Hv chadema wapo wapi muda kama huu?me sielewi kwann hawajaanda maandamano mpk saiv,zaidi ya siku 7??au wao maandamano wanaandaa kma wakiwa wanataka madaraka tu?Kwakuwa makampuni ya mafuta yamegoma kuuza mafuta kwa bei iliyopendekekezwa hata baada ya kupunguziwa kodi, na kwakuwa police wetu FFU wetu wanajua tuu kuwapiga mabomu waandamanaji wa amani, na kwa kuwa inatuhumiwa kwamba Kikwete na Rizwani ni wafanyabiashara wakubwa wa mafuta, mimi ninapendekeza tuingie mitaani tuvichome moto vituo vyote vya mafuta vilivyogoma tukianza na Engen na tuzuie na kuchoma malori yote ya mafuta yanayosafirisha nje ...
Hakuna sababu ya kuruhusu hawa wafanya biashara kupelekeka mafuta nje wakati sisi hapa hawatuuzii...
Ni hoja yangu
hapana, hapana hivyo ndo tutaharibu kabisa, hivyo ndo tutaharibu kabisa! Kitu kingine kinachotuongeza machungu kuona hata hatua hazichukuliwi, ee mola tusaidie tupo kwenye janga utata!