Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Kama unavyokumbuka kusali wakatyi wa kuamka na kulala wakati wa kula chakula je si vyema tukakumbuka kusali wakati tukimega mkate...huu ambo bwana ametuandalia wanandoa...kama mjuavyo yapo mapepo yanayoingia wakati mkiwa kwenye mapenzi wengine wanachelewa wanawahi wewngine aisimami nyingine zinasinyaa na zingine zinapiga makelele ya majina y watu waliowapitia haya yotee ni mapepo yanaitaji maombi ukiwa unataka furaha na amani jaribu kusali ukiwa unaanza na mkimaliza wote mkumbuke kushukuru muone starehe yake...
nawatakia
TLN
JEMA
nawatakia
TLN
JEMA