Na lengo lake ni nini?
Ni mfanya biashara halali anaelipa kodi ndio maana anafanya vitu bila kificho wala woga.angekua na doa ungeona tayari magamba wameshaanza kumfuatilia na kumzushia kua halipi kodi.angalia mzee ndesa pesa anavyo wachana live kua anapesa,hajifichi anasimama live na kusema niiteni ndesa pesa,nikwakua anauhakikka na biashara zake.tra walisha tuma wakiguzi wake akawaambia mwambieni bosi wenu aje kwani nyie ripoti ya uchunguzi mtakaopeleka mtaambiwa niliwahonga mwambieni bosi wenu aje,toka siku hiyo adabu tele.sabodo no mfanya biashara halali ndio maana hawathubutu kumgusa
kusaidia katika harakati za kuimarisha democracy ya kweli nchini....vipi kwani!!