kwa kweli chuo hiki kimenisikitisha sana kwa jinsi kinavyoandaa wahitimu wake. AJABU ni kwamba bado kinaachiwa kuendelea tu kama vile mambo yako sawa.
Hebu rudia nikuelewe we shemasi unasemaje.chetu kipi?Mbona vyuoni mwao mnasoma, huku mna chenu?
Chini ya Jimbo gani?Mkuuu wao kwenye website yao wameweka owner ni katoliki hapo uchunguz gani unahitajika
muslim Univ of Morogoro. Kwa nn muende ST. Joseph, ST......NK. Bora mkaimalishe MOMHebu rudia nikuelewe we shemasi unasemaje.chetu kipi?
mmmmhhhhMUM ni wa kimataifa mtabaki na wa mchangani/matopeni santa josefu na TEKKU
Hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahhahahahahahahahahahahahahahahahahaha daaaaaaaah mbavu zanguMum ni JIPU kubwa. Shehe wa mtaani ndiye external examiner!