ukhuty
JF-Expert Member
- Oct 9, 2016
- 16,851
- 41,924
Msininyime ubwabwa tuKaribu tufanye nikah/nusura maana unaonekana ushungi utauweza mkuu njoo PM
Msininyime ubwabwa tuKaribu tufanye nikah/nusura maana unaonekana ushungi utauweza mkuu njoo PM
Ndio ......we Ukisikia Kuna Mwanamke huko mmeo anampelekea Matatizo yake badala yako Ungependa...Hapana mkuu, kumbe yale maongezi yetu yalikuwa yanamkera mwenye mali zake.
tena uwahi kupika ule maalum aka kombeMsininyime ubwabwa tu
Nakuja sasa hivitena uwahi kupika ule maalum aka kombe
Umemfunda amenkimbia sasa hizi zawadi za harusi tunafanyaje shemejiNakuja sasa hivi
Usijali shem niwekee Mimi hizo zawad nakuja kuzichukuaUmemfunda amenkimbia sasa hizi zawadi za harusi tunafanyaje shemeji
Eehh mweee karibu sanaa ila umefanya vbaya kumfunda ona sasa basi tu njoo uchukue maana vimekukenga shemeji.Usijali shem niwekee Mimi hizo zawad nakuja kuzichukua
Hebu njoo inbox tuyajengeHabari za jioni wakuu,
Basi kule kibaruani nilitokea kupata swahiba ni mkaka umri wetu ni karibia sawa, kaka huyu ameoa na amebahatika kupata watoto wanne na mke wake. Kaka huyu tunaongea mengi, nikipata hata mitihani kibaruani nitampigia simu tunaongea ananifariji basi siku inapita. Kaka yangu huyu wa hiari alinitambulisha kwa mkewe, ikiwa siku kukiwa na ki sherehe nitakwenda birthday za watoto na vitu kama vile.
Ilitokea wakati flani walikuwa na mtafaruku mkubwa sana na mke wake, kwakweli yule kaka yakimzonga alinipigia simu na tukafarijiana, ule mtafarufu ulikuwa mkubwa kiasi cha wazazi wa pande zote mbili kuitwa, basi kwenye kikao wakaambiwa kila mtu aweke manyanga yake mezani yachambuliwe, lisiachwe jani la tatizo, kikao kimekuja kufagia, kwani kikiisha famila zote zinataka kuona wanalea watoto wao.
Mke wa swahiba si aseme kwenye kikao, kuna mwanamke anaitwa Sky Éclat, kila siku wanaongea kwenye simu, muulizeni uhusiano wao. Swahiba anakuja kunisimulia kesho yake kazini ananiambia lilimfika hata mwenyewe hakulitegemea.
Jamani mume mtamu, nimekoma kuwa na uswahiba na waume za watu.
Mm nimemfundisha tu jinsi ya kuishi na mume sas yeye kapitiliza naona ila hapajaharibika kitu nakuja kuchukua mimEehh mweee karibu sanaa ila umefanya vbaya kumfunda ona sasa basi tu njoo uchukue maana vimekukenga shemeji.
Kumbe na wewe huna mume????Habari za jioni wakuu,
Basi kule kibaruani nilitokea kupata swahiba ni mkaka umri wetu ni karibia sawa, kaka huyu ameoa na amebahatika kupata watoto wanne na mke wake. Kaka huyu tunaongea mengi, nikipata hata mitihani kibaruani nitampigia simu tunaongea ananifariji basi siku inapita. Kaka yangu huyu wa hiari alinitambulisha kwa mkewe, ikiwa siku kukiwa na ki sherehe nitakwenda birthday za watoto na vitu kama vile.
Ilitokea wakati flani walikuwa na mtafaruku mkubwa sana na mke wake, kwakweli yule kaka yakimzonga alinipigia simu na tukafarijiana, ule mtafarufu ulikuwa mkubwa kiasi cha wazazi wa pande zote mbili kuitwa, basi kwenye kikao wakaambiwa kila mtu aweke manyanga yake mezani yachambuliwe, lisiachwe jani la tatizo, kikao kimekuja kufagia, kwani kikiisha famila zote zinataka kuona wanalea watoto wao.
Mke wa swahiba si aseme kwenye kikao, kuna mwanamke anaitwa Sky Éclat, kila siku wanaongea kwenye simu, muulizeni uhusiano wao. Swahiba anakuja kunisimulia kesho yake kazini ananiambia lilimfika hata mwenyewe hakulitegemea.
Jamani mume mtamu, nimekoma kuwa na uswahiba na waume za watu.
Haya ngoja nikitoka kwa kazi ni PM jioni shemeji ngoja nkapasue mgonjwa kwanza nipige moja akili ikae sawa ndo niende maana kazi ngumu sana iyoMm nimemfundisha tu jinsi ya kuishi na mume sas yeye kapitiliza naona ila hapajaharibika kitu nakuja kuchukua mim
Haya naisubiri hiyo zawadHaya ngoja nikitoka kwa kazi ni PM jioni shemeji ngoja nkapasue mgonjwa kwanza nipige moja akili ikae sawa ndo niende maana kazi ngumu sana iyo