Come27
JF-Expert Member
- Dec 1, 2012
- 7,555
- 7,179
Hawamwezi kwa lolote DSTV. Yule ni mkaburu na British shareholders. Yatakuwa kama ya Acacia, hawawezi kufanya kitu kwa kulazimishwa na wajamaaa njaaa. Dunia ya sasa ivi ni ya malipo, lazima upate huduma kwa kulipia. Mbona Acacia wamewashindwa, kinachotokea hapa umesainishwa mikataba ya kinyonyaji lazima uitumikie na kama utaki unashitakiwa mahakama unalipa fidia zake za uwekezaji wake apa TanzaniaHio ni mamlaka sio MTU binafsi, wakikurupuka wataishia kulipa mafidia,hakuna tumbua tumbua yenye tija