Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 14,617
- 25,789
Hii skendo ilitakiwa IGP na RPC wake wajitafakali kama ofisi wanazitendea haki haiwezekani yanatokea mauaji harafu viongozi wa maeneo hayo hawajui kitu nao wanastuka kama sisi hizo mali wanazolinda ni zipi sasa..Said Mwema ndo alikua IGP makini.
Siro na Mahita ndo ma IGP wa hovyo sana.