Mungu ni Omnipresent. Kufuatia Local Transmission ya Corona. Je, Sasa Tushinikize Watu Wasalie Majumbani Mwao, ila Sadaka Ndio Itumwe Kwa M-Pesa?

Ili kuhakikisha makusanyo ya sadaka hayapungui, kila kanisa, lifungue online pages zake na kutoa mahubiri online kama YouTube channel, na kwenye mahubiri hayo ya online viongozi wetu wa dini wasisitize kutoa sadaka kwa kufundisha usipotoa sadaka unapata dhambi na kadri unavyotoa sadaka kubwa ndivyo hivyo hivyo utakavyobarikiwa kiukubwa.
Pasco bana hukosi vitimbi,mbona.ushauri wako umejikita kwenye imani moja tu?hao wengine ni sawa tu wakifa kwa Corona?
 
Pasco bana hukosi vitimbi,mbona.ushauri wako umejikita kwenye imani moja tu?hao wengine ni sawa tu wakifa kwa Corona?
Nimeweka kusali na kuswali, ila wale wengine, kwao swala sio kupeleka furungu, ndio maana wanafanya swala 5 na hujiswalia makwao na msala tuu!.
Sisi...
P
 
Wanabodi,

Leo katika kipindi cha Jicho Letu Ndani ya Habari, nimezungumza kidogo na Naibu Waziri wa Afya, Dr. Faustine Ndugulile kuhusu local transmission ya virusi vya Corona, na umuhimu wa mikusanyiko isiyo ya lazima, kiukweli kabisa kuna vitu serikali inavijua lakini hatuvisemi kwasababu nchi yetu imeamua hatufanyi lockdown.

Rais Magufuli ametusisitiza Watanzania tuendelee kupiga kazi, lakini kama shule tumefunga, vyuo tumefunga, mikusanyiko isiyo ya lazima tumezuia, hii mikusanyiko ya kwenye nyumba za ibada nayo ni mikusanyiko muhimu?.

Nimewaza sana kuhusu mikusanyiko hii ya kwenye nyumba za ibada, kufuatia moja ya sifa za Mungu, ni Omnipresent, yaani Mungu yupo popote, sasa kuna ulazima gani kwa waumini kukutanika kanisani kushiriki ibada Takatifu wakati unaweza Kusali/Kuswali ukiwa popote na Mungu akaisikia sala yako popote hapo hapo ulipo?.

Najua moja ya umuhimu wa watu kuja makanisani ni pamoja na makusanyo ya sadaka, lile tangazo la rais la watu wafanye kazi, hivyo mapadri, masheikhe na wachunguji kuendesha ibada ndio kazi yao, lakini kufuatia maendeleo makubwa ya sayansi na technolojia, na ujio wa utandawazi, kuna njia nyingi za kupeleka mahubiri online na kwenye mifumo ya malipo, kuna njia nyingi za kufanya malipo, Tanzania do we have to take such a big risk ili tuu watu waende Kanisani kupeleka Sadaka? makanisa na misikiti si inaweza kutoa mahubiri online na kupokea sadaka kwa njia ya mtandao kwa kutoa tuu number za simu za kupokelea sadaka hivyo watu wajisalie, na kuji swalia Majumbani mwao?View attachment 1416197

Ili kuhakikisha makusanyo ya sadaka hayapungui, kila kanisa, lifungue online pages zake na kutoa mahubiri online kama YouTube channel, na kwenye mahubiri hayo ya online viongozi wetu wa dini wasisitize kutoa sadaka kwa kufundisha usipotoa sadaka unapata dhambi na kadri unavyotoa sadaka kubwa ndivyo hivyo hivyo utakavyobarikiwa kiukubwa.

Tena huwezi jua, baadhi ya wahubiri kujikuta wanaeneza zaidi neno la Mungu online na kuwafikia watu wengi zaidi, kuliko hata wanaokuja Kanisani, na kupata mavuno makubwa zaidi kuliko zile sadaka za kawaida.

On top of that, pia kwa kila waumini 1,000 watakaosikiliza mahubiri hayo, ya online kupitia YouTube Channel, kanisa litavuna US $ 7, kila watazamaji 10,000 wanavuna US $ 70, kila watazamaji 100,000 wanavuna US $ 700 na kila watazamaji 1,000,000 wanavuna US $ 7,000. Hizi ni online payments on top of sadaka za kawaida.

Kwa vile Mungu ni Omnipresent, yupo popote, kipi ni muhimu zaidi kati ya watu kuendelea kwenda nyumba za ibada kuabudu na ku risk maambukizi ya Corona, kuugua, kufa na kutochangia tena, au kusalia majumbani mwao, kutuma sadaka kwa M-pesa na kubakia salama?.

Hivyo kufuatia maambukizi ya Corona kufikia kiwango cha Local Transmission, Jee sasa Tuishinikize serikali yetu itangaze some semi lockdown kwa mikusanyiko isiyo ya muhimu sana, ikiwemo mikusanyiko ya nyumba za ibada, na badala yake watu wasalie na kuswalia majumbani mwao, ila sadaka ndio itumwe makanisani kwa M-Pesa?

Nawatakia Pasaka Njema.

Paskali

Sisi wewe uliyekuwa ukisema watu wapige kazi wasitishwe? Au macho yangu? Duh!🤦🏾‍♂️
 
Sasa haya mambo ya kuzuia watu wasionane na Mwenyezi Mungu, ambaye ndiye mganga wa kweli wa maisha yetu. Tena ndio anatupa uhai na anauchukua anavyotaka yametokea wapi??
Hakuna aliyezuiwa kuonana na Mungu. Hoja ya mleta uzi ni kwamba kwa vile Mwenyenzi Mungu moja ya sifa yake ni Omnipresent, yaani yupo na anapatikana popote,(siyo kanisani na msikitini tu), basi tunaweza kabisa kusali/ kuswali na kumwomba tukiwa majumbani mwetu, kazini, kwenye biashara zetu au mahali pengine popote bila kufanya mkusanyiko.
Tunachoepuka ni mkusanyiko usio wa lazima.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi,

Leo katika kipindi cha Jicho Letu Ndani ya Habari, nimezungumza kidogo na Naibu Waziri wa Afya, Dr. Faustine Ndugulile kuhusu local transmission ya virusi vya Corona, na umuhimu wa mikusanyiko isiyo ya lazima, kiukweli kabisa kuna vitu serikali inavijua lakini hatuvisemi kwasababu nchi yetu imeamua hatufanyi lockdown.

Rais Magufuli ametusisitiza Watanzania tuendelee kupiga kazi, lakini kama shule tumefunga, vyuo tumefunga, mikusanyiko isiyo ya lazima tumezuia, hii mikusanyiko ya kwenye nyumba za ibada nayo ni mikusanyiko muhimu?.

Nimewaza sana kuhusu mikusanyiko hii ya kwenye nyumba za ibada, kufuatia moja ya sifa za Mungu, ni Omnipresent, yaani Mungu yupo popote, sasa kuna ulazima gani kwa waumini kukutanika kanisani kushiriki ibada Takatifu wakati unaweza Kusali/Kuswali ukiwa popote na Mungu akaisikia sala yako popote hapo hapo ulipo?.

Najua moja ya umuhimu wa watu kuja makanisani ni pamoja na makusanyo ya sadaka, lile tangazo la rais la watu wafanye kazi, hivyo mapadri, masheikhe na wachunguji kuendesha ibada ndio kazi yao, lakini kufuatia maendeleo makubwa ya sayansi na technolojia, na ujio wa utandawazi, kuna njia nyingi za kupeleka mahubiri online na kwenye mifumo ya malipo, kuna njia nyingi za kufanya malipo, Tanzania do we have to take such a big risk ili tuu watu waende Kanisani kupeleka Sadaka? makanisa na misikiti si inaweza kutoa mahubiri online na kupokea sadaka kwa njia ya mtandao kwa kutoa tuu number za simu za kupokelea sadaka hivyo watu wajisalie, na kuji swalia Majumbani mwao?View attachment 1416197

Ili kuhakikisha makusanyo ya sadaka hayapungui, kila kanisa, lifungue online pages zake na kutoa mahubiri online kama YouTube channel, na kwenye mahubiri hayo ya online viongozi wetu wa dini wasisitize kutoa sadaka kwa kufundisha usipotoa sadaka unapata dhambi na kadri unavyotoa sadaka kubwa ndivyo hivyo hivyo utakavyobarikiwa kiukubwa.

Tena huwezi jua, baadhi ya wahubiri kujikuta wanaeneza zaidi neno la Mungu online na kuwafikia watu wengi zaidi, kuliko hata wanaokuja Kanisani, na kupata mavuno makubwa zaidi kuliko zile sadaka za kawaida.

On top of that, pia kwa kila waumini 1,000 watakaosikiliza mahubiri hayo, ya online kupitia YouTube Channel, kanisa litavuna US $ 7, kila watazamaji 10,000 wanavuna US $ 70, kila watazamaji 100,000 wanavuna US $ 700 na kila watazamaji 1,000,000 wanavuna US $ 7,000. Hizi ni online payments on top of sadaka za kawaida.

Kwa vile Mungu ni Omnipresent, yupo popote, kipi ni muhimu zaidi kati ya watu kuendelea kwenda nyumba za ibada kuabudu na ku risk maambukizi ya Corona, kuugua, kufa na kutochangia tena, au kusalia majumbani mwao, kutuma sadaka kwa M-pesa na kubakia salama?.

Hivyo kufuatia maambukizi ya Corona kufikia kiwango cha Local Transmission, Jee sasa Tuishinikize serikali yetu itangaze some semi lockdown kwa mikusanyiko isiyo ya muhimu sana, ikiwemo mikusanyiko ya nyumba za ibada, na badala yake watu wasalie na kuswalia majumbani mwao, ila sadaka ndio itumwe makanisani kwa M-Pesa?

Nawatakia Pasaka Njema.

Paskali

Iko mikusanyiko inayowahusu serikali ambayo si ya lazima,ni ada tuu.
1.Bunge nalistopishwe kwanza,hiyo bajeti ipite bila kupingwa wala kujadiliwa.
2.Magereza yote yafungwe watu waachiwe huru wakahemee maisha yao mitaani.
3.Kambi za jeshi wabakie walinzi wa amarry tuu,waliobaki warudi majumbani.
Waanzie na hiyo kwanza,Hii mikusanyiko ya dini waachiwe wana dini wenyewe.
Kama kwenye Makanisa watu wnakwenda kwa ajili ya kukusanya sadaka,huku Misikitini lengo hilo halipo kabisa.
Waislamu wanakwenda kutii amri ya Muumba wao, ya kuwa wakusanyike ili kumsifu Mungu na Kumshukuru kwa fadhila zake. Na kwa wenye Maombi hapo ndo mahali pake hasa hili la Corona kwa siku hizi
 
Hamna ruhusa ya kujadili masuala ya korona, muwe makini serikali ya ngosha haina nasaba na masnichi
Wanabodi,

Leo katika kipindi cha Jicho Letu Ndani ya Habari, nimezungumza kidogo na Naibu Waziri wa Afya, Dr. Faustine Ndugulile kuhusu local transmission ya virusi vya Corona, na umuhimu wa mikusanyiko isiyo ya lazima, kiukweli kabisa kuna vitu serikali inavijua lakini hatuvisemi kwasababu nchi yetu imeamua hatufanyi lockdown.

Rais Magufuli ametusisitiza Watanzania tuendelee kupiga kazi, lakini kama shule tumefunga, vyuo tumefunga, mikusanyiko isiyo ya lazima tumezuia, hii mikusanyiko ya kwenye nyumba za ibada nayo ni mikusanyiko muhimu?.

Nimewaza sana kuhusu mikusanyiko hii ya kwenye nyumba za ibada, kufuatia moja ya sifa za Mungu, ni Omnipresent, yaani Mungu yupo popote, sasa kuna ulazima gani kwa waumini kukutanika kanisani kushiriki ibada Takatifu wakati unaweza Kusali/Kuswali ukiwa popote na Mungu akaisikia sala yako popote hapo hapo ulipo?.

Najua moja ya umuhimu wa watu kuja makanisani ni pamoja na makusanyo ya sadaka, lile tangazo la rais la watu wafanye kazi, hivyo mapadri, masheikhe na wachunguji kuendesha ibada ndio kazi yao, lakini kufuatia maendeleo makubwa ya sayansi na technolojia, na ujio wa utandawazi, kuna njia nyingi za kupeleka mahubiri online na kwenye mifumo ya malipo, kuna njia nyingi za kufanya malipo, Tanzania do we have to take such a big risk ili tuu watu waende Kanisani kupeleka Sadaka? makanisa na misikiti si inaweza kutoa mahubiri online na kupokea sadaka kwa njia ya mtandao kwa kutoa tuu number za simu za kupokelea sadaka hivyo watu wajisalie, na kuji swalia Majumbani mwao?View attachment 1416197

Ili kuhakikisha makusanyo ya sadaka hayapungui, kila kanisa, lifungue online pages zake na kutoa mahubiri online kama YouTube channel, na kwenye mahubiri hayo ya online viongozi wetu wa dini wasisitize kutoa sadaka kwa kufundisha usipotoa sadaka unapata dhambi na kadri unavyotoa sadaka kubwa ndivyo hivyo hivyo utakavyobarikiwa kiukubwa.

Tena huwezi jua, baadhi ya wahubiri kujikuta wanaeneza zaidi neno la Mungu online na kuwafikia watu wengi zaidi, kuliko hata wanaokuja Kanisani, na kupata mavuno makubwa zaidi kuliko zile sadaka za kawaida.

On top of that, pia kwa kila waumini 1,000 watakaosikiliza mahubiri hayo, ya online kupitia YouTube Channel, kanisa litavuna US $ 7, kila watazamaji 10,000 wanavuna US $ 70, kila watazamaji 100,000 wanavuna US $ 700 na kila watazamaji 1,000,000 wanavuna US $ 7,000. Hizi ni online payments on top of sadaka za kawaida.

Kwa vile Mungu ni Omnipresent, yupo popote, kipi ni muhimu zaidi kati ya watu kuendelea kwenda nyumba za ibada kuabudu na ku risk maambukizi ya Corona, kuugua, kufa na kutochangia tena, au kusalia majumbani mwao, kutuma sadaka kwa M-pesa na kubakia salama?.

Hivyo kufuatia maambukizi ya Corona kufikia kiwango cha Local Transmission, Jee sasa Tuishinikize serikali yetu itangaze some semi lockdown kwa mikusanyiko isiyo ya muhimu sana, ikiwemo mikusanyiko ya nyumba za ibada, na badala yake watu wasalie na kuswalia majumbani mwao, ila sadaka ndio itumwe makanisani kwa M-Pesa?

Nawatakia Pasaka Njema.

Paskali
IMG-20200411-WA0029.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna aliyezuiwa kuonana na Mungu. Hoja ya mleta uzi ni kwamba kwa vile Mwenyenzi Mungu moja ya sifa yake ni Omnipresent, yaani yupo na anapatikana popote,(siyo kanisani na msikitini tu), basi tunaweza kabisa kusali/ kuswali na kumwomba tukiwa majumbani mwetu, kazini, kwenye biashara 1¹1zetu au mahali pengine popote bila kufanya mkusanyiko.
Tunachoepuka ni mkusanyiko usio wa lazima.

Sent using Jamii Forums mobile app

Inawezekana yuko sahihi kwa kile anachoamini. Mimi kanisani nafuata tablenacle. Ni pekee ambapo kuna living God 24/7. Ndio mganga wa roho na mwili wangu. Ni lazima niende
 
Brazil wale hawana wito wa kimaono ya mungu,acha wafunge sisi tukamwombe mungu atuponye hili janga,au wewe hupendi kwenda mbinguni?

Wito wa kimaono ni upi ndugu yangu?

Embu ingia uangalie statistics Brazili ni nchi ya kikristo sio tu ukatoliki adi uprotestant umeshamiri hivi sasa

imani bila tahadhari ni matumizi mabaya ya kipawa cha Roho Mtakatifu ambacho ni AKILI

Embu naomba unijibu maswali yafuatayo
Kwani Yusufu alimkimbiza Mtoto Yesu kumficha Misri wakati Herode anataka kumuua

Kwanini Nuhu alichonga safina wakati wa gharika
Na visa vingi tu vya kimaandiko ambavyo watu walitumia akili zao kupambana navyo japo Mungu alikuwa pamoja nao

Kukaa na kusema Mungu atatuepusha bila kuchukua tahadhari ni ujinga tu kama ulivyo ujinga mwingine


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Wanabodi,

Leo katika kipindi cha Jicho Letu Ndani ya Habari, nimezungumza kidogo na Naibu Waziri wa Afya, Dr. Faustine Ndugulile kuhusu local transmission ya virusi vya Corona, na umuhimu wa mikusanyiko isiyo ya lazima, kiukweli kabisa kuna vitu serikali inavijua lakini hatuvisemi kwasababu nchi yetu imeamua hatufanyi lockdown.

Rais Magufuli ametusisitiza Watanzania tuendelee kupiga kazi, lakini kama shule tumefunga, vyuo tumefunga, mikusanyiko isiyo ya lazima tumezuia, hii mikusanyiko ya kwenye nyumba za ibada nayo ni mikusanyiko muhimu?.

Nimewaza sana kuhusu mikusanyiko hii ya kwenye nyumba za ibada, kufuatia moja ya sifa za Mungu, ni Omnipresent, yaani Mungu yupo popote, sasa kuna ulazima gani kwa waumini kukutanika kanisani kushiriki ibada Takatifu wakati unaweza Kusali/Kuswali ukiwa popote na Mungu akaisikia sala yako popote hapo hapo ulipo?.

Najua moja ya umuhimu wa watu kuja makanisani ni pamoja na makusanyo ya sadaka, lile tangazo la rais la watu wafanye kazi, hivyo mapadri, masheikhe na wachunguji kuendesha ibada ndio kazi yao, lakini kufuatia maendeleo makubwa ya sayansi na technolojia, na ujio wa utandawazi, kuna njia nyingi za kupeleka mahubiri online na kwenye mifumo ya malipo, kuna njia nyingi za kufanya malipo, Tanzania do we have to take such a big risk ili tuu watu waende Kanisani kupeleka Sadaka? makanisa na misikiti si inaweza kutoa mahubiri online na kupokea sadaka kwa njia ya mtandao kwa kutoa tuu number za simu za kupokelea sadaka hivyo watu wajisalie, na kuji swalia Majumbani mwao?View attachment 1416197

Ili kuhakikisha makusanyo ya sadaka hayapungui, kila kanisa, lifungue online pages zake na kutoa mahubiri online kama YouTube channel, na kwenye mahubiri hayo ya online viongozi wetu wa dini wasisitize kutoa sadaka kwa kufundisha usipotoa sadaka unapata dhambi na kadri unavyotoa sadaka kubwa ndivyo hivyo hivyo utakavyobarikiwa kiukubwa.

Tena huwezi jua, baadhi ya wahubiri kujikuta wanaeneza zaidi neno la Mungu online na kuwafikia watu wengi zaidi, kuliko hata wanaokuja Kanisani, na kupata mavuno makubwa zaidi kuliko zile sadaka za kawaida.

On top of that, pia kwa kila waumini 1,000 watakaosikiliza mahubiri hayo, ya online kupitia YouTube Channel, kanisa litavuna US $ 7, kila watazamaji 10,000 wanavuna US $ 70, kila watazamaji 100,000 wanavuna US $ 700 na kila watazamaji 1,000,000 wanavuna US $ 7,000. Hizi ni online payments on top of sadaka za kawaida.

Kwa vile Mungu ni Omnipresent, yupo popote, kipi ni muhimu zaidi kati ya watu kuendelea kwenda nyumba za ibada kuabudu na ku risk maambukizi ya Corona, kuugua, kufa na kutochangia tena, au kusalia majumbani mwao, kutuma sadaka kwa M-pesa na kubakia salama?.

Hivyo kufuatia maambukizi ya Corona kufikia kiwango cha Local Transmission, Jee sasa Tuishinikize serikali yetu itangaze some semi lockdown kwa mikusanyiko isiyo ya muhimu sana, ikiwemo mikusanyiko ya nyumba za ibada, na badala yake watu wasalie na kuswalia majumbani mwao, ila sadaka ndio itumwe makanisani kwa M-Pesa?

Nawatakia Pasaka Njema.

Paskali
Akiwa amelala juu ya jiwe akipunga upepo na kupitiwa usingizi, neno likamjia Chakaza kutoka kwa Malaika mkuu mtarajiwa kwa sauti ya juu.
"Nilipanga kumtunuku homeboy nafasi anayo endelea nayo Hassan hasa baada kumpa hii nyingine kule kwa Dr Kyembe na Juliana Soda. Lakini kwa Uzi alioshuka nao kuhusu watu kwenda kwa Gwajiboy na matumizi ya Tigopesa hakika nabadili mawazo na huo usemaji labda aende akachukue ule wa Manara. Mimi sijaribiwi. Pamoja na kunisifu na kunipamba sana wakati mwingine kwa mgongo wa chupa, kwa hili amechezea ndude za simba"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shule zimefungwa sababu ni mikusanyiko isiyo ya lazima halafu makanisa na misikiti yameachwa sababu ni mikusanyiko ya lazima.

Mwigira wa Efatha Ministry alikuwa anaendelea na utamaduni wake wa kukusanya waumini wake wapatao 3000+ nchi nzima kule kwenye Kijiji chake ni vile tu RC wa Pwani kampiga stop.

Yaani hawa jamaa wabinafsi kweli.
 
Kifupi na declare mimi ni mkristu lakini hili la kuendeleza mikusanyiko kwenye ibada sikubaliani nalo hata kidogo

Kwa upande wangu still nashangaa kwanini shule zifungwe lakini ibada ziendelee...hapa Brazil ni wiki ya tatu sasa ibada zote zimekuwa ban na kasi ya maambukizi ni kidogo sana ukilinganishwa na ukubwa wa nchi ya Brazil

Nadhani after two weeks nchi yetu huenda ikashuhudia madhara makubwa hasa yatokanayo na local transmition hapa ndipo taasisi za dini zitashituka

Kifupi hii wiki kuu itakuwa ni moja kati ya wiki zitakazo kuwa zimezalisha maambukizi mengi.


Sent from my iPhone using JamiiForums
...hapa Brazil ni wiki ya tatu sasa...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi,

Leo katika kipindi cha Jicho Letu Ndani ya Habari, nimezungumza kidogo na Naibu Waziri wa Afya, Dr. Faustine Ndugulile kuhusu local transmission ya virusi vya Corona, na umuhimu wa mikusanyiko isiyo ya lazima, kiukweli kabisa kuna vitu serikali inavijua lakini hatuvisemi kwasababu nchi yetu imeamua hatufanyi lockdown.

Rais Magufuli ametusisitiza Watanzania tuendelee kupiga kazi, lakini kama shule tumefunga, vyuo tumefunga, mikusanyiko isiyo ya lazima tumezuia, hii mikusanyiko ya kwenye nyumba za ibada nayo ni mikusanyiko muhimu?.

Nimewaza sana kuhusu mikusanyiko hii ya kwenye nyumba za ibada, kufuatia moja ya sifa za Mungu, ni Omnipresent, yaani Mungu yupo popote, sasa kuna ulazima gani kwa waumini kukutanika kanisani kushiriki ibada Takatifu wakati unaweza Kusali/Kuswali ukiwa popote na Mungu akaisikia sala yako popote hapo hapo ulipo?.

Najua moja ya umuhimu wa watu kuja makanisani ni pamoja na makusanyo ya sadaka, lile tangazo la rais la watu wafanye kazi, hivyo mapadri, masheikhe na wachunguji kuendesha ibada ndio kazi yao, lakini kufuatia maendeleo makubwa ya sayansi na technolojia, na ujio wa utandawazi, kuna njia nyingi za kupeleka mahubiri online na kwenye mifumo ya malipo, kuna njia nyingi za kufanya malipo, Tanzania do we have to take such a big risk ili tuu watu waende Kanisani kupeleka Sadaka? makanisa na misikiti si inaweza kutoa mahubiri online na kupokea sadaka kwa njia ya mtandao kwa kutoa tuu number za simu za kupokelea sadaka hivyo watu wajisalie, na kuji swalia Majumbani mwao?View attachment 1416197

Ili kuhakikisha makusanyo ya sadaka hayapungui, kila kanisa, lifungue online pages zake na kutoa mahubiri online kama YouTube channel, na kwenye mahubiri hayo ya online viongozi wetu wa dini wasisitize kutoa sadaka kwa kufundisha usipotoa sadaka unapata dhambi na kadri unavyotoa sadaka kubwa ndivyo hivyo hivyo utakavyobarikiwa kiukubwa.

Tena huwezi jua, baadhi ya wahubiri kujikuta wanaeneza zaidi neno la Mungu online na kuwafikia watu wengi zaidi, kuliko hata wanaokuja Kanisani, na kupata mavuno makubwa zaidi kuliko zile sadaka za kawaida.

On top of that, pia kwa kila waumini 1,000 watakaosikiliza mahubiri hayo, ya online kupitia YouTube Channel, kanisa litavuna US $ 7, kila watazamaji 10,000 wanavuna US $ 70, kila watazamaji 100,000 wanavuna US $ 700 na kila watazamaji 1,000,000 wanavuna US $ 7,000. Hizi ni online payments on top of sadaka za kawaida.

Kwa vile Mungu ni Omnipresent, yupo popote, kipi ni muhimu zaidi kati ya watu kuendelea kwenda nyumba za ibada kuabudu na ku risk maambukizi ya Corona, kuugua, kufa na kutochangia tena, au kusalia majumbani mwao, kutuma sadaka kwa M-pesa na kubakia salama?.

Hivyo kufuatia maambukizi ya Corona kufikia kiwango cha Local Transmission, Jee sasa Tuishinikize serikali yetu itangaze some semi lockdown kwa mikusanyiko isiyo ya muhimu sana, ikiwemo mikusanyiko ya nyumba za ibada, na badala yake watu wasalie na kuswalia majumbani mwao, ila sadaka ndio itumwe makanisani kwa M-Pesa?

Nawatakia Pasaka Njema.

Paskali

Paskali, kwanza ni kushukuru sana kwa kazi kubwa inayofanywa kipindi hiki, kwa kutumia ujuzi na maarifa uliyonayo. Una-coordinate wadau mbalimbali na media mbalimbali, na kutengeneza jukwaa kubwa sana ndani na nje ya nchi. Yote haya unayafanya yanagharimu rasilimali nyingi ikiwemo muda mwingi, shibe ya kutosha, na hata gharama za fedha toka mfukoni. Na hapo inanikumbusha falsafa za baba wa taifa, Mwalimu Nyerere, kwamba KITENDO CHOCHOTE KINACHOWAONGEZEA WATU UWEZO WA KUAMUA MAMBO YAO, NI KITENDO CHA MAENDELEO, HATA KAMA HAKIWAONGEZEI AFYA WALA SHIBE!!!

Hongera sana. Kuhusu suala la kufunga nyumba za ibada, sidhani kama tatizo ni Sadaka. Ni muhimu viongozi wetu wa dini wajipange mapema, kabla hawajalazimishwa kuzifunga nyumba za ibada
 
Hah hah hah hah kila mmoja na anyakue kinachomfaa toka kwa mkuu P.
Binafsi nimechukua hii tu👇👇👇



na kwenye mahubiri hayo ya online viongozi wetu wa dini wasisitize kutoa sadaka kwa kufundisha usipotoa sadaka unapata dhambi na kadri unavyotoa sadaka kubwa ndivyo hivyo hivyo utakavyobarikiwa kiukubwa
 
Back
Top Bottom