Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
Iko siku Saudia nao watasema basi
Labda uende bila hela....unajua nusu tani ya gold thaamani yake?
Iko siku Saudia nao watasema basi
Kama ndivyo basi we are likely to see a new Misri ikiongozwa na chama chenye msimamo mkaliKuna hatari kubwa endapo Misri kuangukia mikononi mwa Muslim Brotherhood. Chama ambacho kitailetea maafa Misri kuliko maendeleo.
Maana hawa Muslim Brotherhood hawana tofauti na Hamas au Al-Qaeda, wanachojua ni kujilipua tu na kuwa na ''illusion'' kuwa ipo siku wataipiga Israeli na kuiangamiza.
Ila kweli maana wote wanaokimbilia huko wanakuwa wameishalimbikiza mali vya kutosha au baadhi ya assets zinakuwa zimeishapelekwa huko tayariLabda uende bila hela....unajua nusu tani ya gold thaamani yake?
Na alichoharibu zaidi ni pale alipokuwa anajaribu kumuandaa mtoto wake ili ashike madaraka baada ya yeye kustaafuViongozi wa Africa amkeni na kutetea maslahi ya wananchi wenu, angalia sasa yaliyomkuta Hosni Mubarak ni aibu tupu, wachana na nguvu ya uma bwana!
kama kawaida yao kimbilio ni Saudia...hili dege litatua lini hapa linasubiriwa kwa hamu!!