david omondi
Member
- Sep 10, 2014
- 5
- 0
anahitaji maombi
Napenda watoto wa kike sana
kulimiting ovum, unafanyeje mkuu. naomba msaada.
Sio tu mashoga, akawaulize wazazi ambao watoto wao ni mateja. Ukizubaa unashangaa nyumba imepigwa mnada kwa bei ya soda afu hela kijana kaenda kununulia mapoda.
tumezaliwa watoto 5 wa kiume,tunavyo mtunza mama yetu,hata shetan anashangaa
kwa mtoto wa kiume kutunza mzazi mara nyingi inategemea na mke alieoa. tumezaliwa wasichana wa 4 na kijana mmoja lakini [color=#ff845000]jukumu la kutunza wazazi tunaliona ni la kwetu sisi wasichana,[/color] siwezi kula kwa amani kama mama au baba yuko na shida. so watoto wote wanaumuhimu regardless jinsia yake na jinsi wewe mzazi utakavyomlea mwanao.
Mambo ya mwananyamala hayo
kama hujui mwananyamala ndio hiyo ukiwa na jero unashiba
Hata wakiume siku hizi nao wakuwa mchaluko vilevile,gha msingi hapa ni malezi kwani unaweza zaa wa kiume wakageuzwa vilevile"Mungu nisaidie nisipate mtoto wa kike"
Ni maneno ya mwanamke mmoja mzaliwa wa hapa dar es salaam niliyepanga naye hapa mwananyamala,
aliye na mtoto mmoja wa kiuume.
Mama huyu anadai mungu amsaidie kabisa maana kuzaliwa mwanamke na yeye kuzaa mtoto wa kike anaona ni kama adhabu kubwa sana.
Vile vile anadai watoto wa kike wa siku hizi wamekuwa mchaluko mno.
Anadai hataki kabisa watoto wake, wayapate yaliyowahi kumutokea yeye.
Kauli hii ikoje kwa wanawake wengine hapa dar es salaam
Nimeamua kuleta uzi huu kwenu, kwani huyu siyo mwanamke wa kwanza kumsikia anadai hataki kabisa mtoto wa kike..!
Achana na watu wengine hebu tupe mrejesho wako!umeshahama kwenye danguro unaloishi?hama bhana ohoo!"Mungu nisaidie nisipate mtoto wa kike"
Ni maneno ya mwanamke mmoja mzaliwa wa hapa dar es salaam niliyepanga naye hapa mwananyamala,
aliye na mtoto mmoja wa kiuume.
Mama huyu anadai mungu amsaidie kabisa maana kuzaliwa mwanamke na yeye kuzaa mtoto wa kike anaona ni kama adhabu kubwa sana.
Vile vile anadai watoto wa kike wa siku hizi wamekuwa mchaluko mno.
Anadai hataki kabisa watoto wake, wayapate yaliyowahi kumutokea yeye.
Kauli hii ikoje kwa wanawake wengine hapa dar es salaam
Nimeamua kuleta uzi huu kwenu, kwani huyu siyo mwanamke wa kwanza kumsikia anadai hataki kabisa mtoto wa kike..!
Mwambie afanye uchunguzi kati ya watoto wa kike na wa kiume ambao ni baraka kwa wazazi wao....angalia kwa uwiano!ungemuuliza sababu ndo ukaja hapa jamvini, binafsi napenda kuwa na mtoto yeyote. Nina wa kike first born, mwisho watatu tu! Ikitokea wote watatu kuwa wa kike poa tu nasitisha zoezi.
Wateenda kuoa kwa nani? kama wewe huzai watoto wa kike.,
The world without women, could be as follows:-"Mungu nisaidie nisipate mtoto wa kike"
Ni maneno ya mwanamke mmoja mzaliwa wa hapa dar es salaam niliyepanga naye hapa mwananyamala,
aliye na mtoto mmoja wa kiuume.
Mama huyu anadai mungu amsaidie kabisa maana kuzaliwa mwanamke na yeye kuzaa mtoto wa kike anaona ni kama adhabu kubwa sana.
Vile vile anadai watoto wa kike wa siku hizi wamekuwa mchaluko mno.
Anadai hataki kabisa watoto wake, wayapate yaliyowahi kumutokea yeye.
Kauli hii ikoje kwa wanawake wengine hapa dar es salaam
Nimeamua kuleta uzi huu kwenu, kwani huyu siyo mwanamke wa kwanza kumsikia anadai hataki kabisa mtoto wa kike..!
"Mungu nisaidie nisipate mtoto wa kike"
Ni maneno ya mwanamke mmoja mzaliwa wa hapa dar es salaam niliyepanga naye hapa mwananyamala,
aliye na mtoto mmoja wa kiuume.
Mama huyu anadai mungu amsaidie kabisa maana kuzaliwa mwanamke na yeye kuzaa mtoto wa kike anaona ni kama adhabu kubwa sana.
Vile vile anadai watoto wa kike wa siku hizi wamekuwa mchaluko mno.
Anadai hataki kabisa watoto wake, wayapate yaliyowahi kumutokea yeye.
Kauli hii ikoje kwa wanawake wengine hapa dar es salaam
Nimeamua kuleta uzi huu kwenu, kwani huyu siyo mwanamke wa kwanza kumsikia anadai hataki kabisa mtoto wa kike..!