwa tunalazimika kuzungumzia watu badala ya masuala…lakini nitazungumza kwa namna ambayo huyo mtu atakuwa anawakilisha mfumo huu wa serikali ya CCM na chama chao jinsi ulivyooza na kutufikisha Watanzania hapa tulipo.

“Samuel Sitta ameingia kichwa kichwa kwenye matope ambayo hawezi kutoka wala kujinasua, muda mrefu tumemhifadhi lakini leo tutampiga ngumi za uso lakini kwa namna ambayo atakuwa anawakilisha mfumo huu uliooza…

“Ghafla tu ameamua kuibuka na kuzingumzia CHADEMA, badala ya kujenga chama chake, bila kujua amedhihirisha kuwa CHADEMA sasa ni tishio kwao, maana huwezi kuzungumzia kitu ambacho hakikuathiri, amedhihirisha namna ambavyo yeye wenzake sasa wanatapatapa kweli kwa sababu ya CHADEMA.”

Makombora zaidi; mlinda ufisadi na mafisadi

Dkt. Slaa alisema kuwa wakati chama hicho kilipoanza kuasisi hoja ya ufisadi nchini kikiwa mstari wa mbele kupiga vita kila aina ya ufisadi, Sitta wakati huo akiwa Spika wa Bunge, ndiye alikuwa mtu wa kwanza kuweka vikwanzo na vizingiti akilinda maslahi yake nay ale ya chama chake, badala ya maslahi ya wananchi.

“Yeye ndiye aliyepindisha hoja ya Zitto katika kashfa ya Buzwagi ambapo waziri alikuwa amesaini mkataba uliokuwa kinyume kabisa na maslahi ya nchi, tena akasaini nje ya nchi hotelini. Zitto aliposimama bungeni, Sitta badala ya kuangalia hoja hiyo kwa maslahi ya nchi, yeye na wenzake akaipindua kuwa Zitto amesema uongo bungeni.

“Huyu bwana hastahili hata kuwa waziri, anajidai yeye mpiganaji na mpambanaji, wapi? Katika hoja ile nani alikuwa mpiganaji Zitto au Sitta, akapindisha makusudi hoja ya ufisadi mkubwa wa Buzwagi kulinda maslahi anayoyajua mwenyewe. Wakamfukuza Zitto bungeni kwa miezi minne, baadae kelele zilivyozidi huku nje, wakaamua kumrejesha bungeni kimya kimya baada ya mwezi mmoja tu hivi.

“Lakini pia ni Sitta huyu huyu alizima hoja ya ufisadi wa BoT, mambo yote yale ya EPA, Kagoda, Deep Green sijui nini kila kitu kilichokuwa kikihusu BoT. Mtakumbuka aliwatangazia Watanzania kuwa nyaraka za Dokta Slaa ni fake za kuokoteza kwenye internet na nitampeleka polisi, mpaka leo hakunipeleka. Lakini Sitta alikuwa anajua tangu mwanzo, kadri nilivyokuwa nikikusanya documents alikuwa anajua na nampatia copy, mpaka ikafikia ile document kubwa ya mwisho.

“Lakini kwa unafiki wake ameahirisha bunge Ijumaa, Jumamosi akachukua ile document na kwenda nazo TBC akisema ni fake na atanipeleka polisi, lakini leo yako wapi…sasa mtu wa namna hii hafai hata kuwa naibu waziri, mtu yeyote anayelinda mafisadi na ufisadi ni fisadi kuliko mafisadi wenyewe, nawaambia haya kwa sababu tumefika hapa kwa sababu ya kuwa na viongozi, wakiwemo mawaziri wanafiki na waongo kama hawa.

“Lakini ili mjue Sitta ni mtu wa aina gani na kwamba hastahili kuaminika na Watanzania, haikuishia hapo, ufisadi wa Richmond mnajua alivyomaliza mjadala ule kihuni bungeni. Hadi leo hoja ile haina majibu, wakati tunahoji bungeni akafunga hoja ile kidikteta, sasa tunauliza huo ndiyo uzoefu alionao yeye au walionao wenzake, uzoefu wa kulinda mafisadi na ufisadi wa CCM na serikali yao, lakini sisi tunajua kwa nini alipindisha hoja ya Richmond, wakati huo alikuwa anabembeleza ili ateuliwe kuwania ubunge na baadae uspika, mnaona huyu ni mtu wa kuaminika kweli?”

“Hivi kwa matendo ya aina hii Sitta anaweza kutoka nje na kusema yeye ni jasiri na mzalendo, katika majasiri na wazalendo wa kweli Sitta hana sifa hizo, ndiyo maana wameshindwa hata kuyavua magamba kama walivyosema, sasa aende kwanza kwenye chama chake na serikalini, asaidie kuyaondoa magamba kabla hajaanza kutafuta aibu ya kuanikwa zaidi,” alisema Dkt. Slaa.

Siri zaidi; Sitta haaminiki

Dkt. Slaa aliongeza kusema kwa kutoboa siri zaidi namna ambavyo, yeye na Mwenyekiti wa CHADEMA Mbowe, walikuwa wakiendesha mazungumzo na Sitta wakati mwingine kwenye Ofisi ya Spika juu ya Sitta kuhamia CHADEMA na kuwania urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2010, akisema kuwa ulikuwa ni wakati ambapo waziri huyo pamoja na wenzake walipokuwa wameunda Chama Cha Jamii (CCJ) wakiwa bado wako CCM.

Alisema kuwa hata wakati huo bado Sitta alikuwa akionekana kutojiamini na maamuzi yake, ambapo wakati wa majadiliano ya kugombea urais, Sitta alisema kuwa kuna kundi la wabunge takriban 55 watiifu kwake ambao walikuwa tayari kuhama naye kumfuata CHADEMA.

“Leo natoa siri ambayo sijawahi kuitoa, Sitta ni mhanini. Tumekutana naye mara 100 na zaidi, tumeandikiana vimemo bungeni vya kukutana, wakati mwingine tumekutana hata Speaker’s lounge, tumekutana na Sitta na Mwenyekiti Mbowe, ambaye leo anamwita ni mchezesha disko mara nyingi tu. Lakini hata wakati huo pia hakuonekana kuwa jasiri, maana alikuwa ana wasiwasi nani wanamfuatilia au nani wanamuona, si mtu jasiri hivyo.

“Zikiwa zimebaki kama siku tano kabla ya kumaliza bunge la mwezi wa saba, kila nikimwandikia kimemo, hataki hata kunitazama, Sitta akayeyuka bila hata kutuaga, baadae CHADEMA tukaamua kutumia utaratibu mwingine na tukaweza kusonga mbele mpaka kufika pale tulipofika. Lakini baada ya uchaguzi akaja mwenyewe kunifuata akinishukuru sana na kunipongeza kuwa nilikuja na hoja tofauti kwenye uchaguzi akisema hata yeye asingeweza kufika tulipofika.

“Lakini hapo sasa tulishamshtukia na kugundua kuwa anataka kugombea uspika kupitia CHADEMA, nataka kuonesha namna huyu mtu alivyo mnafiki, mpotoshaji, nampatia challenge kama kweli yeye ni muumini mzuri akanushe haya, maana ametulazimisha kusema, kwa hoja zake za kupotosha watu na akumbuke, maana huwa anakwenda makanisani na anachanga mapesa, akumbuke maandiko yanasema, yeyote atakayepotosha wadogo hawa, anastahili kutoswa baharini, Makamu Mwenyekiti hapa ametumia Quran kufafanua vizuri,” alisema Dkt. Slaa.

“Maana kwa hakika anataka kupotosha watu ili waone kuwa kuchezesha disko ni suala lisilokuwa sahihi, huo ni upotoshaji, kama anataka kuonesha si sahihi mbona serikali yake hiyo hiyo inaendelea kukusanya kodi. Sasa ilipofikia kwenye suala la kugombea uspika, siku ile jina lake limekatwa kwa sababu walitaka mgombea mwanamke, alinipigia simu usiku wa saa tisa, bahati mbaya nilikuwa nimeweka simu silence, hakunipata.

“Saa 12 nikapokea simu ya mke wake, Margreth Sitta, anasema baba anakutafuta tangu usiku, anataka kuzungumza nawe, nikasema sawa, akaniambia Dokta Slaa wamenifanyia kitu kibaya sana, mimi nimeamua sasa nitagombea uspika kwa tiketi ya CHADEMA, najua umeshateua tayari mtu wa kugombea tayari, lakini naomba nikuhakikishie nafanya press conference saa 4 asubuhi leo, natangaza rasmi kugombea uspika kupitia CHADEMA. Nikamjibu CHADEMA maamuzi hayafanywi na mtu mmoja, nikamwambia asubiri niwasiliane na Mwenyekiti wangu wa chama.

“Baadae tukakubaliana tukutane nyumbani kwake, lakini akawa anasema tusubiri kwanza anamalizia kupanga mikakati na wabunge 55 wa CCM, lakini akisisitiza kuwa uamuzi wake uko pale pale, nikamuuliza vipi kuhusu press conference mbona muda unakaribia, akasema hakuna shida yeye atatuma tu watu wake wataitisha haraka, akasema lakini wanataka kumpatia unaibu waziri, hivyo bado anasumbuana nao, kengele ikalia kichwani sasa huyu mtu akipewa uwaziri itakuwaje.

“Baadae ananiambia, Dokta Slaa nimepigiwa simu na bwana mkubwa naenda kuonana naye, tangu wakati huo Sitta akapotea mpaka saa 8 ndiyo anapatikana, akaanza kuniambia ni lazima aende kwanza Urambo kuwaaga wazee, maana hawezi kuhama bila baraka zao, nikamuuliza vipi kuhusu press conference akasema tutaifanya Jumatatu ijayo Dar es Salaam, akaniambia; tena saa 9 uje uone statement ambayo nimeshaiandika ili na wewe uongeze inputs, Sitta huyu akaniambia kuwa Anne Makinda hatakaa zaidi ya miezi sita kwenye kiti cha uspika.”

Dkt. Slaa alisisitiza akisema kuwa nchi imefika hapa ilipo ikiwa imegubikwa na uozo wa ufisadi kila kona, ukiongeza idadi ya maadui wa taifa, kutoka watatu hadi wanne (umaskini, ujinga, maradhi na ufisadi/CCM) kuanzia ngazi ya chini hadi juu, kwa sababu ya ukosefu wa uadilifu, uaminifu kama Waziri Sitta.

Atalipuliwa zaidi

Dkt. Slaa alisema kuwa ameamua kuzungumza hayo machache kwa sasa, lakini ataongeza ‘kumlipua’ zaidi Sitta endapo atajitokeza kujibu haya ya sasa.

“Yeye ana uzoefu gani Sitta, hana uadilifu, si mwaminifu, nchi hii imeoza kwa sababu ya viongozi ya aina ya Sitta, nataka ajibu kwanza hayo kisha nitamlipua zaidi. Ana uadilifu gani katika nchi hii, ametumia mabilioni ya hela ya walipa kodi wa Tanzania kujijengea Ofisi ya Spika Urambo, tunauliza kuna spika wa Urambo au alijua yeye atakuwa spika wa milele au basi Makinda awe anakwenda Urambo wakati wa mapumziko ya bunge.

“Tulichoamua bungeni ni kwamba kila mbunge ajengewe ofisi yenye thamani isiyozidi milioni 40, lakini yeye akaenda kujijengea ofisi ya milioni 350 tena kwa kasma tofauti na inavyotakiwa lakini kibaya zaidi tendering process ya vifaa vya ofisi haikufutwa na vililetwa na kampuni ambayo majuzi imehusishwa na Blandina Nyoni, hakuna mahali tendering imefanyika, amefanyia ufisadi mali ya taifa,” alisema Dkt. Slaa.

Source; Jamii Forums

Dkt. Harrison Mwakyembe

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimeibua tuhuma nzito za ufisadi wa mabilioni ya fedha, kikidai kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), hasa kupitia makundi ya wasaka urais, kimeanza kutumia mbinu haramu kutafuna fedha za Watanzania kwa ajili ya kampeni za 2015, kwa namna ile ile iliyotumika kufanikisha wizi wa EPA, wakati wa uchaguzi mkuu mwaka 2005.

Katika mkutano na waandishi wa habari, CHADEMA kimedai kuwa ufisadi huo unasimamiwa na Waziri wa Uchukuzi, Harrison Mwakyembe, kikimtuhumu kuwa anatumia madaraka yake ya uwaziri ‘kuipatia’ Kampuni ya CCM iitwayo Jitegemee Trading Company zabuni ya kujenga mradi yenye thamani ya bilioni 10, kinyume cha taratibu kujenga eneo la maegesho kwenye eneo la CCM.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi wa Oganaizesheni na Mafunzo wa CHADEMA, Singo Benson Kigaila, amesema kuwa kwa msukumo wa Mwakyembe, Mamlaka ya Bandari (TPA), imetoa zabuni kwa kampuni hiyo inayodaiwa ni ya CCM, kujenga maegesho ya magari makubwa, makontena na malori eneo la SUKITA (Tabata) jijini Dar es Salaam.

Amesema kuwa kwa mujibu wa nyaraka ambazo chama hicho kimezinasa, Kampuni ya Jitegemee imepewa zabuni hiyo kinyume na shera za nchi, hususan ile ya Manunuzi ya Umma (PPRA), akisisitiza kuwa hakuna zabuni yoyote iliyotangazwa ili kuruhusu ushindani wa makampuni mbalimbali yenye sifa kufanya kazi hiyo.

“Ndugu wanahabari, mchezo wanaofanya CCM, hasa kupitia magenge ya watafuta urais, ni ule ule kutumia makampuni yao, mengine yakiwa hewa, kutafuta fedha haramu kwa kuwaibia Watanzania kama walivyofanya kabla na wakati wa uchaguzi wa mwaka 2005, pale makampuni yao yalipoiba fedha Benki Kuu na kusaidia kampeni za CCM kumpeleka Kikwete ikulu.” Alisema Benson na kuongeza;

“Sasa wameanza tena…wameanza kwa kupitia kampuni yao iitway Jitegemee Trading Company. Watalipwa bilioni 10, tena tayari zimeshapangwa kwenye bajeti ijayo. Kampuni hii kwa msukumo wa Mwakyembe, imepewa zabuni ya ujenzi wa maegesho eneo la SUKITA, yaani kampuni ya CCM imepewa zabuni kinyemela, kujenga maegesho kwenye eneo la CCM…kama mnavyojua eneo hilo lililopo Tabata, ni mali ya chama hicho.

“Kuna hoja tano za msingi hapa; kwanza mradi huu unaotaka kufanywa na Mwakyembe kwa kutumia kivuli cha TPA, kampuni hiyo haijafanyiwa tathmini ya upembuzi yakinifu…sawa sawa tuna ilivyokuwa kwa Kampuni ya kitapeli ya Richmond ambayo Mwakyembe huyo huyo akisoma ripoti yake bungeni alisema ni kosa.

“Pili, mradi hu wa Mwakyembe na chama chake, haukufuata Sheria ya Manunuzi ya Umma. Hakukuwa na zabuni iliyotangazwa wala ushindani kwa makampuni mengine yenye sifa kushindana. Tatu; nyaraka zilizopo TPA zinaonyesha kuwa tangu mwaka 2010 Bodi ya Bandari ilipokea maombi kutoka Manispaa ya Temeke ya kutaka kufanya ubia wa eneo la maegesho huko Kurasini

“Wazo hili halijawahi kufanyiwa kazi badala yake Mwakyembe amekuja na mradi wake. Vyanzo vyetu ndani ya serikali na CCM vinasema kuwa mmoja wa wajumbe wa TPA alipohoji kwa nini shirika linaingiza feha hizo kwenye mradi huueneo la SUKITA, Mkurugenzi wa Bandari alijibu “huuni mradi wa chama tawala, hivyo ni muhimu tukau-support,” alisema Kigaila akinukuu kikao cha bodi ya bandari.

Aliongezea akisema kuwa jambo la jingine katika mradi huo aliouita ni ufisadi wa kuitafutia CCM fedha kwa ajili ya kampeni za uchaguzi mkuu wa 2015 na ule wa serikali za mitaa mwaka ujao, ni uamuzi wa serikali kwenda kujenga mradi mkubwa kama huo eneo la Bonde la Msimbazi.

“Kila siku wanawaambia Watanzania wahame mabondeni…leo wanapeleka kujenga mradi huu eneo la bondeni ambako CCM walikuwa wakitumia kufuga ng’ombe na nguruwe na wakasombwa na mafuriko. Sasa leo wanataka magari makubwa, malori na makotena, mali za wateja ziengeshwe pale.

“Mbali na mradi huu kuitafutia CCM na genge la watu wengine wasaka urais fedha haramu kwa mgongo wa kodi za walipa kodi, mradi huu utasababisha hasara kubwa huko mbeleni, hasa pale mvua kubwa zitakapoanza kusomba mali za wateja…kumbukeni Mwakyembe yuko kwenye genge moja la urais na Samuel Sitta, Bernard Membe, anayeungwa mkono na Kikwete,” alisema Benson.

Mkurugenzi huyo wa Oganazisheni na Mafunzo wa CHADEMA alisema kuwa tangu Mwakyembe aondoe uongozi wa zamani wa Mamlaka ya Bandari, yeye na viongozi wapya, wamepuuza miradi yote ya mwanzo na badala yake wameingiza miradi mipya takriban 35, ambayo imeombewa fedha kwa nia hiyo hiyo ya kusaka fedha za urais.

Amewataka Watanzania kuzijua sura mbili za Waziri Mwakyembe, akidai kuwa si kiongozi wa kuaminika, akikumbushia namna alivyolinda maslahi ya CCM kwa kuwaficha Watanzania baadhi ya masuala katika kashfa ya Richmond na kukaa kimya pale maazimio ya bunge yaliyotokana na kamati yake, yalipopuuzwa.

Mwakyembe ndiye alifanikisha kujiuzulu kwa aliyekua Waziri Mkuu, Edward Lowassa,baada ya kuuvalia njuga mradi wa kifisadi ulopewa kampuni ya Richmond Development LLC, kwa njia ambayo sasa anautoa kwa kampuni ya Jitegemee.

Hatua hiyo ilimpa heshima kubwa Mwakyembe, jambo ambalo wadadisi wa mambo wamesema sasa ametumia heshima hiyo "kufanya atakavyo" hata kufikia hatua ya kuingia kwenye ufisadi.

====

Msomaji, nyaraka unaweza kuzisoma kupitia JamiiForums katika mada HII

Source; Fikra Pevu

Dkt. John Magufuli

(ukiweka pembeni kidogo tu kwa muda mfupi, ule ufisadi bab kubwa kuwahi kufanywa wa nyumba za serikali) sasa hivi analo zigo hili hapa la tuhuma za ufisadi wa mabilioni ya fedha;

Bil. 250/- za Magufuli zayeyuka

KAMBI rasmi ya upinzani bungeni, imefichua malipo ya madeni hewa mradi usio halisi ambao uligharimu fedha za serikali kupitia Wizara ya Ujenzi sh 252,975,000,000.

Ufisadi huo ulianikwa jana bungeni na Msemaji Mkuu wa Kambi hiyo kwa Wizara ya Ujenzi, Saidi Arfi (CHADEMA) wakati akiwasilisha maoni yao kwa mwaka wa fedha 2013/2014.

“Katika hotuba ya Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni kwenye bajeti ya mwaka 2011/2012 tulihoji kuhusiana na fedha zilizokuwa zimetengwa chini ya fungu lililojulikana kama “Special Road Construction Project,” alisema.

Huku akinukuu taarifa rasmi za Bunge kutoka hansard ya Agosti mosi, 2011, Arfi alisema kuwa walihoji miradi maalumu ya ujenzi wa barabara (kasma 4168).

Kwamba kitabu cha Miradi ya Maendeleo (sehemu-A juzuhu iv) katika fungu 98, kasma 4168 mradi uliojulikana kama “Miradi ya Ujenzi wa Barabara Maalumu” fungu hilo lilitengewa kiasi kikubwa kuliko miradi mingine yoyote ya ujenzi wa barabara katika mwaka huu wa fedha sh 348,075,000,000 fedha za ndani.

Alifafanua kuwa katika mjadala huo, aliyekuwa Naibu Waziri wa Ujenzi, Dk. Harisson Mwakyembe, alijibu hoja hiyo na kusema hizo fedha zilizopitishwa ni za Mfuko Maalumu ambao unaisaidia serikali pale ambapo mfadhili wa nje kwa mfano, anaamua kufadhili ujenzi wa barabara fulani na anasema serikali ichangie milioni kumi.

“Baada ya fedha hizi kupunguzwa kiasi cha sh bilioni 95 na kupelekwa Wizara ya Uchukuzi, zilibakia sh bilioni 252.975 katika kifungu hicho,” alisema Arfi.

Aliongeza kuwa wamelazimika kulikumbusha Bunge kuhusiana na suala hilo kwani kwa mujibu wa ripoti ya mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali ya mwaka husika wa fedha kuhusiana na kifungu hicho, alionyesha kasoro hiyo.

“Malipo ya madeni ya mwaka wa nyuma yaliyolipwa kwa fedha za 2011/2012 kwa kutumia jina la mradi usio halisi ni sh 252,975,000,000.

“Miradi katika wizara ilipewa namba 4168 kwa ajili ya kupitisha malipo ya madeni ya miaka ya nyuma kwa miradi inayotekelezwa na Tanroads. Namba hii sio halisi,” alinukuu taarifa ya CAG ukurasa 160, fungu 98.

Arfi alisema kuwa fedha hizo zilizopotea au kulipwa kwa kifungu hewa ni sawa na fedha zote zilizotengwa kwa ajili ya barabara kadhaa katika mwaka huu wa fedha 2013/2014.

Alizitaja barabara hizo kuwa ni ya Usagara-Geita-Kyamyorwa (km 422), Kigoma-Kidahwe-Uvinza-Kaliua-Tabora (mk 443), Nangurukuru-Mbwemkulu (km 95), Sumbawanga-Matai-Kasanga Port (km 112) na Manyoni-Itigi-Tabora (km 264).

Zingine ni Tabora-Ipole-Konga-Mpanda (km 359), Kidatu-Ifakara-Lupilo-Malinyi-Londo-Lumecha/Songea (km 396), kuondoa msongamano barabara za Dar es Salaam (km 102.15).

“Ni sawa na kusema kuwa barabara ya lami yenye urefu wa kilomita 316.218 imepotea kwa kutumia mahesabu ya Wizara ya Ujenzi kuwa kilomita moja ya lami inajengwa kwa kiasi cha sh milioni 800.

“Hii ni sawa na kusema kuwa barabara ya kutoka Manyoni-Itigi-Tabora (km 264) Changanya na barabara ya kutoka Chunya –Makongorosi (km 43) na Tangi Bovu –Goba (km 9), zimepotea kutokana na ufisadi huu,” alisema.

Alisema kuwa kambi rasmi ya upinzani, inataka kupata majibu kuhusu fedha hizo zilizokuwa zimetengwa, zilitumika kwa ajili ya kufanyia shughuli gani.

Arfi pia aligusia kuporomoka kwa majengo marefu nchini akisema yako matukio kadhaa yaliyotokea ambayo kambi hiyo inataka maelezo ya kina na kutosheleza na hatua zilizochukuliwa ili kuzuia hali hii isijirudie tena na kuleta maafa kwa Watanzania.

“Kambi Rasmi ya Upinzani inatambua majukumu ya wizara hii pamoja na kuzisimamia taasisi zilizoko chini ya wizara hii ikiwemo Baraza la Ujenzi (NCC), Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB), Bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi (AQSRB), Pia Bodi ya Usajili wa Makandarasi (CRB) na vyombo hivi kufanya kazi kwa mujibu wa sheria na taratibu za miundo yake.

“Pole na kufarijiana pekee haitoshi bado tunajiuliza kama nchi ni lini viongozi wetu wataheshimu, kuwajibika na kutekeleza majukumu yao na kuwa na ujasiri wa kutafuta mbinu za kutatua matatizo pindi tunapokutana na mambo magumu katika utendaji wetu na si kukimbia matatizo kwa kujificha chini ya migongo ya watendaji wengine,” alisema.

Alisema kuwa wanataka kujua ukaguzi huo ulifanyika katika vyuo gani na hali ikoje na ni hatua gani zilichukuliwa dhidi ya vyuo ambavyo wahandisi na wahadhiri walikutwa hawana sifa stahiki.

Aliongeza kuwa kumekuwepo malalamiko na kutokuridhishwa na hatua zinazochukuliwa na wizara na taasisi zake hususan Tanroads kutowalipa wananchi fidia stahiki za haki na kwa wakati.

Alisema kuwa wananchi hawaridhishwi na kauli za viongozi wa wizara hususan katika suala la kuwalipa fidia kwa mali zao wakipisha miradi mbalimbali ya ujenzi nchini.

Source; Tanzania Daima

Bernard Membe

Ukiachilia mbali kutokuwa hata na uwezo wa kujua hasa anataka kusema au kufanya nini kupitia kauli zake zisizoeleweka, ukiweka pembeni pia kashfa ya ufisadi wa fedha kutoka nje ya nchi, ukiweka pembeni kashfa za ufisadi wa mabilioni wizarani kwake, ukiweka kando kidogo tuhuma za kuhusika kufungia Mwanahalisi, ukisahau kidogo ushirika wake na yule bosi wa UWT anayehusika kuwinda kwa ajili ya kutesa, kutoa kucha na kuminya..., wanahabari na wanaharakati, vile ambavyo mwenzake Lowassa anashirikiana na yule aliyekuwa namba moja wa UWT akahusika katika ufisadi, kuna hii analysis ya Rutashubanyuma, hapa JF;

Friends of Bernard Membe at the University of Dar-Es-Salaam still believe they have got their man who is heading nowhere but to the state house in replacement of JK….comes 2015.

This can only narrate why the UDASSA was so eager and willing to invite Membe as their chief guest at Nkrumah Hall today marking our 51st Independence anniversary! I can find no other persuasive reason to exculpate UDASSA from this political prank.

From my contextualizing of Membe’s forgettable speech, I gleaned an intense desire to inaugurate his presidential bid as an UDSM alumnus, a man of immense intellectual prowess, ready and willing to lead the nation from the front. But is he ready? I am keenly aware of his burning ambition to be our fifth president but is he ready and/ or will he ever be?

This pithy deposition intends to show that Bernard Membe is an overambitious politician who has no political skills to change the socio-economic course this nation has been taking to abyss, and lead us to the Promised Land.

I have jotted down ten points to dissect a man behind the mirror:-

1) A case of limited brainpower?

Generally speaking, he lacks intellectual ability; and, will this dot.com generation really find him a sure bet to their economic plight? I have my doubts………you should have yours, too.

2) A n escapologist to theories?

He spent too much soliloquizing on his defaulted memory of academic theories that was too detached to the subject at hand…………………and I keep wondering is this man really sane or suffering from “Romnesia”?..................I t is defined as convenient amnesia……………

3) Too defensive of ccm long tales of lost opportunities?

Defending ccm makes sense since he is in the high table dining with “who is who” in this nation but Membe needs an incisive mind to plead with his audience to overlook ccm massive economic mismanagement and advance a case for an inexorable patience and an enduring faith in what is festering rot in this nation where millions are going days without their daily bread……….while we know they deserve better given a multitude of resources this nation boast of!

4) Claiming too much know-how?

Speaking in broken English and sounding like a Kenyan “Sheng” has its place but for a truly reliable leader Membe has to choose one language which his audience will be comfortable with and Membe was echoing something like …………… Kiswahili is “okay” but English is “baba yao”…………..And his whole speech was prepared beforehand and Membe struggled to find rhythmic relevance in such an impassioned crowd whose themes were: never backward but forward ever………Be proud of Kiswahili Membe, if you want to be taken serious with Kiswahili proficient voters………

5) Too idealistic?

We all have theories that have stuck into our memories like leech nibbling our tender skin but do we need to remind our audience that we went to schools when schools were really schools particular in this era where community colleges are churning out semi-illiterate graduates?

It is of profound importance to mention that, Membe considers Bw. “Bomobomoa” Magufuli as a threat to his political ambition. Do you know why I have reached to this conclusion? Magufuli is always reminding us, he was a good student of Chemistry judging from a number of theoretical postulations he love to showboat before us……………..and of recent memory, two days ago Magufuli in his an unequivocal campaign for Raila presidential bid……………theories of Chemistry came very handy, though I doubted he was effective given of the stature of their irrelevance…………..my take Membe is only mimicking Bw. “Bomoabomoa.”

And nothing more…….copycats rarely ascend to Ikulu and Membe ought to begin being himself…………..telling us what he will do different from JK and why did he not do it while still part of JK power hegemony for ten years come 2015, will definitely help his presidential bid.

6) What about intellectual arrogance?

That intellectual smugness seems to ooze out of Membe unapologetically as if it is part of the curriculum vita he needs to bag a presidential job. It is time I wake him out of that delusional slumber: We elect presidents to lead and not to showcasing their intellectual prowess in irrelevant matters.

7) A “D” graded student of post-independence African history?

When Membe cited TZ as the only nation in post-independence Africa that was spared of coup-d’état, I kept wondering was he a little tipsy or it is just an illustration of poor attention to African history? Whatever the case Kenya, Malawi, Mozambique and Zambia just around our border have fared just like us and the lack of military coups in post-independent Africa is not a confinement of TZ as Membe would like us to believe. Where Membe generated the audacity to challenge his audience to name just one country in post-independent Africa devoid of military putsches……..I find his vigorous demeanor part of a major problem: Not assessing his intellectual strength and that will trouble if not capsize Membe’s campaign to state house.

8) Lacks persuasive power despite vehement intonations?

Where Membe regards his vehement deliveries as strength, I view them as a source of his internal weaknesses. Where vehemence is detached from reality is a sign of self-doubt papered over with intimidation tactics that his victims will be overwhelmed with his emotional synergies and fail to search out his misleading statements………well, Membe can fool all of us for sometime but the challenge he has is to fool all of us all the time, and time seems to be running out of him.

9) Low likeability constraints?

Without brainpower, without persuasive skills and over-dependent on emotional energies to win the state house even his coterie of plaudits led by Mama JK; entirely on tribal arithmetics, will find the going very testy come 2015…………………It is very difficult to sell the Membe presidential candidature even within ccm rank and file……………Huyu Mheshimiwa hauziki hata kidogo.

10) Is there a place for an oversize ego in a presidential race?

With all of JK’s weaknesses but he can convince many that he is humble although those few who had the privilege to encounter the innermost character in JK will argue he is haughty and unforgiving……….where inner traits matter but when they are negative and open for discussion it spells nothing but trouble for Membe. If there is anything Membe can learn and internalize from JK is a genial smile, and at least a false humility facial outlook………………if he can not muster a genuine one. We love a boss who sounds like a servant while we know he is not…………despite oozing out with tons of hypocrisy.

A change of demeanor and attitude will do Membe a great deal……………..and pretending he is omniscient above all will with obvious certitude yank away many potential a vote………………….

Will I ever vote for Membe? Knowing three years are ahead of us, I can safely confess it is too far ahead to commit myself either way but so far I am really not impressed with his attempts..

Source; analysis ya Rutashubanyuma hapa JF

Kwa sasa ni hayo, waache waendelee kuja, maana vita wasioiweza wameitaka wao. Hadi sasa hata adui yao hawamjui, nao wanafikiri kama wanavyofikiri akina Team Lowassa, adui yao ni CHADEMA, hivyo kuanzia sasa hawa jamaa wategemee kufumuliwa.

Jr
 
Waache kwanza u-chichidodo (refer to Ayi Kwei Armah in "The Beatyful Ones Are Not Yet Born) ndiyo waweze kusimama kama watu wanaoweza kufikiriwa kuwa ni wapiganaji katika wakati huu tulio nao, vinginevyo kule usukumani husema 'babucha ba malundi...'

Mathalani, mifano michache tu...kwa kuanzia hii ngwe wanayoitaka.

Samuel Sitta


CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimemshukia Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta, kikisema kiongozi huyo si mwadilifu, si mwaminifu na mnafiki, akiwa ni mwakilishi na kielelezo cha mfumo uliooza katika serikali ya CCM uliolifikisha taifa hapa lilipo.

Kimesema kuwa tabia za Sitta hasa katika kuua mijadala ya kifisadi ndani ya bunge, kwa ajili ya kulinda maslahi yake binafsi ya kusaka vyeo, inamfanya asiwe tofauti na watuhumiwa wengine wa ufisadi ndani ya chama chake na serikalini, kikishutumu kuwa mlinda ufisadi na mafisadi ama ni naye ni fisadi kama wenzake au ni fisadi mkubwa kuliko mafisadi wenyewe.

Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari mjini Iringa jana Ijumaa, Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dkt. Willibroad Slaa alisema kuwa Sitta hana uwezo wowote wa kukisema chama hicho wala viongozi wake, akimtaka amalize kwanza matatizo waliyonayo yeye na wenzake ndani ya CCM, likiwemo la kujivua gamba, ambalo linaonekana kuwashinda.

Katika mkutano huo chama hicho kilisema pia kuwa hatua ya polisi kuzuia mikutano ya Operesheni Sangara-M4C kwa siku tano, kupisha shughuli ya sensa, kumekisaidia chama hicho kugundua mbinu na mikakati mizuri ya kuwafikia wananchi kwa mikutano ya ndani, ikiwa ni maandalizi ya mikutano ya hadhara, hivyo kupata mafanikio zaidi mkoani Iringa kuliko ilivyokuwa mkoani Morogoro.

Sitta ni kielelezo

Katibu Mkuu huyo wa CHADEMA ambaye aliwaambia waandishi wa habari kuwa amelazimika kumzungumzia mtu lakini kwa nia ya kuonesha alivyo kielelezo cha ubovu wa mfumo na uongozi wa serikali na CCM, alidai kuwa kwa sababu ya tabia ya unafiki aliyonayo Sitta, kiongozi huyo ni sawa na viongozi wengi wa serikali ya CCM akiwafafanisha na mbwa mwitu waliovaa ngozi ya kondoo.

Nchi hii imefika hapa ilipo kwa sababu ya viongozi aina ya Sitta ambao hawasiti kusema uongo hadharani, wanafiki, hawana uadilifu, waongo, walio tayari kusaliti maslahi ya umma kulinda maslahi ya tumbo, Sitta yeye ana uzoefu gani, huu wa kulinda mafisadi bungeni kwa kupindisha hoja za ufisadi ili apate ubunge na uspika.

Hivi Sitta atuambie anaposema CHADEMA haina watu wenye uwezo lini tuliwahi kusema tukiingia serikalini tutakuja na watu wetu wote au ndiyo yale mawazo ya kijinga kwamba CHADEMA wakishika nchi watapata wapi ikuluatuambie kuna chuo kikuu chochote kinafundisha uwaziri au kuna chuo kikuu kinafundisha ukatibu mkuu wa wizara, asitupangie sisi namna ya kupata viongozi wetu.

Hivi hajui kuwa Mwalimu alipopata nchi aliandaa watendaji. Hoja za kipuuzi, mtu akitoa hoja za kipuuzi, naye atakuwa mpuuzi tu wa kupuuzwa, tumefika hapa, nchi imegubikwa na uozo wa ufisadi kwa sababu ya mawaziri wa aina ya Sitta ambaye haogopi kuropoka hadharani, tena akiwatukana wapiga kura, ambao pia wengi wao ni vijana.

Hoja ya kuchezesha disko

Anaposema Mbowe ni mchezesha disko anataka kupeleka ujumbe gani, anataka kusema ninikwamba ni kosa, kwa hiyo anamaanisha wacheza disko ni criminals (watenda jinai), kwa hiyo wacheza disko ambao pia ni wapiga kura na wengi ni vijana ni criminals, je hajui kuwa kuna mawaziri wenzake wanaokesha pale Billicanas Club, alisema Dkt. Slaa.

Aliongeza kusema kuwa hoja hiyo ya kumshambulia Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe kwa sababu ya kumiliki ukumbi wa mziki, kuwa nayo si hoja mbele ya watu makini, Dkt. Slaa alisema waziri huyo amedhihirisha alivyo mbumbumbu wa sheria na hajui lolote, tofauti na ambavyo siku zote ametaka kuonekana mbele ya jamii.

Ni dhahiri hana uzoefu wowote na hajui, ndiyo maana ameishia kwenda kuwatukana wapiga kura yeye akifikiri anaimaliza CHADEMA, maana wacheza disko ndiyo wapiga kura hao hao, lakini yeye kama msomi kweli, tena anasema ni mwanasheria, alipaswa aelewe kuwa duniani kuna nyumba za disko za staha, zimesajiliwa na zinafanya kazi kwa mujibu wa sheria na zimepewa leseni na serikali, inalipa kodi na imetoa ajira kwa watu mbalimbali. Hivi anajua mulplications ya shughuli pale billicans, yaani ajira, kodi wanazolipa.

Huyu Sitta kila siku anajiita yeye mwanasheria kumbe mbumbumbu kupindukia tu hana tofauti na wana CCM wenzake ambao jamii inawashangaa kwa matendo na kauli zao, ku-run club ni sawa na ku-run biashara nyingine yoyote, almuradi iendeshwe kisheria na kihalali, sasa kama anaona ni kosa aiambie serikali yake ifute leseni ya biashara hizo.

Tulitegemea mtu ambaye anataka kuonekana ni mstaarabu, anahoji uzoefu wa wenzake nay eye anasema ana uzoefu angekuja na mawazo ya kupeleka nchi mbele kumbe yuko sawasawa tu na wenzake ndani ya CCM, alisema Dkt. Slaa.

Ameingia kichwakichwa, kwenye tope

Leo nalazimika kumzungumzia mtu, Watanzania wanajua mara chache sana CHADEMA huwa tunalazimika kuzungumzia watu badala ya masualalakini nitazungumza kwa namna ambayo huyo mtu atakuwa anawakilisha mfumo huu wa serikali ya CCM na chama chao jinsi ulivyooza na kutufikisha Watanzania hapa tulipo.

Samuel Sitta ameingia kichwa kichwa kwenye matope ambayo hawezi kutoka wala kujinasua, muda mrefu tumemhifadhi lakini leo tutampiga ngumi za uso lakini kwa namna ambayo atakuwa anawakilisha mfumo huu uliooza

Ghafla tu ameamua kuibuka na kuzingumzia CHADEMA, badala ya kujenga chama chake, bila kujua amedhihirisha kuwa CHADEMA sasa ni tishio kwao, maana huwezi kuzungumzia kitu ambacho hakikuathiri, amedhihirisha namna ambavyo yeye wenzake sasa wanatapatapa kweli kwa sababu ya CHADEMA.

Makombora zaidi; mlinda ufisadi na mafisadi

Dkt. Slaa alisema kuwa wakati chama hicho kilipoanza kuasisi hoja ya ufisadi nchini kikiwa mstari wa mbele kupiga vita kila aina ya ufisadi, Sitta wakati huo akiwa Spika wa Bunge, ndiye alikuwa mtu wa kwanza kuweka vikwanzo na vizingiti akilinda maslahi yake nay ale ya chama chake, badala ya maslahi ya wananchi.

Yeye ndiye aliyepindisha hoja ya Zitto katika kashfa ya Buzwagi ambapo waziri alikuwa amesaini mkataba uliokuwa kinyume kabisa na maslahi ya nchi, tena akasaini nje ya nchi hotelini. Zitto aliposimama bungeni, Sitta badala ya kuangalia hoja hiyo kwa maslahi ya nchi, yeye na wenzake akaipindua kuwa Zitto amesema uongo bungeni.

Huyu bwana hastahili hata kuwa waziri, anajidai yeye mpiganaji na mpambanaji, wapi? Katika hoja ile nani alikuwa mpiganaji Zitto au Sitta, akapindisha makusudi hoja ya ufisadi mkubwa wa Buzwagi kulinda maslahi anayoyajua mwenyewe. Wakamfukuza Zitto bungeni kwa miezi minne, baadae kelele zilivyozidi huku nje, wakaamua kumrejesha bungeni kimya kimya baada ya mwezi mmoja tu hivi.

Lakini pia ni Sitta huyu huyu alizima hoja ya ufisadi wa BoT, mambo yote yale ya EPA, Kagoda, Deep Green sijui nini kila kitu kilichokuwa kikihusu BoT. Mtakumbuka aliwatangazia Watanzania kuwa nyaraka za Dokta Slaa ni fake za kuokoteza kwenye internet na nitampeleka polisi, mpaka leo hakunipeleka. Lakini Sitta alikuwa anajua tangu mwanzo, kadri nilivyokuwa nikikusanya documents alikuwa anajua na nampatia copy, mpaka ikafikia ile document kubwa ya mwisho.

Lakini kwa unafiki wake ameahirisha bunge Ijumaa, Jumamosi akachukua ile document na kwenda nazo TBC akisema ni fake na atanipeleka polisi, lakini leo yako wapisasa mtu wa namna hii hafai hata kuwa naibu waziri, mtu yeyote anayelinda mafisadi na ufisadi ni fisadi kuliko mafisadi wenyewe, nawaambia haya kwa sababu tumefika hapa kwa sababu ya kuwa na viongozi, wakiwemo mawaziri wanafiki na waongo kama hawa.

Lakini ili mjue Sitta ni mtu wa aina gani na kwamba hastahili kuaminika na Watanzania, haikuishia hapo, ufisadi wa Richmond mnajua alivyomaliza mjadala ule kihuni bungeni. Hadi leo hoja ile haina majibu, wakati tunahoji bungeni akafunga hoja ile kidikteta, sasa tunauliza huo ndiyo uzoefu alionao yeye au walionao wenzake, uzoefu wa kulinda mafisadi na ufisadi wa CCM na serikali yao, lakini sisi tunajua kwa nini alipindisha hoja ya Richmond, wakati huo alikuwa anabembeleza ili ateuliwe kuwania ubunge na baadae uspika, mnaona huyu ni mtu wa kuaminika kweli?

Hivi kwa matendo ya aina hii Sitta anaweza kutoka nje na kusema yeye ni jasiri na mzalendo, katika majasiri na wazalendo wa kweli Sitta hana sifa hizo, ndiyo maana wameshindwa hata kuyavua magamba kama walivyosema, sasa aende kwanza kwenye chama chake na serikalini, asaidie kuyaondoa magamba kabla hajaanza kutafuta aibu ya kuanikwa zaidi, alisema Dkt. Slaa.

Siri zaidi; Sitta haaminiki

Dkt. Slaa aliongeza kusema kwa kutoboa siri zaidi namna ambavyo, yeye na Mwenyekiti wa CHADEMA Mbowe, walikuwa wakiendesha mazungumzo na Sitta wakati mwingine kwenye Ofisi ya Spika juu ya Sitta kuhamia CHADEMA na kuwania urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2010, akisema kuwa ulikuwa ni wakati ambapo waziri huyo pamoja na wenzake walipokuwa wameunda Chama Cha Jamii (CCJ) wakiwa bado wako CCM.

Alisema kuwa hata wakati huo bado Sitta alikuwa akionekana kutojiamini na maamuzi yake, ambapo wakati wa majadiliano ya kugombea urais, Sitta alisema kuwa kuna kundi la wabunge takriban 55 watiifu kwake ambao walikuwa tayari kuhama naye kumfuata CHADEMA.

Leo natoa siri ambayo sijawahi kuitoa, Sitta ni mhanini. Tumekutana naye mara 100 na zaidi, tumeandikiana vimemo bungeni vya kukutana, wakati mwingine tumekutana hata Speakers lounge, tumekutana na Sitta na Mwenyekiti Mbowe, ambaye leo anamwita ni mchezesha disko mara nyingi tu. Lakini hata wakati huo pia hakuonekana kuwa jasiri, maana alikuwa ana wasiwasi nani wanamfuatilia au nani wanamuona, si mtu jasiri hivyo.

Zikiwa zimebaki kama siku tano kabla ya kumaliza bunge la mwezi wa saba, kila nikimwandikia kimemo, hataki hata kunitazama, Sitta akayeyuka bila hata kutuaga, baadae CHADEMA tukaamua kutumia utaratibu mwingine na tukaweza kusonga mbele mpaka kufika pale tulipofika. Lakini baada ya uchaguzi akaja mwenyewe kunifuata akinishukuru sana na kunipongeza kuwa nilikuja na hoja tofauti kwenye uchaguzi akisema hata yeye asingeweza kufika tulipofika.

Lakini hapo sasa tulishamshtukia na kugundua kuwa anataka kugombea uspika kupitia CHADEMA, nataka kuonesha namna huyu mtu alivyo mnafiki, mpotoshaji, nampatia challenge kama kweli yeye ni muumini mzuri akanushe haya, maana ametulazimisha kusema, kwa hoja zake za kupotosha watu na akumbuke, maana huwa anakwenda makanisani na anachanga mapesa, akumbuke maandiko yanasema, yeyote atakayepotosha wadogo hawa, anastahili kutoswa baharini, Makamu Mwenyekiti hapa ametumia Quran kufafanua vizuri, alisema Dkt. Slaa.

Maana kwa hakika anataka kupotosha watu ili waone kuwa kuchezesha disko ni suala lisilokuwa sahihi, huo ni upotoshaji, kama anataka kuonesha si sahihi mbona serikali yake hiyo hiyo inaendelea kukusanya kodi. Sasa ilipofikia kwenye suala la kugombea uspika, siku ile jina lake limekatwa kwa sababu walitaka mgombea mwanamke, alinipigia simu usiku wa saa tisa, bahati mbaya nilikuwa nimeweka simu silence, hakunipata.

Saa 12 nikapokea simu ya mke wake, Margreth Sitta, anasema baba anakutafuta tangu usiku, anataka kuzungumza nawe, nikasema sawa, akaniambia Dokta Slaa wamenifanyia kitu kibaya sana, mimi nimeamua sasa nitagombea uspika kwa tiketi ya CHADEMA, najua umeshateua tayari mtu wa kugombea tayari, lakini naomba nikuhakikishie nafanya press conference saa 4 asubuhi leo, natangaza rasmi kugombea uspika kupitia CHADEMA. Nikamjibu CHADEMA maamuzi hayafanywi na mtu mmoja, nikamwambia asubiri niwasiliane na Mwenyekiti wangu wa chama.

Baadae tukakubaliana tukutane nyumbani kwake, lakini akawa anasema tusubiri kwanza anamalizia kupanga mikakati na wabunge 55 wa CCM, lakini akisisitiza kuwa uamuzi wake uko pale pale, nikamuuliza vipi kuhusu press conference mbona muda unakaribia, akasema hakuna shida yeye atatuma tu watu wake wataitisha haraka, akasema lakini wanataka kumpatia unaibu waziri, hivyo bado anasumbuana nao, kengele ikalia kichwani sasa huyu mtu akipewa uwaziri itakuwaje.

Baadae ananiambia, Dokta Slaa nimepigiwa simu na bwana mkubwa naenda kuonana naye, tangu wakati huo Sitta akapotea mpaka saa 8 ndiyo anapatikana, akaanza kuniambia ni lazima aende kwanza Urambo kuwaaga wazee, maana hawezi kuhama bila baraka zao, nikamuuliza vipi kuhusu press conference akasema tutaifanya Jumatatu ijayo Dar es Salaam, akaniambia; tena saa 9 uje uone statement ambayo nimeshaiandika ili na wewe uongeze inputs, Sitta huyu akaniambia kuwa Anne Makinda hatakaa zaidi ya miezi sita kwenye kiti cha uspika.

Dkt. Slaa alisisitiza akisema kuwa nchi imefika hapa ilipo ikiwa imegubikwa na uozo wa ufisadi kila kona, ukiongeza idadi ya maadui wa taifa, kutoka watatu hadi wanne (umaskini, ujinga, maradhi na ufisadi/CCM) kuanzia ngazi ya chini hadi juu, kwa sababu ya ukosefu wa uadilifu, uaminifu kama Waziri Sitta.

Atalipuliwa zaidi

Dkt. Slaa alisema kuwa ameamua kuzungumza hayo machache kwa sasa, lakini ataongeza kumlipua zaidi Sitta endapo atajitokeza kujibu haya ya sasa.

Yeye ana uzoefu gani Sitta, hana uadilifu, si mwaminifu, nchi hii imeoza kwa sababu ya viongozi ya aina ya Sitta, nataka ajibu kwanza hayo kisha nitamlipua zaidi. Ana uadilifu gani katika nchi hii, ametumia mabilioni ya hela ya walipa kodi wa Tanzania kujijengea Ofisi ya Spika Urambo, tunauliza kuna spika wa Urambo au alijua yeye atakuwa spika wa milele au basi Makinda awe anakwenda Urambo wakati wa mapumziko ya bunge.

Tulichoamua bungeni ni kwamba kila mbunge ajengewe ofisi yenye thamani isiyozidi milioni 40, lakini yeye akaenda kujijengea ofisi ya milioni 350 tena kwa kasma tofauti na inavyotakiwa lakini kibaya zaidi tendering process ya vifaa vya ofisi haikufutwa na vililetwa na kampuni ambayo majuzi imehusishwa na Blandina Nyoni, hakuna mahali tendering imefanyika, amefanyia ufisadi mali ya taifa, alisema Dkt. Slaa.

Source; Jamii Forums

Dkt. Harrison Mwakyembe

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimeibua tuhuma nzito za ufisadi wa mabilioni ya fedha, kikidai kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), hasa kupitia makundi ya wasaka urais, kimeanza kutumia mbinu haramu kutafuna fedha za Watanzania kwa ajili ya kampeni za 2015, kwa namna ile ile iliyotumika kufanikisha wizi wa EPA, wakati wa uchaguzi mkuu mwaka 2005.


Katika mkutano na waandishi wa habari, CHADEMA kimedai kuwa ufisadi huo unasimamiwa na Waziri wa Uchukuzi, Harrison Mwakyembe, kikimtuhumu kuwa anatumia madaraka yake ya uwaziri kuipatia Kampuni ya CCM iitwayo Jitegemee Trading Company zabuni ya kujenga mradi yenye thamani ya bilioni 10, kinyume cha taratibu kujenga eneo la maegesho kwenye eneo la CCM.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi wa Oganaizesheni na Mafunzo wa CHADEMA, Singo Benson Kigaila, amesema kuwa kwa msukumo wa Mwakyembe, Mamlaka ya Bandari (TPA), imetoa zabuni kwa kampuni hiyo inayodaiwa ni ya CCM, kujenga maegesho ya magari makubwa, makontena na malori eneo la SUKITA (Tabata) jijini Dar es Salaam.

Amesema kuwa kwa mujibu wa nyaraka ambazo chama hicho kimezinasa, Kampuni ya Jitegemee imepewa zabuni hiyo kinyume na shera za nchi, hususan ile ya Manunuzi ya Umma (PPRA), akisisitiza kuwa hakuna zabuni yoyote iliyotangazwa ili kuruhusu ushindani wa makampuni mbalimbali yenye sifa kufanya kazi hiyo.

Ndugu wanahabari, mchezo wanaofanya CCM, hasa kupitia magenge ya watafuta urais, ni ule ule kutumia makampuni yao, mengine yakiwa hewa, kutafuta fedha haramu kwa kuwaibia Watanzania kama walivyofanya kabla na wakati wa uchaguzi wa mwaka 2005, pale makampuni yao yalipoiba fedha Benki Kuu na kusaidia kampeni za CCM kumpeleka Kikwete ikulu. Alisema Benson na kuongeza;

Sasa wameanza tenawameanza kwa kupitia kampuni yao iitway Jitegemee Trading Company. Watalipwa bilioni 10, tena tayari zimeshapangwa kwenye bajeti ijayo. Kampuni hii kwa msukumo wa Mwakyembe, imepewa zabuni ya ujenzi wa maegesho eneo la SUKITA, yaani kampuni ya CCM imepewa zabuni kinyemela, kujenga maegesho kwenye eneo la CCMkama mnavyojua eneo hilo lililopo Tabata, ni mali ya chama hicho.

Kuna hoja tano za msingi hapa; kwanza mradi huu unaotaka kufanywa na Mwakyembe kwa kutumia kivuli cha TPA, kampuni hiyo haijafanyiwa tathmini ya upembuzi yakinifusawa sawa tuna ilivyokuwa kwa Kampuni ya kitapeli ya Richmond ambayo Mwakyembe huyo huyo akisoma ripoti yake bungeni alisema ni kosa.

Pili, mradi hu wa Mwakyembe na chama chake, haukufuata Sheria ya Manunuzi ya Umma. Hakukuwa na zabuni iliyotangazwa wala ushindani kwa makampuni mengine yenye sifa kushindana. Tatu; nyaraka zilizopo TPA zinaonyesha kuwa tangu mwaka 2010 Bodi ya Bandari ilipokea maombi kutoka Manispaa ya Temeke ya kutaka kufanya ubia wa eneo la maegesho huko Kurasini

Wazo hili halijawahi kufanyiwa kazi badala yake Mwakyembe amekuja na mradi wake. Vyanzo vyetu ndani ya serikali na CCM vinasema kuwa mmoja wa wajumbe wa TPA alipohoji kwa nini shirika linaingiza feha hizo kwenye mradi huueneo la SUKITA, Mkurugenzi wa Bandari alijibu huuni mradi wa chama tawala, hivyo ni muhimu tukau-support, alisema Kigaila akinukuu kikao cha bodi ya bandari.

Aliongezea akisema kuwa jambo la jingine katika mradi huo aliouita ni ufisadi wa kuitafutia CCM fedha kwa ajili ya kampeni za uchaguzi mkuu wa 2015 na ule wa serikali za mitaa mwaka ujao, ni uamuzi wa serikali kwenda kujenga mradi mkubwa kama huo eneo la Bonde la Msimbazi.

Kila siku wanawaambia Watanzania wahame mabondenileo wanapeleka kujenga mradi huu eneo la bondeni ambako CCM walikuwa wakitumia kufuga ngombe na nguruwe na wakasombwa na mafuriko. Sasa leo wanataka magari makubwa, malori na makotena, mali za wateja ziengeshwe pale.

Mbali na mradi huu kuitafutia CCM na genge la watu wengine wasaka urais fedha haramu kwa mgongo wa kodi za walipa kodi, mradi huu utasababisha hasara kubwa huko mbeleni, hasa pale mvua kubwa zitakapoanza kusomba mali za watejakumbukeni Mwakyembe yuko kwenye genge moja la urais na Samuel Sitta, Bernard Membe, anayeungwa mkono na Kikwete, alisema Benson.

Mkurugenzi huyo wa Oganazisheni na Mafunzo wa CHADEMA alisema kuwa tangu Mwakyembe aondoe uongozi wa zamani wa Mamlaka ya Bandari, yeye na viongozi wapya, wamepuuza miradi yote ya mwanzo na badala yake wameingiza miradi mipya takriban 35, ambayo imeombewa fedha kwa nia hiyo hiyo ya kusaka fedha za urais.

Amewataka Watanzania kuzijua sura mbili za Waziri Mwakyembe, akidai kuwa si kiongozi wa kuaminika, akikumbushia namna alivyolinda maslahi ya CCM kwa kuwaficha Watanzania baadhi ya masuala katika kashfa ya Richmond na kukaa kimya pale maazimio ya bunge yaliyotokana na kamati yake, yalipopuuzwa.

Mwakyembe ndiye alifanikisha kujiuzulu kwa aliyekua Waziri Mkuu, Edward Lowassa,baada ya kuuvalia njuga mradi wa kifisadi ulopewa kampuni ya Richmond Development LLC, kwa njia ambayo sasa anautoa kwa kampuni ya Jitegemee.

Hatua hiyo ilimpa heshima kubwa Mwakyembe, jambo ambalo wadadisi wa mambo wamesema sasa ametumia heshima hiyo "kufanya atakavyo" hata kufikia hatua ya kuingia kwenye ufisadi.

====

Msomaji, nyaraka unaweza kuzisoma kupitia JamiiForums katika mada HII

Source; Fikra Pevu

Dkt. John Magufuli

(ukiweka pembeni kidogo tu kwa muda mfupi, ule ufisadi bab kubwa kuwahi kufanywa wa nyumba za serikali) sasa hivi analo zigo hili hapa la tuhuma za ufisadi wa mabilioni ya fedha;

Bil. 250/- za Magufuli zayeyuka


KAMBI rasmi ya upinzani bungeni, imefichua malipo ya madeni hewa mradi usio halisi ambao uligharimu fedha za serikali kupitia Wizara ya Ujenzi sh 252,975,000,000.

Ufisadi huo ulianikwa jana bungeni na Msemaji Mkuu wa Kambi hiyo kwa Wizara ya Ujenzi, Saidi Arfi (CHADEMA) wakati akiwasilisha maoni yao kwa mwaka wa fedha 2013/2014.

Katika hotuba ya Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni kwenye bajeti ya mwaka 2011/2012 tulihoji kuhusiana na fedha zilizokuwa zimetengwa chini ya fungu lililojulikana kama Special Road Construction Project, alisema.

Huku akinukuu taarifa rasmi za Bunge kutoka hansard ya Agosti mosi, 2011, Arfi alisema kuwa walihoji miradi maalumu ya ujenzi wa barabara (kasma 4168).

Kwamba kitabu cha Miradi ya Maendeleo (sehemu-A juzuhu iv) katika fungu 98, kasma 4168 mradi uliojulikana kama Miradi ya Ujenzi wa Barabara Maalumu fungu hilo lilitengewa kiasi kikubwa kuliko miradi mingine yoyote ya ujenzi wa barabara katika mwaka huu wa fedha sh 348,075,000,000 fedha za ndani.

Alifafanua kuwa katika mjadala huo, aliyekuwa Naibu Waziri wa Ujenzi, Dk. Harisson Mwakyembe, alijibu hoja hiyo na kusema hizo fedha zilizopitishwa ni za Mfuko Maalumu ambao unaisaidia serikali pale ambapo mfadhili wa nje kwa mfano, anaamua kufadhili ujenzi wa barabara fulani na anasema serikali ichangie milioni kumi.

Baada ya fedha hizi kupunguzwa kiasi cha sh bilioni 95 na kupelekwa Wizara ya Uchukuzi, zilibakia sh bilioni 252.975 katika kifungu hicho, alisema Arfi.

Aliongeza kuwa wamelazimika kulikumbusha Bunge kuhusiana na suala hilo kwani kwa mujibu wa ripoti ya mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali ya mwaka husika wa fedha kuhusiana na kifungu hicho, alionyesha kasoro hiyo.

Malipo ya madeni ya mwaka wa nyuma yaliyolipwa kwa fedha za 2011/2012 kwa kutumia jina la mradi usio halisi ni sh 252,975,000,000.

Miradi katika wizara ilipewa namba 4168 kwa ajili ya kupitisha malipo ya madeni ya miaka ya nyuma kwa miradi inayotekelezwa na Tanroads. Namba hii sio halisi, alinukuu taarifa ya CAG ukurasa 160, fungu 98.

Arfi alisema kuwa fedha hizo zilizopotea au kulipwa kwa kifungu hewa ni sawa na fedha zote zilizotengwa kwa ajili ya barabara kadhaa katika mwaka huu wa fedha 2013/2014.

Alizitaja barabara hizo kuwa ni ya Usagara-Geita-Kyamyorwa (km 422), Kigoma-Kidahwe-Uvinza-Kaliua-Tabora (mk 443), Nangurukuru-Mbwemkulu (km 95), Sumbawanga-Matai-Kasanga Port (km 112) na Manyoni-Itigi-Tabora (km 264).

Zingine ni Tabora-Ipole-Konga-Mpanda (km 359), Kidatu-Ifakara-Lupilo-Malinyi-Londo-Lumecha/Songea (km 396), kuondoa msongamano barabara za Dar es Salaam (km 102.15).

Ni sawa na kusema kuwa barabara ya lami yenye urefu wa kilomita 316.218 imepotea kwa kutumia mahesabu ya Wizara ya Ujenzi kuwa kilomita moja ya lami inajengwa kwa kiasi cha sh milioni 800.

Hii ni sawa na kusema kuwa barabara ya kutoka Manyoni-Itigi-Tabora (km 264) Changanya na barabara ya kutoka Chunya Makongorosi (km 43) na Tangi Bovu Goba (km 9), zimepotea kutokana na ufisadi huu, alisema.

Alisema kuwa kambi rasmi ya upinzani, inataka kupata majibu kuhusu fedha hizo zilizokuwa zimetengwa, zilitumika kwa ajili ya kufanyia shughuli gani.

Arfi pia aligusia kuporomoka kwa majengo marefu nchini akisema yako matukio kadhaa yaliyotokea ambayo kambi hiyo inataka maelezo ya kina na kutosheleza na hatua zilizochukuliwa ili kuzuia hali hii isijirudie tena na kuleta maafa kwa Watanzania.

Kambi Rasmi ya Upinzani inatambua majukumu ya wizara hii pamoja na kuzisimamia taasisi zilizoko chini ya wizara hii ikiwemo Baraza la Ujenzi (NCC), Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB), Bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi (AQSRB), Pia Bodi ya Usajili wa Makandarasi (CRB) na vyombo hivi kufanya kazi kwa mujibu wa sheria na taratibu za miundo yake.

Pole na kufarijiana pekee haitoshi bado tunajiuliza kama nchi ni lini viongozi wetu wataheshimu, kuwajibika na kutekeleza majukumu yao na kuwa na ujasiri wa kutafuta mbinu za kutatua matatizo pindi tunapokutana na mambo magumu katika utendaji wetu na si kukimbia matatizo kwa kujificha chini ya migongo ya watendaji wengine, alisema.

Alisema kuwa wanataka kujua ukaguzi huo ulifanyika katika vyuo gani na hali ikoje na ni hatua gani zilichukuliwa dhidi ya vyuo ambavyo wahandisi na wahadhiri walikutwa hawana sifa stahiki.

Aliongeza kuwa kumekuwepo malalamiko na kutokuridhishwa na hatua zinazochukuliwa na wizara na taasisi zake hususan Tanroads kutowalipa wananchi fidia stahiki za haki na kwa wakati.

Alisema kuwa wananchi hawaridhishwi na kauli za viongozi wa wizara hususan katika suala la kuwalipa fidia kwa mali zao wakipisha miradi mbalimbali ya ujenzi nchini.

Source; Tanzania Daima

Bernard Membe

Ukiachilia mbali kutokuwa hata na uwezo wa kujua hasa anataka kusema au kufanya nini kupitia kauli zake zisizoeleweka, ukiweka pembeni pia kashfa ya ufisadi wa fedha kutoka nje ya nchi, ukiweka pembeni kashfa za ufisadi wa mabilioni wizarani kwake, ukiweka kando kidogo tuhuma za kuhusika kufungia Mwanahalisi, ukisahau kidogo ushirika wake na yule bosi wa UWT anayehusika kuwinda kwa ajili ya kutesa, kutoa kucha na kuminya..., wanahabari na wanaharakati, vile ambavyo mwenzake Lowassa anashirikiana na yule aliyekuwa namba moja wa UWT akahusika katika ufisadi, kuna hii analysis ya Rutashubanyuma, hapa JF;


Friends of Bernard Membe at the University of Dar-Es-Salaam still believe they have got their man who is heading nowhere but to the state house in replacement of JK.comes 2015.

This can only narrate why the UDASSA was so eager and willing to invite Membe as their chief guest at Nkrumah Hall today marking our 51st Independence anniversary! I can find no other persuasive reason to exculpate UDASSA from this political prank.

From my contextualizing of Membes forgettable speech, I gleaned an intense desire to inaugurate his presidential bid as an UDSM alumnus, a man of immense intellectual prowess, ready and willing to lead the nation from the front. But is he ready? I am keenly aware of his burning ambition to be our fifth president but is he ready and/ or will he ever be?

This pithy deposition intends to show that Bernard Membe is an overambitious politician who has no political skills to change the socio-economic course this nation has been taking to abyss, and lead us to the Promised Land.

I have jotted down ten points to dissect a man behind the mirror:-


1) A case of limited brainpower?

Generally speaking, he lacks intellectual ability; and, will this dot.com generation really find him a sure bet to their economic plight? I have my doubtsyou should have yours, too.


2) A n escapologist to theories?

He spent too much soliloquizing on his defaulted memory of academic theories that was too detached to the subject at handand I keep wondering is this man really sane or suffering from Romnesia?..................I t is defined as convenient amnesia


3) Too defensive of ccm long tales of lost opportunities?

Defending ccm makes sense since he is in the high table dining with who is who in this nation but Membe needs an incisive mind to plead with his audience to overlook ccm massive economic mismanagement and advance a case for an inexorable patience and an enduring faith in what is festering rot in this nation where millions are going days without their daily bread.while we know they deserve better given a multitude of resources this nation boast of!


4) Claiming too much know-how?

Speaking in broken English and sounding like a Kenyan Sheng has its place but for a truly reliable leader Membe has to choose one language which his audience will be comfortable with and Membe was echoing something like Kiswahili is okay but English is baba yao..And his whole speech was prepared beforehand and Membe struggled to find rhythmic relevance in such an impassioned crowd whose themes were: never backward but forward everBe proud of Kiswahili Membe, if you want to be taken serious with Kiswahili proficient voters


5) Too idealistic?

We all have theories that have stuck into our memories like leech nibbling our tender skin but do we need to remind our audience that we went to schools when schools were really schools particular in this era where community colleges are churning out semi-illiterate graduates?

It is of profound importance to mention that, Membe considers Bw. Bomobomoa Magufuli as a threat to his political ambition. Do you know why I have reached to this conclusion? Magufuli is always reminding us, he was a good student of Chemistry judging from a number of theoretical postulations he love to showboat before us..and of recent memory, two days ago Magufuli in his an unequivocal campaign for Raila presidential bidtheories of Chemistry came very handy, though I doubted he was effective given of the stature of their irrelevance..my take Membe is only mimicking Bw. Bomoabomoa.

And nothing more.copycats rarely ascend to Ikulu and Membe ought to begin being himself..telling us what he will do different from JK and why did he not do it while still part of JK power hegemony for ten years come 2015, will definitely help his presidential bid.


6) What about intellectual arrogance?

That intellectual smugness seems to ooze out of Membe unapologetically as if it is part of the curriculum vita he needs to bag a presidential job. It is time I wake him out of that delusional slumber: We elect presidents to lead and not to showcasing their intellectual prowess in irrelevant matters.


7) A D graded student of post-independence African history?

When Membe cited TZ as the only nation in post-independence Africa that was spared of coup-détat, I kept wondering was he a little tipsy or it is just an illustration of poor attention to African history? Whatever the case Kenya, Malawi, Mozambique and Zambia just around our border have fared just like us and the lack of military coups in post-independent Africa is not a confinement of TZ as Membe would like us to believe. Where Membe generated the audacity to challenge his audience to name just one country in post-independent Africa devoid of military putsches..I find his vigorous demeanor part of a major problem: Not assessing his intellectual strength and that will trouble if not capsize Membes campaign to state house.


8) Lacks persuasive power despite vehement intonations?

Where Membe regards his vehement deliveries as strength, I view them as a source of his internal weaknesses. Where vehemence is detached from reality is a sign of self-doubt papered over with intimidation tactics that his victims will be overwhelmed with his emotional synergies and fail to search out his misleading statementswell, Membe can fool all of us for sometime but the challenge he has is to fool all of us all the time, and time seems to be running out of him.


9) Low likeability constraints?

Without brainpower, without persuasive skills and over-dependent on emotional energies to win the state house even his coterie of plaudits led by Mama JK; entirely on tribal arithmetics, will find the going very testy come 2015It is very difficult to sell the Membe presidential candidature even within ccm rank and fileHuyu Mheshimiwa hauziki hata kidogo.


10) Is there a place for an oversize ego in a presidential race?


With all of JKs weaknesses but he can convince many that he is humble although those few who had the privilege to encounter the innermost character in JK will argue he is haughty and unforgiving.where inner traits matter but when they are negative and open for discussion it spells nothing but trouble for Membe. If there is anything Membe can learn and internalize from JK is a genial smile, and at least a false humility facial outlookif he can not muster a genuine one. We love a boss who sounds like a servant while we know he is notdespite oozing out with tons of hypocrisy.

A change of demeanor and attitude will do Membe a great deal..and pretending he is omniscient above all will with obvious certitude yank away many potential a vote.

Will I ever vote for Membe? Knowing three years are ahead of us, I can safely confess it is too far ahead to commit myself either way but so far I am really not impressed with his attempts..

Source; analysis ya Rutashubanyuma hapa JF

Kwa sasa ni hayo, waache waendelee kuja, maana vita wasioiweza wameitaka wao. Hadi sasa hata adui yao hawamjui, nao wanafikiri kama wanavyofikiri akina Team Lowassa, adui yao ni CHADEMA, hivyo kuanzia sasa hawa jamaa wategemee kufumuliwa.

So Magufuli na Membe ni washkaji eeh?
 
Back
Top Bottom