Muhongo anakubalika na watu jamani!

Watanzania tulivyo wajinga mtu kuletewa Umeme na serikali na waziri anakwambia nimekuletea umeme unaona Kama ni privilege kumbe ndio kazi ya serikali wala huna haja ya kushukuru ni haki yako Si unalipa kodi? Hii nchi Ina makondoo wengi Sana. Tunayofanyiwa na serikali hayafiki hata robo ya mambo wanayopaswa kuyafanya kwa Maendeleo ya nchi na wananchi
 
Mhongo hafai.. Anajikweza sana na maneno machafu

ht hivyo inasemekana hasara imekuwa kubwa kuliko kabla yake

mhongo ni dhaifu
muhongo ni muhongo
 
Katika hali isiyo Ya Kawaida Waziri wa Nishati na MADINI Professor Muhongo ajikuta akipokewa kwa shangwe baada Ya wana CCM wa Kiabakari waliposimamisha Gari Yake na kutaka kumsalimi. Wananchi hao walikuwa wakiimba nyimbo na vigelegele wengi wakimwita MZEE WA MANGUZO, MZEE WA MANGUZO!!!!. Ambapo walimaanisha Mtu wa Kazi kwa Kuwa Nguzo za Umeme zipo karibu kila kijiji.

Mhe. Muhongo alitoa Mchango kwa wagombea wa Serikali za Mitaa ambao walikuwepo hapo wakati Mhe. Muhongo akipita. Aidha. Aliwaasa kuhakikisha wanashiriki uchaguzi huo kwa amani na utulivu

Ptuu, humo nilimokoleza rangi ndio majibu ya thread yako. Kajipange upya. Mie hapa nipo gizani na ndio kawaida yetu huku Kigamboni kukosa umeme, sasa unataka na mie nikwambie kuwa kati ya watu wanaochukiwa na dunia ya Kigamboni ni Profesa Muongo? Teh teh teh teh, kumbe usipotembea unadani dunia ni kiabakari. Kampige picha kisha itundike chumbani kwako
 
Kiabakari ni kijiji tu kama vijiji vingine ambavyo wananchi wake hawajui mambo yanavyondelea kwenye hii nchi ambako ndipo kimbilio la CCM. wana maisha magumu lakini hawajui kama wanaishi maisha magumu na wanaona ndiyo maisha wanayostahili kuishi. Lakini inawezekana pia (sina hakika) ikawa imetengenezwa; wamejuaje muhongo atapita wakajikusanya barabarani wakaanza kuimba na kupiga vigelegele kama hakukuwa na maandalizi mapema?

Tukumbuke kwamba suala la kufikisha umeme vijijini siyo suala la muhongo, ni suala la wizara na serikali kwa ujumla, kwa hiyo hata muhongo akitoka (ikitokea akatoka) bado mipango ipo na atakayeingia wizara hiyo ana wajibu wa kuliendeleza. Wananchi wasione kama ni fadhila za muhongo kuwapa umeme, wananchi wote wana haki ya kupata huduma hiyo bila kujali unaishi mjini au kijijini.

Lakini pia naomba unisadie kidogo, huo mchango alioutoa kwa wagombea ni mchango gani, wa fedha au wa mawazo? kama ni mchango wa fedha ni kwa ajili ya nini? Isijekuwa ni malipo ya kazi ya kuwa-mobilize kumsubiri na kuimba na kupiga vigelegele halafu tukaambiwa ni mchango.
 
Katika hali isiyo Ya Kawaida Waziri wa Nishati na MADINI Professor Muhongo ajikuta akipokewa kwa shangwe baada Ya wana CCM wa Kiabakari waliposimamisha Gari Yake na kutaka kumsalimi. Wananchi hao walikuwa wakiimba nyimbo na vigelegele wengi wakimwita MZEE WA MANGUZO, MZEE WA MANGUZO!!!!. Ambapo walimaanisha Mtu wa Kazi kwa Kuwa Nguzo za Umeme zipo karibu kila kijiji.

Mhe. Muhongo alitoa Mchango kwa wagombea wa Serikali za Mitaa ambao walikuwepo hapo wakati Mhe. Muhongo akipita. Aidha. Aliwaasa kuhakikisha wanashiriki uchaguzi huo kwa amani na utulivu
Hata NGELEJA, LOWASA na MAIGE baada ya lile sakata la RICHMOND walifanyiwa hivyo hivyo kwa kutumia fedha walizoiba kuandaa watu wa kuwashangilia ili waonekane wanapendwa.
 
Katika hali isiyo Ya Kawaida Waziri wa Nishati na MADINI Professor Muhongo ajikuta akipokewa kwa shangwe baada Ya wana CCM wa Kiabakari waliposimamisha Gari Yake na kutaka kumsalimi. Wananchi hao walikuwa wakiimba nyimbo na vigelegele wengi wakimwita MZEE WA MANGUZO, MZEE WA MANGUZO!!!!. Ambapo walimaanisha Mtu wa Kazi kwa Kuwa Nguzo za Umeme zipo karibu kila kijiji.

Mhe. Muhongo alitoa Mchango kwa wagombea wa Serikali za Mitaa ambao walikuwepo hapo wakati Mhe. Muhongo akipita. Aidha. Aliwaasa kuhakikisha wanashiriki uchaguzi huo kwa amani na utulivu

we unajisumbua 2, muhongo awezi kusafishika apa Jf, an less otherwise
watumie sana escorow money
 
ok sawa anakubalika, lakini kwa ufisadi huuu hapana atuachie nchi yetu na naomba mungu wote wanao husika laaana iwakute watu wameteseka kwa kukosa panadol tuu wao wanagawana bilions inauma sana kuna wanafunzi hawasomi kisa pesa bora wangetukopesha kuliko kuficha banki ulaya.
 
Siku nikikutana naye mimi nitachukua sheria mkononi. Au nitamwita mwizi, mlaghai na fisadi,
 
Kama kuna,watu ambao Tanzania hatuwahitaji basi muongo ni nambari.Yeye ni muongo kama jina lake lilivyo.Bunge limemtia hatiani kama mpiga dili mkubwa na dalali.Si unajua kazi ya dalali mradi mkono uende kinywani.
 
Kiabakari ni kijiji tu kama vijiji vingine ambavyo wananchi wake hawajui mambo yanavyondelea kwenye hii nchi ambako ndipo kimbilio la CCM. wana maisha magumu lakini hawajui kama wanaishi maisha magumu na wanaona ndiyo maisha wanayostahili kuishi. Lakini inawezekana pia (sina hakika) ikawa imetengenezwa; wamejuaje muhongo atapita wakajikusanya barabarani wakaanza kuimba na kupiga vigelegele kama hakukuwa na maandalizi mapema?

Tukumbuke kwamba suala la kufikisha umeme vijijini siyo suala la muhongo, ni suala la wizara na serikali kwa ujumla, kwa hiyo hata muhongo akitoka (ikitokea akatoka) bado mipango ipo na atakayeingia wizara hiyo ana wajibu wa kuliendeleza. Wananchi wasione kama ni fadhila za muhongo kuwapa umeme, wananchi wote wana haki ya kupata huduma hiyo bila kujali unaishi mjini au kijijini.

Lakini pia naomba unisadie kidogo, huo mchango alioutoa kwa wagombea ni mchango gani, wa fedha au wa mawazo? kama ni mchango wa fedha ni kwa ajili ya nini? Isijekuwa ni malipo ya kazi ya kuwa-mobilize kumsubiri na kuimba na kupiga vigelegele halafu tukaambiwa ni mchango.

Ni kweli kuwa serikali ilishaweka mipango. Lakini hoja sio mipango bali uwezo wa kuisimamia na kuitekeleza hiyo mipango
 
Back
Top Bottom