:A S 13::A S 13::A S 13: khaaa!
hehehe kizee? wewe subiri sredi letu na tiamaji tunawatangazia ndoa. Mchango utatoa?kashangae feri we kizee.
hehehe kizee? wewe subiri sredi letu na tiamaji tunawatangazia ndoa. Mchango utatoa?
Husney, na ujanja wote huu ulitendwa? Kweli JF noumer... tema hapa nimchape.haya mpenzi, kuwa tu makini. Hata humu kuna heartbreakers. Mi kuna mmoja alishabreak moyo wangu ila ilichukua siku moja tu kuheal.
Hii ndio sredi yangu ya kwanza kuchangia love connect, sasa connect the dots. Hanemuni Dubai acha kutaja sehem za ajabu ajabu banamchango wangu nitawaleta honeymoon mpwapwa.
Husney, na ujanja wote huu ulitendwa? Kweli JF noumer... tema hapa nimchape.
Hii ndio sredi yangu ya kwanza kuchangia love connect, sasa connect the dots. Hanemuni Dubai acha kutaja sehem za ajabu ajabu bana
Ni msemo tu, you don't have to spit anything! you are disgusting. lol. but nimependa muda ulio tumia kubandika viraka kwenye roho: just a day. the MTFCKR doesn't deserve more than that (whoever he is)hehehe! Nimetendwa. mwenzio ujanja wa maneno tu. Lol.
Halafu umeniambia niteme mate nimetemea kimeo changu, nilifikiri ushakinga mkono.
Uskute husny ndio alikuwa heartbreaker wenyewe yaani a day? khaaaNi msemo tu, you don't have to spit anything! you are disgusting. lol. but nimependa muda ulio tumia kubandika viraka kwenye roho: just a day. the MTFCKR doesn't deserve more than that (whoever he is)
Hivi mpwapwa gari linafika?headboy ana mpango wa kuigeuza mpwapwa kuwa zaidi ya dubai.
kuna watu wako hivo... wapo sana.Uskute husny ndio alikuwa heartbreaker wenyewe yaani a day? khaaa
Uskute husny ndio alikuwa heartbreaker wenyewe yaani a day? khaaa
Ni msemo tu, you don't have to spit anything! you are disgusting. lol. but nimependa muda ulio tumia kubandika viraka kwenye roho: just a day. the MTFCKR doesn't deserve more than that (whoever he is)
Hivi mpwapwa gari linafika?
Hii bizinesi ya utabiri ulianza lini? Husn hafai, mgande Tiamaji..
Si umeona nimeweka kambi hapa kwenye sredi, leo mpaka kielewekeHii bizinesi ya utabiri ulianza lini? Husn hafai, mgande Tiamaji..