Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,360
- 6,484
Wana JF,
Mimi ni mgeni huku MMU uwa napita tu siku moja moja!
Leo nimepata nafasi na mimi kuchangia huku, kuna jamaa yangu tunafanya nae kazi ni mtu wangu wa karibu sana kapatwa na mtihani.
Kaniomba ushauri kuhusu huyo mtihani wake kutoka kwa mke wake, wakati wanajiandaa kwenda kazini asubuhi wakati mke wake anavaa nguo.
Kumuangalia sehema za makalio yake ya mke wake kaona kuna Hickey, kiss mark or love bites, sehemu zote mbili za makalio.
Kumuuliza nini hicho? Mke wake anajibu hamna kitu labda nimekaa kwenye kitu kigumu ndio kimeacha hizo love bites.
Wakuu kwa kweli nikashindwa kutoa ushauri naombeni michango yenu tumsaidie jamaa yangu.
Nawakilisha
Jibu la mke limetosheleza ushahidi kuwa ameshughulikiwa na bwana mwingine kwani DICK always uwa ngumu kama chuma cha pua wakati wa kazi, yawezekana ile style au position ilimfanya mtoa dozi kuyang'ang'ania/ kuyafinya makalio wakati anamalizia kazi au anakamulia maziwa kwenye kikombe!!!!!!!!!!!!
Jamaa ampige chini kwani hata watoto hawana sasa ya nini kuendelea naye. Pia bibie anataka watoto, hivyo anajaribu kuwatafuta hata kwenye genes nyingine. Na kukuosa kwao watot yawezekana kunachangiwa na kutokuwa na elimu ya uzazi. Waambie wa-google watapata majibu!!