The Prophet
JF-Expert Member
- Mar 17, 2011
- 682
- 94
Asisitiza wanasiasa wazungumzie hoja za msingi kama maendeleo na umeme. Namnukuu:
"...Unaweza kuwa na Baraza lenye waziri hata mmoja tu, lakini kama hakuna umeme ni kazi bura....".Mwisho wa kunukuu.
Wana-CDM wenzangu munasemaje?
Source: BBC Nairobi
"...Unaweza kuwa na Baraza lenye waziri hata mmoja tu, lakini kama hakuna umeme ni kazi bura....".Mwisho wa kunukuu.
Wana-CDM wenzangu munasemaje?
Source: BBC Nairobi