Meritta
JF-Expert Member
- Apr 26, 2011
- 1,303
- 293
jamani mi ninachoamini ni kuwa Mungu kaumba vitu kwa mfano wake, pia kaumba vitu ili mwanadamu atumie na kufurahia.
ila katika suala zima la mapenz sijui nini kinatokea na ndo maana naomba msaada kwenu. Katika iman yangu mi naamin kuwa hata suala la mapenzi na ndoa mungu ameifanya na kuibariki ili watu wafuraie na kuzaliana waongezeke waijaze dunia. Tatizo linakuja ni pale mapenz
yanapokuwa chungu na kuharibu utaratibu mzima wa maisha, sasa wanajamvi tusaidiane nini tatizo linalopelekea mapenz kuwa si furaha tena
bali machungu. Nawasilisha
ila katika suala zima la mapenz sijui nini kinatokea na ndo maana naomba msaada kwenu. Katika iman yangu mi naamin kuwa hata suala la mapenzi na ndoa mungu ameifanya na kuibariki ili watu wafuraie na kuzaliana waongezeke waijaze dunia. Tatizo linakuja ni pale mapenz
yanapokuwa chungu na kuharibu utaratibu mzima wa maisha, sasa wanajamvi tusaidiane nini tatizo linalopelekea mapenz kuwa si furaha tena
bali machungu. Nawasilisha