afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,207
Nilikuwa sijawahi kukuona Mrembo una hasira, leo ndio nimejionea
Mpaka nimeogopa kuku-quote pamoja na mabuti yangu . . lol:lol:
My dear mie sio mtu wa hasira
Ila kuna wakati na tibuka tu nyongo
Kuna watu kule kwenye complaint s
wameniudhi sana kuhusu Mods..