miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,821
- 48,976
amehskosa sasa awaache jamaniNchi inapata sifa ya medali
amehskosa sasa awaache jamaniNchi inapata sifa ya medali
Kama jiraniKumbe huyu naye ameanza kuwa mpendasifa
Ndio ukweli,hakumungunya maneno,sio hio tu,Bayi kama mwanamichezo enzi zile sawa lakini kama kiongozi ni vitu viwili tofauti.Ameongea kweli tupu
Kwani Zimbabwe kiuchumi inashika nafasi ya ngapi? Mbona viongozi wao hawakamatwi si wanachezea pesa ya nchi?Hao ndo viongoz .....hakuna masihara na Pesa ya nchi ...watu 31 mmoja ndo nafasi 8 ....cheerleaders n tourist must pay back money .....
AmenNdio ukweli,hakumungunya maneno,sio hio tu,Bayi kama mwanamichezo enzi zile sawa lakini kama kiongozi ni vitu viwili tofauti.
Nikiliona jina lako nafurahi sana coz namkumbuka rafki yangu aitwa EVELYN LIN.Kumbe walienda PANYA sio wanamichezo