Mume wa kunistiri uko wapi jamani?

Njoo PM kama utakidhi vigezo vya muonekano wako na umri nakuoa ndani ya miezi 3 tu kwa ndoa ya kanisani RC.
Karibu PM mrembo mana Nina wazo la kuwa na mke Ila sijampata/kumuandaa.
 
Wazima humu
Natafuta mtu wa kunisitiri maana naona hali yangu c hali tena na swala la kuzini silihitaji kabisaaa masikioni mwangu
Najikuta napoteza watu wengi ambao wananihitaji kimapenz Ila wengi hawamuogop Mungu wameendekeza zinaa hvy nikiweka msimamo bac mtu anapotea lakini cjali naamini yupo mwenye hofu na Mungu na akanisitir

Hvy bac ww ambaye unahc unauhitaji wa mke ikiwezekan hata ndani ya mwaka huu huu bac hii ndo fursa yako na hakika hutajutia kunijua wala kunioa
Akiwa muislam itapendeza zaid

Akiwa msomi Sawa pia hata kama hana kazi haina shida mali zinatafutwa ila awe amesoma maana mm elim yangu mm ni ya kawaida tu

Andunje hapana jamn mnisamehe maana me pia anduje sasa tukitaka kufuta vumbi kwenye feni itakuaje hapo

Awe tayar kubadilika na kuishi kwa kumtegemea Mwenyez Mungu kwa kila kitu na sio binaadam mwenzake (shirki is not allowed)

Akiwa mpole kwangu nitashkr sana ila ajue tu yeye ndo baba hvy inafikia kipind atatakiwa upole ubakie kwangu ila kwa watoto natamani awe mkali zaid maana mm hadi najionea huruma siwez kuongea kwa ukali

Asiwe black saanaaa wala mweupeeee saaana angalau maji ya kunde

Awe tayar kuishi na mm bila kuninyanyasa maana sina kibarua Ila napenda ujasiriamali so akiniwezesha atafutarah maan biashara kwangu ni bora kuliko kuajiriwa
Ila nikibak nyumbani napenda zaid maana nitakuwa na uhakika wa kumtimizia mume wangu nahitaji yake kwa muda unaotakiwa angalau hata 95%

Karibuni PM mwenye nia tu
Baby manka ni PM kama uko seriously inshaa Allah tunaweza tukaw on truck sio aibu kutoa lililo moyoni yaliokupata unayajua mwenyewe hata kufikia kutotaka zinaa na kuomba mume
 
Kwa sifa ulizozitaja sijapata tabu kujua wewe ni mtu wa aina gani. Nenda kwenye msikiti wa karibu na wewe, jielezee 'shida' yako na utasaidiwa.
Kupata mtu wa aina hiyo asiyezini katika dunia ya leo tena 'mtandaoni' yataka "imani".
Nisingekuwa andunje ningejitosa kukusitiri kiumbe cha allah, ngoja tuendelee kuwasubiri ngongoti.
Hahahahha
 
Nadhan umekuja kuchangamsha genge tuu humu, sina hakika kama unamanisha coz thread yko imebeba jokes.
 
Wazima humu
Natafuta mtu wa kunisitiri maana naona hali yangu c hali tena na swala la kuzini silihitaji kabisaaa masikioni mwangu
Najikuta napoteza watu wengi ambao wananihitaji kimapenz Ila wengi hawamuogop Mungu wameendekeza zinaa hvy nikiweka msimamo bac mtu anapotea lakini cjali naamini yupo mwenye hofu na Mungu na akanisitir

Hvy bac ww ambaye unahc unauhitaji wa mke ikiwezekan hata ndani ya mwaka huu huu bac hii ndo fursa yako na hakika hutajutia kunijua wala kunioa
Akiwa muislam itapendeza zaid

Akiwa msomi Sawa pia hata kama hana kazi haina shida mali zinatafutwa ila awe amesoma maana mm elim yangu mm ni ya kawaida tu

Andunje hapana jamn mnisamehe maana me pia anduje sasa tukitaka kufuta vumbi kwenye feni itakuaje hapo

Awe tayar kubadilika na kuishi kwa kumtegemea Mwenyez Mungu kwa kila kitu na sio binaadam mwenzake (shirki is not allowed)

Akiwa mpole kwangu nitashkr sana ila ajue tu yeye ndo baba hvy inafikia kipind atatakiwa upole ubakie kwangu ila kwa watoto natamani awe mkali zaid maana mm hadi najionea huruma siwez kuongea kwa ukali

Asiwe black saanaaa wala mweupeeee saaana angalau maji ya kunde

Awe tayar kuishi na mm bila kuninyanyasa maana sina kibarua Ila napenda ujasiriamali so akiniwezesha atafutarah maan biashara kwangu ni bora kuliko kuajiriwa
Ila nikibak nyumbani napenda zaid maana nitakuwa na uhakika wa kumtimizia mume wangu nahitaji yake kwa muda unaotakiwa angalau hata 95%

Karibuni PM mwenye nia tu
Unakubali kuwa mke wa pili?
 
Sitakuja kuamini maana mtafutaji hakimbilii PM mambo ni hadharani, maana huko PM utajaza wengi na mwisho wa siku basi ushapata kulainisha
Ni kheri ungeweka namba hapa ili wengi wasote wakijua unania kweli ila PM sina uhakika .pia jitaidini kuweka matangazo yenu vzr ili yawavutie watafutaji wa majike ..
Mfano utambulisho wako
Naitwa Ellen kalumanzira, Umri 26,Elimu Shule ya msingi ,Makazi Mwembe Togwa,Kazi Mkulima.
Malizia sina mtoto ,au watoto . Weka picha yako safii kabisa ili mwanaume akija kuonana nawe isiwe kama miujiza .
tapatalk_1522229918765.jpeg
 
Mimi nina vigezo vyote lakini Je wewe nawe papuchi yako iko tight? au ndo imetepweta Hicho me ndio kigezo changu cha kwanza kabla sijaja PM
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom