BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,166
Hehehehe Mwanaume kaumbiwa mateso na mateso yenyewe ndio hayo.
Honestly though. . .
Hayo ndio matokeo ya kumkamata mwanamke kwa kutumia pesa. Siku ukizikosa mwenye nazo anachukua nafasi yako fasta.
Umesema yote
Kama umeoa jini mla fedha tarajiwa kuachwa siku fedha ikikauka