Nakuombea kwa mungu akulipe hapa hapa dunianiHata wewe kesho yako hauijui pia, hivyo achana na mimi!
Wametepeta kwa aibu sana !Mzee wa roho mbaya mambo vipi?
Boxing Day Nairobi Hospital
Mungu ametupa zawadi leo kwa Mh Tundu Lissu kusimama kwa Mara ya kwanza kwa msaada wa Physiotherapist tangu tarehe 07/ 09/2017. Ahsante Mungu kwa kuendelea kututendea miujiza.
Picha kutoka Hospitali ya Nairobi ikimuonesha Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu akifanya mazoezi ya kusimama kwa msaada wa madaktari wa hospitali hiyo.
=========UPDATES
Ujumbe wa Mbunge Tundu Lissu kutoka Hospital ya Nairobi nchini Kenya anakoendelea na matibabu baada ya kushambuliwa kwa Risasi mwezi Septemba, 2017
~
Dear family na wapendwa wote.
Wiki iliyopita niliwataarifu kwamba madaktari wangu wamesema 'nitasimama, nitatembea na nitarudi Tanzania.'
Leo Boxing Day nimeweza kusimama kwa mguu mmoja kwa msaada wa 'Mababa Cheza' wangu.
Hatua inayofuata ni magongo kesho na nitawajulisheni hatua nyingine katika matibabu yangu accordingly.
Wasalaam,
Tundu AM Lissu
View attachment 659914
Hapana,, ni Mungu mkuu siyo "mungu"mungu ni mkubwa
Zawadi kubwa kiongozi ni expansion joint ya mamako!Za wadi? Tundu lisu! !! Labda sijui mana ya za wadi kutoka kwa Mungu
Shetani hajawahi kumshinda Mungu .God is great!!
Amina ya kinafiki toka kwa mafisiemu
Fisi ni mwenye tamaa na haridhiki sasa tabia za CCM ndio kama za huyo fisiMmmmmh
Inahusiana vipi na Lissu hiyo picha?