Bukyanagandi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 11,061
- 16,743
Si tu waislamu wanajihusisha na uchomaji huu yawezekana hata baadhi ya wakiristo wenyewe kuchoma makanisa yao kwa mashinikizo ya kisiasa,jamani ebu tuangalie na upande wa pili wa shillingi isije tukawa tunachuma dhambi bure kabisa kwa ndungu zetu waislamu kumbe kikulacho........
Mkuu hapo umenena ni kweli wana siasa wanaweza kabisa ku-exploit janga hili, ndugu zetu Waislaam hawawezi kuendela kuchoma makanisa wholesale, point taken MKUU -thanks a lot.