Ladslaus Modest
JF-Expert Member
- Jun 27, 2008
- 635
- 20
Halafu tunalalamika umaskini, huyo mlinzi wakati huo angekuwa anafanya shughuli nyingine ya ujenzi wa nchi badala ya kubeba mwavuli wakati hakuna mvua wala jua, na jamaa yuko chini ya kivuli cha mti.
Kuna dogo wengi wamekimbilia mijini hawataki kulima/kujenga nchi sembuse huyu mlinzi mmoja wa Rais?