Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,511
- 40,600
"msukumo wa mataifa ya nje, kuathiri vizazi halisi, na kuleta broiler wengi huku duniani"
Hilo ndo jibu, jipange, chukua hatua.
Ni kweli, ukifikiri sana, utagundua dunia haina jema; kizazi cha kiume na kike kinateketezwa, hakuna uzao endelevu (jinsia moja kuoana); Swali, mwisho wa siku ni nini?