Elections 2010 Mufti Simba asisitiza watanzania kutopiga kura kwa misingi ya kidini

jamani ee tusilikuze ili jambo maana wenyewe wenye kulianzisha au wali ona kwamba litawafaidisha wameisha elewa halita wasaidia, sasna sana wataanza kuchinjana wenyewe, maana wao ndio wenye silaha na mapesa, kama watakuwa wagombania ndege kutoroka ni wao wenyewe, kikwete na msekwa, malecela na makamba, mwamunyange na shombo, Mstaarabu Saidi mwemba na Mstaarabu Mnumba, jaji Mkuu na jaji kiongozi, na sisi huku mtaani Londo na Mwakyusa, siju Iddi mzungu na Peter kabisa, kwa kweli hato pona mtu na hizi mali tulizo iba tutamwachia nani? labda atakaye pona ni Lowasa na Rostam kwenye mahandaki yao
 
Hivi mwaka 2005 wakati mapadiri wakimtangaza mgombea urais kwa tiketi ya CCM kuwa ni chaguo la mwenyezi hapakuwa na wagombea wakristu? Hivi haiwezekani kuwa hata hivi sasa hao wanaompigia debe mgombea wa Chadema wanaangalia uwezo wake ( na kutoridhika na utendaji wa kipenzi chao cha awali) na si dini kama ilivyokuwa mwaka 2005?

Amandla.....
 
Hivi mwaka 2005 wakati mapadiri wakimtangaza mgombea urais kwa tiketi ya CCM kuwa ni chaguo la mwenyezi hapakuwa na wagombea wakristu? Hivi haiwezekani kuwa hata hivi sasa hao wanaompigia debe mgombea wa Chadema wanaangalia uwezo wake ( na kutoridhika na utendaji wa kipenzi chao cha awali) na si dini kama ilivyokuwa mwaka 2005?

Amandla.....
tatizo mtu akiwa wa kwako unatakiwa umuachie mtu baki atoe maksi, ama sivyo utaonekana una mpendelea iwe mkeo/mumeo/baba/mama/mtoto nk nk ile than ya impartiality inaondoka kwa jicho la mtu mwingine, anakuona wewe labda au una mapendeleo ya mtu fulani.
sasa kwa sehemu kama hii Waislamu wakimsifia Slaa no Problem, wakristo wakimsifia Slaa kutakuwa na tatizo. na Vivyo hivyo kwa Waislamu kumsifia kikwete itakuwa tatizo, wakika kimya sawa
 
Nampongeza shekh kwa kukemea hao viongozi wa dini wanaosimama na kuonyesha upendeleo wa dhahiri kwa vyama wanavyovishabikia.

Naamini mashehe waliosikia tamko la shekhe mkuu pamoja na viongozi wa dini nyingine watasaidia sana kuwakataza watoa mawaidha/wahubiri katika mihadhara mbalimbali kutoa maneneo ya kuhamasisha wafuasi wao kuchagua rais anayetoka katika imani zao.

Nilivyoelewa kana kwamba lile tamko limelengwa kwa dini fulani tu, ila namini litaeleweka kwa dini zote bila kujali hao waliotoa tamko wanatoka dini gani.
 
walishazoe wakristo wengi kuto piga kura....sasa mwaka huu wakristo wote wakapige kura harafu tuone....amani amani....mbona wao walipo taka kunyimwa mahama ya kadhi walianza kutoa vitisho ohhh hatuta wapingia kura chama tawala....sasa kwakuwa wameshakubaliana kusirimisha Tanzania ndiyo maana wana waunga mkono wana sahau kama ugumu wa maisha sote tunapigika...
 
Back
Top Bottom