Zee lina mawazo mgando kweli wenye baba huyu mwiteni mwambieni "baba unatokota kaa kimya" maurities waliwahi kuongozwa na dj kwa sababu chama tawala kilichokwa nguvu ya umma ikabadili utawalaHivi nchi hii ukiwa na kilabu cha usiku ni 'dhambi kubwa' kiasi chama chako hakipaswi kuongoza nchi...bali ukiwa fisadi na mbadhirifu wa rasilimali za umma unakuwa umepikika 'kimaadili' na kutamba kuwa unastahili kuongoza nchi! Kama vilabu vya usiku ni vibaya kiasi hicho, walifuata nini 'Maisha Club'? Kwa nini Mukama hakukataa alipoalikwa kwenda Maisha Club ikiwa watu wanaojihusisha na hizo club hawana maadili na hawafai kushika uongozi wa nchi!?
*Asema inakabiliwa na ukame wa viongozi waliopikika kimaadili
* Hata kupata wagombea hutegemea 'iokoteze' walioshindwa michujo au chaguzi za CCM
* Asena kwa mtaji huo haiwezi kuwa chama chenye tija na hatma njema kwa taifa.
"CCM bwana ni tasisi yenye viongozi wenye chimbuko la maadili, siyo kama vyama vingine vinaongozwa na wenye vilabu vya usiku halafu eti navyo ni vyama vya kuweza kuongoza nchi", alisema Mukama. Alisema kutokana na CCM kuwa chama chenye chimbuko la maadili bora, ndiyo sababu kila kinapofanya uchaguzi wa kupata viongozi wake huwa ni wa kihistoria kwa kuwa anayepenya kuwa kiongozi huwa amepita kwenye tanuru la uchujwaji wa hali ya juu.
Katika hafla hiyo, wanachama wa Kata hiyo, waliuopongeza uongozi wa juu wa CCM kwa namna ulivyoweza kuweka taratibu zilizo wazi na za haki katika kuhakikisha uchaguzi ndani ya chama unazaa viongozi walio dhabiti. Mapema, Mukama alikabidhi hati kwa vijanan na makamanda wa Umoja wa Vijana wa CCM, ambao wameshiriki katika shughuli mbali mbali za kuimarisha chama kwa namna moja au nyingine.
siku zote ukishaishiwa unakuwa mlopokaji tu, ni sawa na baba wa familia aliyefurilia uwa mlopokaji tu, mtoto akifanya hata kosa dogo ni kipigo au utapata maneno ya ajabu, wakati zamani aikuwa hivyo.Hivi nchi hii ukiwa na kilabu cha usiku ni 'dhambi kubwa' kiasi chama chako hakipaswi kuongoza nchi...bali ukiwa fisadi na mbadhirifu wa rasilimali za umma unakuwa umepikika 'kimaadili' na kutamba kuwa unastahili kuongoza nchi! Kama vilabu vya usiku ni vibaya kiasi hicho, walifuata nini 'Maisha Club'? Kwa nini Mukama hakukataa alipoalikwa kwenda Maisha Club ikiwa watu wanaojihusisha na hizo club hawana maadili na hawafai kushika uongozi wa nchi!?
Chitambala, Nakaaya Sumari, Thomas Ngawaiya, Daniel Swanzugwako, Frank Magoba, Dani Makanga, Prince Bagenda, Steven Wassira, Abdallah Fundikira(Late), Gidion Cheyo nk.Tambwe Hiza, Msabaha, Shaibu Akwilombe, Dr Aman Walid Kabouru, Masumbuko Lamwai, Makongoro Nyerere... all of these have been in the opposition... and the list goes on
Waache tu waendelee kujifariji huku kifo kikiwatafuna!
Am so glad he is neither my father nor my relation (not even an in-law) .......what a shame for these utterances!