Chocolate
Senior Member
- Feb 5, 2009
- 117
- 48
Last Sunday nilikwenda kumtembelea rafiki yangu lakini katika maongezi nikagundua hali haikuwa shwari kati yake na mumewe. Baada ya kuwa peke yetu ikabidi nimuulize kulikoni? Akaniambia kuwa amekuta kwenye makabrasha ya mumewe kumehifadhiwa zana (condoms) na kabla hajamuuiliza mume akatoka kwa muda mrefu (Saa tano asubuhi na kurudi mida mibovu usiku sana) akiwa hana zile zana. Mke ikabidi aulize na hapo ndipo ugomvi mkubwa ukazuka. Sasa mke hana raha anaona usalama tena haupo je tumsaidieje?