Bora mchawi ila siyo HamisiHaifai huyu jamaa kigeu geu,
ANA TAFUTA CHAKA ULAYAView attachment 1743166
Hapa kuna tatizoDaudi Albert Bashite - Paul Christian Makonda.
Said Nassor Bagaile - Hamis Kigwangallah
Lameck Madelu - Mwigulu Nchemba
Erick Ngambeki - Herry James
Ruge ashasemaHaifai huyu jamaa kigeu geu,
ANA TAFUTA CHAKA ULAYAView attachment 1743166
Said Nassor Bagaile ni Mnafiki wa kiwango cha SGR na "Stegolaz".
HahahahahaDaudi Albert Bashite - Paul Christian Makonda.
Said Nassor Bagaile - Hamis Kigwangallah
Lameck Madelu - Mwigulu Nchemba
Erick Ngambeki - Herry James
Mbona anajiita hamis ?
Bora mchwi kuliko mnafiki! HK ni mnafiki mkubwa. HK ni Yuda Iskariote wa kizazi cha leoKH
ok,nimekupata mkuu!Daudi Albert Bashite - Paul Christian Makonda.
Said Nassor Bagaile - Hamis Kigwangallah
Lameck Madelu - Mwigulu Nchemba
Erick Ngambeki - Herry James
Walichofanya Muhimbili kumjibu Kigwangalla nimefurahi
Hata hizo chanjo wanazoleta zipo kwenye utafiti, hazijawahi kutumika kabla..Pamoja na kwamba huyu Hamis sijawahi kumkubali ila majibu haya ya Muhimbili hayaridhishi.
Wanataka kutuambia kuwa zile mashine zipo pale kama sehemu ya utafiti? Je taratibu za kufanya tafiti zimefuatwa, ikiwemo kuwajulisha watumiaji kuwa ule ni utafiti? Je watumiaji wameonywa kuwa inawezekana utafiti ule unaweza kuwa na MATOKEO HASI kwenye afya zao?
Approach ya Serikali imefanya dawa za asili zionekane kama uchawi au uganga wa kienyeji. Tuki adopt taratibu sahihi, tunaweza kuziinua hizi dawa zetu kama ambavyo ni matamanio yetu wote.
Bora umesema, nilitka kuandika hiki.Muwe mnaandika kuliko kuweka video jamani,hamuoni Hali halisi ya bundle kuwa ni janga la kitaifa