inawezekana hiyo biblia uneikota manzese. lkn pia inawezekana unampango wa kumkana mzee wako wa kike kama ndie aliekuzaaYaani wewe unatafuta MABISHANO baada ya kuelimishana. Ajabu sana! Haya bwana wasubiri wabishi.
Kuna mtu anaweza akabishana na mimi kuwa mungu hakuwa na mpango wwa kuumba mwanamke! hayo ni maoni yangu, na biblia iko upande wangu. kuna mtu yeyote anaweza kubisha kwa kutumia biblia au the holly quran?