Kwa utaratibu mbovu na kanuni mbovu, TCRA ina leseni za ain mbili. Aina ya kwanza ni leseni ya local itakayokuwa na Free to Air channels (channel zitakazorushwa bure bila kulipia) ambazo ni ITV, TBC1, Channel 10, Clouds TV, Star Tv na EATV.
Hiz FTA channel ni decorder tatu tu zenye leseni au mamlaka ya kuonyesaha ambazo ni Star timws, Continental na TING. Ving'amuz vyote vilivyobaki kuanzia Azam Tv, DStv, Digitek n.k hazitakiwi kuonyesha hizo channel si bure wala kwa kulipia (wana leswni ya kuonyesha TBC2 tuu)
Hapo ndipo kwny shidaaaa...
Hivyo ving'amuz vyenye FTA (free to air) channel havionyeshi bure hizo channel (kifurush kikiisha hazionekani) na hizo zisizokuwa na lesen ya kuonyesha FTA (DStv, Azam TV etc) nao wanazionyesha hizo channel tena kwa kulipia..
Hapo ni mkanganyiko mtupu, ss tcra wamewavalia njuga hawa wasio na fta, wamewaacha wenye lesen ya fta lakn hawaonyeshi bure kwa wananchi. Kaupendeleo flan hv kwasababu wote ni watoto wa baba mmoja (star times vs tcra).
Hope umenipata kidogo mkuu..[/QUOT
Nashukuru sana Mkuu!
Umenitoa kwenye mkanganyiko.
Kwa hiyo sasa tukitaka kuona local channels tukanunue StarTimes au Ting au Continental.
Duh! Walikuwa wapi siku zote hizi.
Watatucompansate hizo damage?