dubu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 3,496
- 3,461
Naamini Kiyovu kimekuja kuchukua point zake tatu muhimu. Hakika leo kiyovu kitatutoa kimasomaso. Mimi nakitakia kiyovu ushindi mwema wa magoli 3 bila. Bila shaka sasa hivi simba kiroho kinadunda. crushwise na wengine aina yake karibuni sana uwanjani muone jinsi kiyovu kinavyo ondoka na point tatu.