How can we count emotions and feelings? We can't quantify everything!!!
Jana katikia taarifa iliyotolewa na kamishna wa sensa imetaja kwamba dini, kabila au mambo ya kisiasa ni mambo ambayo hayatakuwamo wakati wa sensa ya Mwaka huu. Napenda kupata ufahamu zaidi je ni sahihi? Nawasilisha.
Sawa ni kweli serikali haina dini lakini kwenye mambo mengi tunayojaza tukiomba birth certificate,udahili kwenye Elimu ya juu tunataja dini. Kwa mtazamo mpana dini ingehusishwa katika sensa ili maamuzi mengine kama kuweka baraza la mawaziri libalance dini ya waislamu na wakristo yasiyowepo Bali yaangalie waislamu ni wangapi wapate percent yao hivyo hivyo na wakristo. Maana huu unafiki kuna serikali haina dini halafu decision kwenye post nyingi zinategemea percentage ya 50/50.
Waweke item ya dini ya mtu ili rais awape vyeo wahusika kwa uwiano wa dini zao. Nawasilisha na niko tayari kukosolewa
Kaka dhihirisha uwezo wako kwa hoja si kwa style hii. Ondoa hofu ndiyo maana ukisoma encylopeadia itaonyesha percentage za watu wa nchi ikihusisha ethnity,dini zao n.k. sisi twapaswa tushinikize mambo haya yarudishwe. Tusije juta wakati ujao. Ukisema unaanzisha mahakama ya kadhi utajua unafanya kwa population kubwa kiasi gani?Nina mashaka na uwezo wako wa akili, hivi unaweza ukawasilisha suala la kipuuzi kama hilo kwenye jamii.Dini na kabila lako sisi vina tuhusu nini.Nimekupa ban ya mwezi mmoja.