MUKAMA: Kujivua gamba ni tafsiri ya Sera, haina maana ya kufukuza watu fulani

Mwisho wa ccm, watanzania tutakuwa majuha na mabwege kama tutashindwa kuelewa hili genge la ccm limetuweka shimoni, giza totoro, huduma za jamii mbovu saaaaaaaaana, hiki chama kinatakiwa kufutika kama kanu. Hawawezi kufukuzana manake hakuna msafi jamani turudi kwenye list of shame aliyotoa dr slaaa. Shame on ccm, and all magamba
Upo sawa mkuu ila bado kuna utata hapa, kuna wakati mwingine huwa sipati majibu na huwa najiuliza sana. Hv tanzania ni kweli siasa ndio kikwazo kikubwa cha umasikini wetu? Je ni kweli wananchi wa tanzania tunafanyakazi ipasavyo? Nahisi kunahaja ya kujifanyia tathimini kwa kila mtu ilituwezekuwa na focus moja. Nakubaliana na wewe kwa kiasi fulani ccm imechangia sisi kuwa hapa!
 
wameshndwa hv ss vjana wenye fkra pevu na 2liofundshwa na waalimu wenye hasira na uozo wa chama chao ha2taki kauli nyepesi kama wanamtongoza mwanamke hapa kwa barua na takataka walizokuwa wanasema vko wapi?? Uchafu mtupu 2nataka action hovyo sana
Nikweli mkuu bt my doubt is on youth preparations, je vijana tumeandaliwa vizuri kukamata uongozi au ndio mpaka mapinduzi? Kwa hili sisiem wamekosea sana, wametufanya vijana tushindwe kujitambua na kuwa tegemezi!
 
This is funny, mnawalazimisha wachukue hatua na hawataki, don't you have an alternative????!!!
Ni ngumu sana mkubwa, mamlaka yetu wananchi yapo kwenye kibox cha kupigia kura, wananchi wanapaswa hamasishwa kufanya rational decisions ktk chaguzi! I strongly believe that Democracy wil lead to our Development!
 
Wanahabari wetu nao wanachangia kuongezeka kwa unafiki wa hawa wanasiasa,audio na video za matamko yao zipo sasa mwanahabari makini alipaswa wakati akimhoji au hata wakati akitengeneza habari aweke na audio au video ya matamko yao ili kuwaumbua vizuri maana ukiunganisha hayo instantly inaleta taharuki zaidi lakini sio kubeba alichosema pale then kinakuwa story ya siku kwishney!
Mkuu siasa za bongo, ccm ful sanaa, ki'mipango, ki'sera wapo sawa, ugumu unakuja ktk utendaji, hili swala hata mwl nyerere 1995 alipata kulizungumza!
 
wote tunaamini kuwa mtu akifa ni lazima azikwe hata kama ni kwa msaada wa 'wasamaria wema' lakini tusisahau binadamu wengine wanakufa na hawazikwi kamwe, huishia kuozea juu ya ardhi (kutegemea maeneo walipofia)! Hii ndiyo CCM bwana.
Cha msingi hapa tujikumbushe kuwa katika utawala wa CCM maneno yamekuwa mengi sana lakini hili linatuonyesha 'level' ya matendo ilivyo almost '0' (zero). Je, una haja ya kuuliza tena kwa nini TZ ni maskini na haisongi mbele!!??? ...lack of action....
Ukiona hivyo ujue wamekwama. Tuliwaambia mapema kuwa huleti mageuzi ya taasisi kwa ku-deal na sura za watu. Unapaswa kubadilisha mwelekeo wa sera, jambo ambalo CCM hawawezi kulifanya. They are stuck in a very deep muddy water, which is truly good for the country!
 
nani kawambia kujivua gamba rahisi namna hiyo? Hapa tunahitaji msasa tuwasugue hadi watoke na ukoko kabisa.. Mukama hana tofauti na fisadi lolote lile
 
Uoga..thubutu, wanakana walichokiamua. Wakiweza kuwafukuza mapacha watatu a.k.a magamba serikali ya jk kwishneeeii
 
Uoga..thubutu, wanakana walichokiamua. Wakiweza kuwafukuza mapacha watatu a.k.a magamba serikali ya jk kwishneeeii
Lowasa keshawaeleza serikali hii haina uwezo wa kufanya maamuzi magumu!
 
nani kawambia kujivua gamba rahisi namna hiyo? Hapa tunahitaji msasa tuwasugue hadi watoke na ukoko kabisa.. Mukama hana tofauti na fisadi lolote lile
Mukama yupo very humble, nadhani task waliyompa ndio tyt kwake!
 
Ukiona hivyo ujue wamekwama. Tuliwaambia mapema kuwa huleti mageuzi ya taasisi kwa ku-deal na sura za watu. Unapaswa kubadilisha mwelekeo wa sera, jambo ambalo CCM hawawezi kulifanya. They are stuck in a very deep muddy water, which is truly good for the country!
Kazi imemshinda mzee Mukama, aachie ngazi tu mwingine ajaribu bahati yake.
Mafisadi goli 1, Mukama/Nape 0
 
Gamba limekuwa gumu kwa ccm kulivua kwani kila wakijaribu kulivua wanaona linataka kutoka na nyama na mifupa inabaki nje! hii ndo sura ya kinafiki na kauli tata kutoka kwa ccm, sasa vipi kuhusu serikali inayoongozwa na ccm?! imerithi tabia hiyo hiyo they don't practice what they preach! shame on them all.
 
Gamba limekuwa gumu kwa ccm kulivua kwani kila wakijaribu kulivua wanaona linataka kutoka na nyama na mifupa inabaki nje! hii ndo sura ya kinafiki na kauli tata kutoka kwa ccm, sasa vipi kuhusu serikali inayoongozwa na ccm?! imerithi tabia hiyo hiyo they don't practice what they preach! shame on them all.
Waliloanishe na maji!
 
Upo sawa mkuu ila bado kuna utata hapa, kuna wakati mwingine huwa sipati majibu na huwa najiuliza sana. Hv tanzania ni kweli siasa ndio kikwazo kikubwa cha umasikini wetu? Je ni kweli wananchi wa tanzania tunafanyakazi ipasavyo? Nahisi kunahaja ya kujifanyia tathimini kwa kila mtu ilituwezekuwa na focus moja. Nakubaliana na wewe kwa kiasi fulani ccm imechangia sisi kuwa hapa!

nadhani unakumbuka dhana ya nyerere kuwa ili tuendelee tunahitaji vitu 4 yani 1. watu 2. ardhi 3. siasa safi 4. uongozi bora. hatuna shida na watu wala ardhi. shida kubwa ipo kwenye siasa na uongozi bora. uongozi ndio huleta aina ya siasa watakayoifuata. kwa hiyo kama siasa (sera) iliyopo ni kwa ajili ya watu na maendeleo yao, na uongozi uliopo ukatekeleza hayo kwa moyo wa dhati kabisa, hakuna sababu ya sisi kutokuendelea. kumbuka wakati tunapata uhuru tanzania tulikuwa juu ya asian countries kiuchumi. lkn polepole wenzetu wametuacha mpaka leo wanatusaidia kujenga miundombinu barabara, madaraja, reli, wakati sisi tunazidi angamia. tatizo letu kubwa ni uongozi bora. tuna viongozi ambao sio bora na hapa ndo tunapokwama
 
nadhani unakumbuka dhana ya nyerere kuwa ili tuendelee tunahitaji vitu 4 yani 1. watu 2. ardhi 3. siasa safi 4. uongozi bora. hatuna shida na watu wala ardhi. shida kubwa ipo kwenye siasa na uongozi bora. uongozi ndio huleta aina ya siasa watakayoifuata. kwa hiyo kama siasa (sera) iliyopo ni kwa ajili ya watu na maendeleo yao, na uongozi uliopo ukatekeleza hayo kwa moyo wa dhati kabisa, hakuna sababu ya sisi kutokuendelea. kumbuka wakati tunapata uhuru tanzania tulikuwa juu ya asian countries kiuchumi. lkn polepole wenzetu wametuacha mpaka leo wanatusaidia kujenga miundombinu barabara, madaraja, reli, wakati sisi tunazidi angamia. tatizo letu kubwa ni uongozi bora. tuna viongozi ambao sio bora na hapa ndo tunapokwama
Asante sana mkuu! Licha ya kukosa uongozi bora naamini hata wananchi goigoi ni kikwazo kingine cha maendeleo pia.. Watanzania hatupendi kufanyakazi!
 
hadi hivi sasa sijategemea jipya toka kwao kwani toka ninakua nasikia porojo tu za hawa jamaa! kuna watu wenye mawazo mgando kuwa ccm ikitoka madarakani tutakuwa na vita, jamani watz tuamke, nchi ni yetu c ya ccm, hatua ya tuliowasema kujitoa ni vithibitisho kuwa jamaa wanatuibia, na si kuwa wanajisafisha so tunatakiwa kufanya maamuzi watz!
 
hadi hivi sasa sijategemea jipya toka kwao kwani toka ninakua nasikia porojo tu za hawa jamaa! kuna watu wenye mawazo mgando kuwa ccm ikitoka madarakani tutakuwa na vita, jamani watz tuamke, nchi ni yetu c ya ccm, hatua ya tuliowasema kujitoa ni vithibitisho kuwa jamaa wanatuibia, na si kuwa wanajisafisha so tunatakiwa kufanya maamuzi watz!
Rostam Azizi si kajiuzuru mzee? Labda ndio wanavua magamba!
 
Back
Top Bottom