Muhimu kusali kabla nna baada ya tln

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,956
22,148
Kama unavyokumbuka kusali wakatyi wa kuamka na kulala wakati wa kula chakula je si vyema tukakumbuka kusali wakati tukimega mkate...huu ambo bwana ametuandalia wanandoa...kama mjuavyo yapo mapepo yanayoingia wakati mkiwa kwenye mapenzi wengine wanachelewa wanawahi wewngine aisimami nyingine zinasinyaa na zingine zinapiga makelele ya majina y watu waliowapitia haya yotee ni mapepo yanaitaji maombi ukiwa unataka furaha na amani jaribu kusali ukiwa unaanza na mkimaliza wote mkumbuke kushukuru muone starehe yake...
nawatakia
TLN
JEMA
 
PDidy unaanzaje kusali wakati jogoo yuko "Kokolikoooooooooooooooooooo" :yuck::yuck::yuck::yuck::yuck:
 
i cant imagine starting,...'ooh holy father, please bless this action that we are about to do, may you increase the flavor so that each of us gets satisfied and cum like volcano eruption' ...amen lol.
 
i cant imagine starting,...'ooh holy father, please bless this action that we are about to do, may you increase the flavor so that each of us gets satisfied and cum like volcano eruption' ...amen lol.

mhhhhhh, and if it is not your man or woman, unaiba, unazini, do you even dare mentioning 'Holy Father'?
 
i cant imagine starting,...'ooh holy father, please bless this action that we are about to do, may you increase the flavor so that each of us gets satisfied and cum like volcano eruption' ...amen lol.

Tunakushukuru Baba Muumba mbingu na nchi,
Kwa kuwa mambo haya uliwaficha watoto wadogo ukatufunulia watu wazima,
Nakushukuru kwa kunipa huyu mtu mke hapa pembeni yangu,
Nashukuru kwa kumpatia asali tamu ambayo ntaenda kuionja muda si mrefu,
Naomba umbariki ili awe mchoyo, asiwape wengine ila mimi tu,
Nakuomba baba utuepushe na magonjwa ya presha ambayo huua watu wakati wakifanya jambo hili,
Kama itakupendeza tunaomba kitakachotokea baada ya tendo hili iwe furaha yetu,
Tunaomba hayo yooote kwa njia ya.............


Haya we mama matesha................ saula viwalo halafu ukuje hapa nikudenge!
Then mnamegana huku mkishuhudiwa na Roho wa Mungu,

Ole wako mtoto wa watu apige makelele
Ole wako umnyonye mtoto wa watu sehemu ya kulia chakula,
Ole wako umnyonye mtoto wa tatu sehemu ya kutolea haja ndogo ( na kubwa ofkozi)
God forbid!....... and he is watching!.......... Msije mkasema sijawaonya.
 
na kati kati ya chakula huwa watu wanpenda kuweka...karibu USHIRIKIANE nasi...! :lol: :becky:
 
JF haiishi vituko.......kinaisha hiki kinaanza hiki.................Nimecheka sana hapa...........dah
 
Maandiko yanasema 'Mshukuruni BWANA katika kila jambo'. Hivyo ni vyema kuanza na maombi na kumaliza na maombi, japo wengi wataona kama hili haliwezekani. Pia maandiko yanasema 'Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu'.
 
Tunakushukuru Baba Muumba mbingu na nchi,
Kwa kuwa mambo haya uliwaficha watoto wadogo ukatufunulia watu wazima,
Nakushukuru kwa kunipa huyu mtu mke hapa pembeni yangu,
Nashukuru kwa kumpatia asali tamu ambayo ntaenda kuionja muda si mrefu,
Naomba umbariki ili awe mchoyo, asiwape wengine ila mimi tu,
Nakuomba baba utuepushe na magonjwa ya presha ambayo huua watu wakati wakifanya jambo hili,
Kama itakupendeza tunaomba kitakachotokea baada ya tendo hili iwe furaha yetu,
Tunaomba hayo yooote kwa njia ya.............


Haya we mama matesha................ saula viwalo halafu ukuje hapa nikudenge!
Then mnamegana huku mkishuhudiwa na Roho wa Mungu,

Ole wako mtoto wa watu apige makelele
Ole wako umnyonye mtoto wa watu sehemu ya kulia chakula,
Ole wako umnyonye mtoto wa tatu sehemu ya kutolea haja ndogo ( na kubwa ofkozi)
God forbid!....... and he is watching!.......... Msije mkasema sijawaonya.

du, binamu hapa umeua hata walokole hawasali hivyo.
 
mhhhhhh, and if it is not your man or woman, unaiba, unazini, do you even dare mentioning 'Holy Father'?

Kwanini uibe na kuzini? Hayo ni kinyume cha maandiko pale yaliposema, USIIBE, USIZINI. Period.
 
Mbona tukiwa na matatizo tunakimbilia kusali? Kwa nini hapa kabla/baada ya hilo tendo tusimshukuru MUUMBA.. Maana hilo tendo limebarikiwa na Bwana na ni Ibada kwa wana ndoa tu.
 
du, binamu hapa umeua hata walokole hawasali hivyo.
Mimi ndimi mtumishi wake Bwana.
Nitendee kama ulivyonena.

Binamu unataka kunambia muzee yako inakuparamia tu bila kuomba kibali kwanza?
Tubu na ungama dhambi zako, maana hayo ni machukizo machoni pake.
 
YEP TENDO LA NDOA ni IBADA KWA WANANDOA
Kwa sisi wakatoliki waaminifu na watiifu tunapaswa kusali kabla ya kupata sakramenti yoyote ile
Na sakramenti ziko saba
NDOA ni mojawapo ya sakramenti hizo.
Afanyaye tendo la ndoa kabla hajasali hakika anatenda dhambi.
 
Afanyaye tendo la ndoa kabla hajasali hakika anatenda dhambi.

Nakwenda kufanya kitubio kwa Baba Paroko!

"Baba Paroko nimetenda dhambi; tulikuwa tunanyonyana na mwenza na baadaye nikajikuta nimeshatumbukiza; nikasahau kusali!"
 
Back
Top Bottom