Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Kamati ya bunge imekutana na muendelezo wa vioja vingine baada ya kukutana na kustaajabu vya musa
huko lapf wakayaona ya firauni huko veta;leo gazeti zimepambwa na vituko vya veta ati pensheni wanazokatwa
wafanyakazi baadhi yao zimekuwa zikipelekwa kwenye account ya mtu binafsi huko klabu ya finance
wakisikitika na kushindwa kuelewa wabunge wa kamati ya fedha wamesema wameshtushwa na wamepata nguvu
wakisema wanatarajia vituko vingi sana sana huko waendako..mkurugenzi wa veta alipoulizwa amesema hata yeye
ameshtuka na kusema anafwatilia huku akirudishiwa mafaili yake na kuambiwa akajpange na hao majambazi wake
warudi kabla ya jumanne ijayo wakiwa na maelezo ya uchafu waliouona
jamani kumbe huko kwenye mashirika kuna vituko hivii????embu fwatilieni zaidi wapendwa tupate uhalisia nini
kimeendeleaa huko yawezekana watu wanabadilisha majumba magari kwa pesa za babazetu za walipa kodi\
loh
huko lapf wakayaona ya firauni huko veta;leo gazeti zimepambwa na vituko vya veta ati pensheni wanazokatwa
wafanyakazi baadhi yao zimekuwa zikipelekwa kwenye account ya mtu binafsi huko klabu ya finance
wakisikitika na kushindwa kuelewa wabunge wa kamati ya fedha wamesema wameshtushwa na wamepata nguvu
wakisema wanatarajia vituko vingi sana sana huko waendako..mkurugenzi wa veta alipoulizwa amesema hata yeye
ameshtuka na kusema anafwatilia huku akirudishiwa mafaili yake na kuambiwa akajpange na hao majambazi wake
warudi kabla ya jumanne ijayo wakiwa na maelezo ya uchafu waliouona
jamani kumbe huko kwenye mashirika kuna vituko hivii????embu fwatilieni zaidi wapendwa tupate uhalisia nini
kimeendeleaa huko yawezekana watu wanabadilisha majumba magari kwa pesa za babazetu za walipa kodi\
loh