sakapal
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 1,804
- 1,424
Hivi huyu mugabe kumdhihaki yesu kwamba amekufa na kufufuka zaidi yake yuko sawa kweli au uzee unamnyemelea?
Kama kuzimia na kuzinduka ni sawa na kufa na kufufuka wewe ushawahi kufa na kufufuka mara ngapi? Mi naogopa ati maana yesu hataniwi akirusha konzi lake wewe mojakwa moja wala huiti mama lol
Kama kuzimia na kuzinduka ni sawa na kufa na kufufuka wewe ushawahi kufa na kufufuka mara ngapi? Mi naogopa ati maana yesu hataniwi akirusha konzi lake wewe mojakwa moja wala huiti mama lol