ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,054
- 49,743
Nawapa tahadhari na kuwakumbusha Wanaume dhaifu kama wa Dar,usije kurogwa kuoa Mke Mikoa ya Kusini,utakuwa Kila Mwezi unalalamika dawati la jinsia.
Ama laa hakikisha karate uko vizuri vinginevyo utakuja kuomba Ushauri jf.
Angalizo
Kusini ni Jamii za Matrineal So Watoto wanaitwa Kwa Majina ya upande wa Mwanamke.
===
Mkuu wa wilaya ya Nanyumbu mkoani Mtwara Bi. Mariam Chaurembo amesema katika wilaya yake wanawake wanaongoza kuwa na tabia ya ubabe kwa waume zao na kuvunja ndoa kwao ni jambo la kawaida, huku wanaume wakidaiwa kufukuzwa katika nyumba zao.
Mkuu wa wilaya ya Nanyumbu Mariamu Chaurembo akiwa anazungumza na wakazi wa wilaya hiyo katika uzinduzi wa kampeni ya kupinga ukatili dhidi ya wanawake na watoto amesema katika wilaya yake ndoa nyingi huvunjika na sio suala la ajabu katika jamii ya wakazi hao huku wanaume ndiyo wakitimuliwa na wake zao ambapo athari kubwa huwakuta watoto.
Wazee katika wilaya hiyo wanasema hali hiyo inatokana na mtindo wa kisasa wa kupeana zawadi kwenye sherehe zinazoitwa mpeni raha ambapo wengi uoana ili kupata zawadi na huacha waume zao ili waolewe na wanaume wengine kwa lengo la kupata tena zawadi.
Ama laa hakikisha karate uko vizuri vinginevyo utakuja kuomba Ushauri jf.
Angalizo
Kusini ni Jamii za Matrineal So Watoto wanaitwa Kwa Majina ya upande wa Mwanamke.
===
Mkuu wa wilaya ya Nanyumbu mkoani Mtwara Bi. Mariam Chaurembo amesema katika wilaya yake wanawake wanaongoza kuwa na tabia ya ubabe kwa waume zao na kuvunja ndoa kwao ni jambo la kawaida, huku wanaume wakidaiwa kufukuzwa katika nyumba zao.
Mkuu wa wilaya ya Nanyumbu Mariamu Chaurembo akiwa anazungumza na wakazi wa wilaya hiyo katika uzinduzi wa kampeni ya kupinga ukatili dhidi ya wanawake na watoto amesema katika wilaya yake ndoa nyingi huvunjika na sio suala la ajabu katika jamii ya wakazi hao huku wanaume ndiyo wakitimuliwa na wake zao ambapo athari kubwa huwakuta watoto.
Wazee katika wilaya hiyo wanasema hali hiyo inatokana na mtindo wa kisasa wa kupeana zawadi kwenye sherehe zinazoitwa mpeni raha ambapo wengi uoana ili kupata zawadi na huacha waume zao ili waolewe na wanaume wengine kwa lengo la kupata tena zawadi.