Jamani samahanini wanajf hivi huwa najiuliza kama mwanaume kuwa ugonjwa wa kisukari ukikupata mwanaume mambo huwa hayaendi (jogoo inawezekana akawa hapandi mtungi) na kufanya sex kiujumla inakuwa ni ishu kwa sababu jogoo kuwika ni9 ishu hasa ukizingatia kuwa jogoo mpaka awike inabidi msukumo wa damu uwe mkubwa kuelekea kwenye sex organs au mpaka upigwe insulin injection.
Kiujumla heshima ya ndoa inakuwa haipo nyumbani kisa baba hatekelezi majukumu yake ya tendo la ndoa.
Sasa nauliza hivi ugonjwa wa kisukari ukiwakuta kinamama na wenyewe mambo yanakuwa hivyo hivyo tu au ni kwa wanaume?
Kiujumla heshima ya ndoa inakuwa haipo nyumbani kisa baba hatekelezi majukumu yake ya tendo la ndoa.
Sasa nauliza hivi ugonjwa wa kisukari ukiwakuta kinamama na wenyewe mambo yanakuwa hivyo hivyo tu au ni kwa wanaume?