ndupa
JF-Expert Member
- Jan 25, 2008
- 4,403
- 141
Namsteeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
I missed you guys! Nina mengi ya kuandika humu, tatizo mudaaaaaaaaaaa! The luxury of time is what i dont have at all. Twende kwenye mjadala fastaaaaaa.
Sio uongo wala unafiki, wanawake wenzangu, wake za watu mnawaona waume zenu wa maana na thamani wakiwa wanajiweza kiuchumi na wana kipato. Mambo ya kiyumba mioyo yenu inageka zaidi ya JIWE!!!!!!!! Hata sijui kwa nini. Kwni mwanaume asie na kazi, kipato IRRESPONSIBLE anawakeraaaaaa kiasi hicho? (Well sio NYOTE bali WENGI WENU). You make me SAD!!!!!!!! Really SAD! Hahahaaaaaaaaa!
oka mwakaueanza huu sijui una nini waume za mashosti wangu full kufilisika filli!!!!!!!!!!!! Kosa hela uijue tabi ya mkeo uzuri! Hahaaaaaaaaa! Its no a laughing matter and i am ashamed of my self for laughing a sensitive matter like this! Hahahaaaaaaaaaa. Nachek kwa huuni kwa yanayotukia huku.
1st Muke ya Mwenye Bar! Yule shosti wangu (Mama mtu zima) jimama la saluni, maa wa waheshimiwa anakaa mjini na P.O.Box, Muke ya Mdigo, mumewe amekuwa Bankrupt!!!!!!!!!!!!!!! Makubwaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!! Bar zimefilisika zote. Mpaka namuonea imani na huruma. He was such a good man, best husband ever and father. Baada ya kufulia ndoa yake naipa 2yrs and i am being generous and very optimistic. Zamani saluni hatpumui, my habby hivi, vile, kanilete dhahabu hizi, tunajenga huku, ana akili sanaa, blah! blah! Wengine wote tunanuksi mabwana zetu maskini wakubwa. Tuikomaaaaaaaaaaa! Acha kabisaa na hivi saluni yake ilibidi tu tuvumilie. Mchana anaacha wateja wakusuka wanamubiri anaenda kumpikia HUBBY! Si ndo anampa jeuri na kwenda msalani mjini hapa. Siku hizi baada ya kuwa broke a.ss mmmmmmmmmh! Anakaa saluni mpaka sa 4 hadi 5 usiku. Mumewe akimpigia arudi anasema kuna wateja, tutakula nini? Rudely kabisaa! Mmmmmmmmh! Si yetu macho! Ana shosti yake anamuuza kwa mibaba ya mjini. Kaununua simu ya bei anaiacha saluni ya magumash. Kutwa analalama wanaume siku hizi, kuolewa ushahidi tu. Jitu zima linangoja litunzwe! Hahhaaaaaaaaaaa! (Its not a laughing matter). Kama si yule aliekuwa anafagia mumewe apite. Badala amanage finance vizuri kumkwamua mwenzie ndo kwanza ana maintain status kwa kuchuna. Ashasahau saluni yenyewe alipewa na mdigo. Basi saluni wasemaje KNA KUACHWA UKALIA AU UKACHEKA! Kucheka ni pale unaachwa unalipata jibaba inakupandisha status mmeo anbaki akitoa mijicho! Viumbe wazito wale!!!!!!!
2nd Mke wa Mutu. Huyu alikuwa napewa nakoz na mumewe mpaka anavimba mwili mzima hadi kulazwa, akipona anapewa madhahabu, pamba, na cash hashtai wala nini wanayamaliza. Sasa siku hizi mumewe nae kawa broke a.ss no madhahabu wala outing wala vacation. Mwendo wa mchicha na maharage. Juzi kabambwa na sms ya MPESA katumwa hela, kapewa nakoz za kufa mtu mpaka kiuno kikatenguka, jicho limevia damu. Ukitaka kujua maskii hana rafiki kaenda kushtaki polisi. Kamtupa mumewe lupango tangu juzi. Hataki masikharakafika mpaka TAMWA!!!!!!! All of a sudden ndo anaona injustice anazofanyiwa in 5 GOOD YEARS!!!!!!!!!
3rd Muke ya Boss. Huyu ndo anawatia kiburi wote hawa na kuwapotosha kabisaa. Muke ya bosi ni yule mzuriiiiii hajawahi fanya kazi yoyote afu ana bahati na wanaume wa maana. Bosi aliuwa anamuendesha balaa. Ila nae ana roo ya korosho, anamfumania bosi aamwambia tangulia nyumbani, afu anamshushia kipondo mgon wake na kumchana na viwembe. Akirudi kabla hajakohoa bosi ana mbadilishia gari, na set ya tanzanite au white gold au madini yoyote, kesi inaisha hapo apo. Sasa kimbmbe big boss aliachishwa kazi. Mmmmmmmh! Akawa anasema saluni mimi dhiki sijazoea. Baba B namuacha sasa hivi. Tukajua maneno ya mkosaji. Mmmmmmmh! Akalipa sijui Boss gani huko, huyo kachukua wanae 2, wamehamia Mikocheni,na watoto shule kwahamisha ya ghali zaidi, na jina kawabadilisha kawapa la step dad. Baba B. akawa anashinda bar, talaka hataki kutoa. Baadae baba B akaajiriwa interntional org. kazi yake kumuhonga mama B arudi home mkewe. Hahahaaa! Mama B anamchuna tu. Ila simlaumu baba B, Mama B wa ukweeee, chotara, msomi,mzuriiiiiiiiiii, afu mama yake alikuwaga nyakanga so uwezo wak 6*6 inasemekana ni outstanding ndo maana baba B kasahau yote.
All in all MWANAUME KOMAAAAAAAAAAAAA! HESHIMA YAKO MFUKO WAKO! OTHERWISE UNAJIDANGANYA NA UTAKUJA KUJUTIA! Ukiwa ofisini usijibweteke fungua miradi, invest na usali sanaaa usije kuyumba kiuchumi. Utakiona cha moto! Wanawake vinyonga! Tunapend tuhudmiwe na kutnzwa! Ukiwa na hela mwanamke atafagia upite. Ukimkoromea atanyamaza. Akikosea ataomba msamaha. OLE WAKO SIKU UWE HUNA!!!!!!!!!!!
FIMBO YA MWANAMKE NI PESA! Ukimzidi tu baaaaaaaaaaasss!
Maneno yako yanauma ila ndo ukweli!! Pesa kwanza ..acha tukomae tuuu!!! Sina la nyongeza... nshakupa like yako!!!