Mungu ulioko Mbinguni sisi tulio watoto tunalilia Taifa la Tanzania. Mungu vivuvie nguvu uwezo wakijasusi na akili za ajabu Vyombo vyetu vya ulinzi na usalama wa Taifa hili Mungu wangu naijulikane upo.
Mungu wataifa la Tanzania Mungu naijulikane upo, njaa ya watu wachache isiliuze Taifa la Tanzania njaa ya watu wachache isiwauze watoto wa watoto wetu.
Mungu tunataka Dunia ijue hili ni Taifa lako Mungu na hakuna mtu atapitisha mambo yatalifanya Taifa hili kurudi utumwani.
Tuna vijana wazalendo wenye uchungu na Taifa hili usiwasahau na kuwalinda katika idara zao za usalama.
We protect our Might Arm of United Republic of Tanzania. Mungu jeshi letu lifunike kwa ukuu na uwezo wa ajabu. Mungu our intelligence unity every were in this world protect them.
Amen.
Mungu wataifa la Tanzania Mungu naijulikane upo, njaa ya watu wachache isiliuze Taifa la Tanzania njaa ya watu wachache isiwauze watoto wa watoto wetu.
Mungu tunataka Dunia ijue hili ni Taifa lako Mungu na hakuna mtu atapitisha mambo yatalifanya Taifa hili kurudi utumwani.
Tuna vijana wazalendo wenye uchungu na Taifa hili usiwasahau na kuwalinda katika idara zao za usalama.
We protect our Might Arm of United Republic of Tanzania. Mungu jeshi letu lifunike kwa ukuu na uwezo wa ajabu. Mungu our intelligence unity every were in this world protect them.
Amen.