Mungu ametupa zawadi leo kwa Mbunge Tundu Lissu kusimama kwa mara ya kwanza kwa msaada wa Physiotherapist

georgebernardshaw1-2x.jpg
 
Boxing Day Nairobi Hospital

Mungu ametupa zawadi leo kwa Mh Tundu Lissu kusimama kwa Mara ya kwanza kwa msaada wa Physiotherapist tangu tarehe 07/ 09/2017. Ahsante Mungu kwa kuendelea kututendea miujiza.

Picha kutoka Hospitali ya Nairobi ikimuonesha Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu akifanya mazoezi ya kusimama kwa msaada wa madaktari wa hospitali hiyo.
=========UPDATES
Ujumbe wa Mbunge Tundu Lissu kutoka Hospital ya Nairobi nchini Kenya anakoendelea na matibabu baada ya kushambuliwa kwa Risasi mwezi Septemba, 2017
~

Dear family na wapendwa wote.

Wiki iliyopita niliwataarifu kwamba madaktari wangu wamesema 'nitasimama, nitatembea na nitarudi Tanzania.'

Leo Boxing Day nimeweza kusimama kwa mguu mmoja kwa msaada wa 'Mababa Cheza' wangu.

Hatua inayofuata ni magongo kesho na nitawajulisheni hatua nyingine katika matibabu yangu accordingly.

Wasalaam,
Tundu AM Lissu


View attachment 659914

Sifa na Utukufu virudi kwako wewe Baba, hakika wewe ni Eberneza Amina
 
Ameen. The power of God is greater than all the powers oh all rulers and the Army of the wasiojulikana armed with their smgs
 
Back
Top Bottom