Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,231
- 113,591
Kukutania mtandaoni hakuna tofauti na kukutania sehemu ingine yoyote ile. Na kanuni za mahusiano hazibadiliki kwani hata ukikutana na mtu shuleni, gengeni, kwa fundi, na kwingineko, umuhimu wa kwenda/kufanya mambo taratibu unabaki palepale. Chukua muda wako kumjua huyo mtu (ingwa huwezi kujua kila kitu) bila kukurupuka (rush).
Kwa hiyo, kwa vile mtandao umebadilisha mambo mengi ya kimaisha, ndoa za watu waliokutania kwenye mtandao nazo zinaanza kuwa ni kitu cha kawaida sana.
Kwa hiyo, kwa vile mtandao umebadilisha mambo mengi ya kimaisha, ndoa za watu waliokutania kwenye mtandao nazo zinaanza kuwa ni kitu cha kawaida sana.