Mubarak afikishwa kortini

Shadow

JF-Expert Member
May 19, 2008
2,897
671
Rais wa zamani wa Misri yuko Kizimbani Kairo. Amefikishwa kwa machela na kuvalishwa nguo za wafungwa(Nyeupe) Yupo yeye, watoto wake wawili wa kiume na washtakiwa wengine wakubwa. Rais huyo wa zamani anaonekana amechoka ile mbaya na afya yake si nzuri kihivyo.
 
Mubarak could face the death penalty if found guilty of the crimes has lile la kuua waandamanaji.
 
Ulinzi katika eneo la mahakama ni wa hali ya juu sana. Wamisri wanasema hii ni kesi ya milenia huko kwao.
 
Namuona huyu dikteta Mubarak akiwa amevaa oksijeni 'masks' huku akiteta na watuhumiwa wenzake.
 
Former Egyptian President Hosni Mubarak, his two sons, former interior minister, as well as six police officers and some business tycoons go on trial today for murder, corruption, and various charges. Lini Tanzania tutufanya hivi? Give me a list of those who will go on trial like this one in Tanzania when that time comes.
 
Muda huu, huko Misri, Rais aliyeondolewa madarakani Mubarak pamoja na washirika wake wakiwepo wanawe wawili, wapo mbele ya Pilato wakisomewa mashitaka yao ya ufisadi na mauaji ya raia wasio na hatia. Nadhani hili ni fundisho kubwa sana kwa viongozi mafisadi na wanaotumia nguvu ya dola kuwagandamiza wananchi hapa kwetu Tanzania. Someni nyakati na jiwekeni tayari wahusika.
 
Wenzetu wako serious dunia nzima, ushahidi ukitosha sitashangaa wakimnyonga, but always naamini katika MSAMAHA
 

Egypt's Mubarak goes on trial in hospital bed
An ailing, 83-year-old Hosni Mubarak, lying ashen-faced on a hospital bed inside a metal defendants cage with his two sons standing protectively beside him in white prison uniforms, pleaded innocent to charges of corruption and complicity in the killing of protesters at the start of his historic trial on Wednesday.
 
Nini faida ya ufisadi serikalini? Hatima hii ya Mubarak wa Misri viongozi wetu hawajifunzi? Nijuavyo haki ya wanyonge kunyongewa hipotei bure. Bora uadilifu katika uongozi kisha uishi kwa utulivu na amani ya kwali badala ya kuanza jahanum hapa hapa duniani.
 
Hakika what goes around comes around Hussein Mubarak Mahakamani tena kitandani hakika viongozi wa Kiafrika watizame hicho kisha wapime kwa uzito huo kuwa kumbe kunasababu yote kujali maslahi ya umma
 
_54394468_012589599-1.jpg


Some 3000 soldiers and police have been drafted in to maintain law and order at the Police Academy in Egypt's capital, Cairo for the trial
of faormer President Hosni Mubarak.



A Sympathiser....

_54394470_012589518-1.jpg



A Protestor....

_54394474_012589633-1.jpg



The Verdict.....?

_54394472_012589618-1.jpg
 
Order! Order! the civilized Egyptian people require calm..... to make sure that the mission of court is carried out fully so we can please God Almighty and our conscience. Judge Ahmed Rifaat at Mubaarak proceeding.
 
Who knows? It might be u or me first if ve been used by the Westerners. USA n allies chezea hangine.....
 
Back
Top Bottom