3:1JF siku hizi! au mambo ya 4:1. Nipite mie.
Wema ndo alichangia kwa kiasi kikubwa Dai kuwa nominated wakati huo. Angeendelea nae ungekuta kwa sasa Diamond yuko Grammy.Mbona Mara ya Kwanza Dai kuwa nominated MTV alikuwa na Wema na hakuambulia kitu?
Huyo wema wko ananyota ya kupendwa na wacheza vigodoro angekua na ushawishi wimbo wa wanjera ungepata tuzo MTV vigodoroMengi yameongelewa kuhusu kukosa tuzo za MTV kwa wasanii wote waliokuwa nominated toka hapa nchini kwetu... teams zimetupiwa lawama za kutosha.... wasanii wametupiwa lawama pamoja na wadau wengine.
Kilichonishangaza ni watanzania wote kusahau uwepo na umuhimu wa Madame Wema kwenye suala la msanii kuchukua tuzo. Ndugu Lemutuz ambaye anaaminika kama watu wachache hapa nchini walio na FACTS alishawahi tamka kwamba Wema ndo mtanzania mwenye nyota ya kipekee.
Kila linalohusishwa nae hugeuka lulu. Ila nachukua nafasi hii kumtupia lawama kwa kutofanya uamuzi wa kuteua msanii wa kuchukua tuzo. Nina uhakika endapo madam angeelekeza nguvu angalau kwa msanii mmoja lazima tuzo ingepatikana. Kama kuna kitu tulimkwaza naomba kwa niaba ya watanzania wote atusamehe ili zikitokea tuzo zingine tupate sapoti yake.
Soma tenaeti unasemaaa??
Lemutuz mtu mwenye fact. Hii ilikuwa moja ya kituko kwenye awamu ya tano. Nae ni kiwandaMengi yameongelewa kuhusu kukosa tuzo za MTV kwa wasanii wote waliokuwa nominated toka hapa nchini kwetu... teams zimetupiwa lawama za kutosha.... wasanii wametupiwa lawama pamoja na wadau wengine.
Kilichonishangaza ni watanzania wote kusahau uwepo na umuhimu wa Madame Wema kwenye suala la msanii kuchukua tuzo. Ndugu Lemutuz ambaye anaaminika kama miongoni mwa watu wachache hapa nchini walio na FACTS alishawahi tamka kwamba Wema ndo mtanzania mwenye nyota ya kipekee.
Kila linalohusishwa nae hugeuka lulu. Ila nachukua nafasi hii kumtupia lawama kwa kutofanya uamuzi wa kuteua msanii wa kuchukua tuzo. Nina uhakika endapo madam angeelekeza nguvu angalau kwa msanii mmoja lazima tuzo ingepatikana. Kama kuna kitu tulimkwaza naomba kwa niaba ya watanzania wote atusamehe ili zikitokea tuzo zingine tupate sapoti yake.
Imeupgrade sasa hivi ni 6:1JF siku hizi! au mambo ya 4:1. Nipite mie.
Nimeelewa. Kama 2016 ilikuwa 4:1 kwa sasa tumeshafika 6:1 😀Imeupgrade sasa hivi ni 6:1
Moja ya wonders za dunia hii tuliyomo, kilio kimekuwa kikubwa na 'mashabiki' zake wamelalamika mno mpaka wengine wakafikia kudai huyo muhusika aliyesema kwamba Wema hana gari ashitakiwe.Leo kaambiwa hana gari analia